Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Kwenye pesa hapo si kweli, wangapi walijua kua mzee ana ukwasi??
Kilichompa kiki ni ile kujivua gamba, akaonesha weredi pale, akaja kupata booster kwenye chama chake kwenye ule uchaguzi, ni nani alikua mkubwa zaidi yale pale.??
Chadema nao wakaja kumpaisha zaidi.
Japo pesa zilihusika ila kua na pesa hakukupi ushawishi direct.
Kilichompa kiki ni ile kujivua gamba, akaonesha weredi pale, akaja kupata booster kwenye chama chake kwenye ule uchaguzi, ni nani alikua mkubwa zaidi yale pale.??
Chadema nao wakaja kumpaisha zaidi.
Japo pesa zilihusika ila kua na pesa hakukupi ushawishi direct.