Simba wana falsafa ya kushambulia kwa sana kuliko kujilinda so ni mara chache sana kuwekeza nguvu kubwa kwa viungo wa kizamani wa ukabaji(pure number 6)..tazama man city unamuona rodrigo yule ni namba 6 ila sio pure.
Sasa simba huwa wanapenda sana kutumia box to box,au namba 8,ambao ndo mpira wa kisasa unataka,kila mtu lazima awe na mchango wa magoli kwenye timu,ndo mana unaona msimu jana,kanoute kafunga,mzamiru kafunga,kapama kafunga..
Tofauti na watu kama kina mtenje albano wa coastal ambaye yeye huwa anaganda eneo lake tuu akisubiri kuvunja wenzie miguu.
Simba wanatarajia kusajili kiungo mkabaji(box to box mmoja kati ya hawa watatu,banfa sylla,efoe novon au fabrice ngoma hao wote ni box to box,tena huyo efoe na ngoma ndo kabisaaa.