TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Kumbe humu pasi kutaja majina yako halisi na kadiri siku zinavyokwenda ipo siku unafunguka tuu, ahahahaaa...
johnthebaptist
Iringa hapo sokoni hawajambo ahahaaaa, namkumbuka konda flani niliwahi safiri naye miaka hiyo na Scand alikuwa mwenyeji wa Iringa, miaka ya majuzi nilikutana naye iringa anauza duka.
johnthebaptist
Iringa hapo sokoni hawajambo ahahaaaa, namkumbuka konda flani niliwahi safiri naye miaka hiyo na Scand alikuwa mwenyeji wa Iringa, miaka ya majuzi nilikutana naye iringa anauza duka.