Bado nazidi kuona makosa makubwa kwenye usajili wa Simba. Kwa mwendo huu mashabiki jiandaeni maumivu tena na tena 2023-24

Mimi nalia na no 6 jaman kipind cha Lwanga tuliruhusu magolo machache
Tunahitaj 6 anayelinda mabeki
Ngoma/Mzamiru na Kanoute wote no 8
Msimu uliopita hatukuwa na namba 6 ila tumerusu goli chache tu,tatizo namba 6 pure huwa wanaikaba timu sometimes,mi nasimama na namba nane,coz anafanya kazi zote anaenda na anarudi kama mfano hyo ngoma anaweza sana hata kushambulia na anakaba pia.
 
Uko sahihi,ni lazima kiungo aje,ndo mana sawadogo na mkude waliachwa,so kuna wa kigeni mmoja na mzawa mmoja,na nmeskia wa ndani analetwa mvunja watu miguu anaitwa mtenje albano,yaani huyu kadi nje nje asee
 
Mtenje amesajiliwa Simba tayari ana subiri kutangazwa tu.
 


Asante kwa mchango wako.

USIFANANISHE Manchester city na Simba. TAFADHALI.

NIMEONA Simba IKIWA na Viungo wakabaji pure No 6
1. Mafisango
2. Kotei.
3. Tadeo LWANGA.
4. SAWADOGO.

Uwe na Uhakika na Maoni yako kaka. USIPOTOSHE.
 
Upande wa pili mna wivu sana.
Kati ya mashabiki wa Simba wanaoweza kuongelea mpira ni CAPO. Wewe hatujawahi kukusikia mbali ya kukosoa Kwa vimaneno viwili vitatu. Leta uchambuzi wako tuone.
 
Maumivu yakizidi ndio unaanza kupona.
 

Asante kwa Mawazo mazuri.

Nikisema niandikae kwa UFUNDI mwingi Kuna watu nitawapa wakati MGUMU kunielewa.

Natumia UFAFANUZI rafiki Ili iwe rahisi kwa WATU WENGI KUKUELEWA.

Naelewa habari za Sackho na Banda .
NAFASI Moja inachukuliwa na Golikipa.(Santos).

Kuna uwezekano mkubwa nafasi nyingine inachukuliwa na Fabrice NGOMA.

Huwa mnaona makosa ya Onyango., Ila CHANZO Cha makosa ya Onyango au Simba kushambuliwa sana ni kukosa CDM.

YANI lango na KIPA WA Simba wanafikiwa kirahisi mno.
NGOMA sio CDM.
Vita Alikuwa no 10, Raja NK.
ELMERECK 8
 
Mpango wakocha unafahamu au unaleta mipango ya ukocha wako

Ndio Maana nimeomba Uzi Huu ujadiliwe na WATU wanaojua na kuupenda mpira.

Sio Mashabiki Maandazi.
KOCHA Gani Duniani Asiye kosea?

Waswahili wamejisemea Nyota njema huonekana Asubuhi.

KAA PEMBENI

FICHA UJINGA.
 
HAO wawili.

NAFASI ya .....

1. Akpan AKICHUKUA sawadogo Dirisha Dogo.

2. NAFASI ya Okra ilichukuliwa na Saido Dirisha Dogo

Hivyo Simba ikawa na wachezaji 12.

Nimeomba wanaojua mpira ndio wajadili,.

NB. SIO KILA KIONGOZI WA SIMBA ANAJUA MPIRA.
Hili liko Wazi na ilifanya Simba iwe na Wachezaji 14 ikiwa imekopesha wawili.
 
Ndio Maana nimeomba Uzi Huu ujadiliwe na WATU wanaojua na kuupenda mpira.

Sio Mashabiki Maandazi.
KOCHA Gani Duniani Asiye kosea?

Waswahili wamejisemea Nyota njema huonekana Asubuhi.

KAA PEMBENI

FICHA UJINGA.
Amekosea wapi Kwa kuwa hajafanya unachpenda wewe
 
Hatuwezi kuweka michango ya maana huku dirisha bado halijafungwa, hatujui nani anaweza kuondoka nani anaweza kuingia, inawezekana ilo eneo unalosema tayari usajir ushafanyika sema hajatangazwa, na inawezekana kuna watu washaondoka sema hawajatangazwa, cha muhimu ni kusubiri usajir umalizike
 
Asante kwa mchango wako.

USIFANANISHE Manchester city na Simba. TAFADHALI.

NIMEONA Simba IKIWA na Viungo wakabaji pure No 6
1. Mafisango
2. Kotei.
3. Tadeo LWANGA.
4. SAWADOGO.

Uwe na Uhakika na Maoni yako kaka. USIPOTOSHE
Upo sahihi hao ni namba sita wa asili kabisa pamoja na Matola"Veron".
 
Sio kweli..makosa ya onyango hususa ni kwenye Champions league ni makosa yake binafsi hayahusu timu, onyango hana speed na marking yake ni mbovu akikutana na striker mtundu lazima achomeshe timu. Simba katikati iko vizuri sana, falsafa yetu ni kushambulia. Na msimu huu tutapeleka moto sana, unapopelekewa moto hiyo akili ya wewe kushambulia utaitoa wapi? Derby ya simba na yanga sikuona yanga ikishambulia maana ilipelekewa moto 90 minutes mamaee
 
Mtoa mada una leseni ya CAF au FIFA? kama huna kaa kimya.. hujui mpira.
 
Mtoa mada una leseni ya CAF au FIFA? kama huna kaa kimya.. hujui mpira.
Mtoa mada ni dish tena continental, anajifanya anaijua simba sana kumzidi robertinho perreila jinga moja tu huyu, alafu anakomaa eti nafasi za wageni zimeisha hajui kuwa thank you bado zinaendelea.
Kuhusu kakolanya alitaka kuondoka alitaka kuanza dhidi ya manula sasa je kakolanya ni bora kuliko manula??
Kuhusu namba 6 kanoute mbona yuko vizuri sana kuliko huyo tadeo lwanga, fabrice ngoma pia ni 6 box to box. Simba hatuitaji namba sita ya kizamani falsafa yetu ni kushambulia sio kujilinda ndiomaana winga zimeshuka kwa wingi yaani hutaki utapigwa usipotaka utapigwa tu.
Simba haina tatizo katikati ila ilikuwa na upungufu tu so tulichofanya ni kuongeza mbadala wa kanoute na mzamiru incase mmojawapo ni majeruhi au amechoka. Simba haijaruhusu magoli mengi kwenye ligi na hata cafcc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…