Bado tupo utumwani? kwanini tunasita kubadili jina la jiji kubwa zaidi Afrika mashariki

Bado tupo utumwani? kwanini tunasita kubadili jina la jiji kubwa zaidi Afrika mashariki

That’s history. Hatuwezi kuibadilisha!

..tunaweza kubadilisha.

..hata majina ya mitaa mbalimbali ya Dsm yalibadilishwa baada ya uhuru.

..barabara ya uhuru nadhani wakati wa Muingereza ilijulikana kama Accacia street/avenue.
 
Mmenikumbusha ety wachagga walimpeleka Johannes Rebmann kwenda kuwa mtu wa kwanza duniani kuugundua Mlima Kilimanjaro 😂
Ni ujinga tu!! Na kwa mbwembwe mtu akiulizwa mvumbuzi wa kwanza wa mlima Kilimanjaro, anataja huyo mzungu!!! 😂😂😂 Utafikiri hao wachaga hawkuwa watu!!!
 
Hapana mkuu. Kuna tofauti kati ya mji na kijiji.

Tuangalie mfano wa mji wa Alexandria, ambao tunasema umeanzishwa na Alexander The Great.

Hapa nimeiuliza Meta AI (Llama)swali hili.

"Me:
What did Alexander the Great find in present day Alexandria before he built the city?

Meta AI:
When Alexander the Great arrived at the site of present-day Alexandria in 331 BCE, he found a small Egyptian fishing village called Rhacotis. The village was situated on a narrow strip of land between the Mediterranean Sea and Lake Mareotis.

According to historical accounts, including those by the ancient Greek historian Arrian, Alexander was impressed by the site's natural harbor, strategic location, and defensive potential. He envisioned a grand city that would serve as a center of Greek culture, trade, and power in the region.

Alexander's architects, including Dinocrates of Rhodes, designed the city, which was built on a grid plan. The city's construction began in 331 BCE, and it quickly grew into a thriving metropolis, becoming a major center of culture, learning, and commerce in the ancient world."
Sijui kwa nini huelewi! Miji yote mikubwa ilianza kama kijiji ambapo baadae ilibadilika hadhi na kuwa miji kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu! Mji haujengwi ghafla na kuwa mkubwa bila watu!
 
Hapana mkuu. Kuna tofauti kati ya mji na kijiji.

Tuangalie mfano wa mji wa Alexandria, ambao tunasema umeanzishwa na Alexander The Great.

Hapa nimeiuliza Meta AI (Llama)swali hili.

"Me:
What did Alexander the Great find in present day Alexandria before he built the city?

Meta AI:
When Alexander the Great arrived at the site of present-day Alexandria in 331 BCE, he found a small Egyptian fishing village called Rhacotis. The village was situated on a narrow strip of land between the Mediterranean Sea and Lake Mareotis.

According to historical accounts, including those by the ancient Greek historian Arrian, Alexander was impressed by the site's natural harbor, strategic location, and defensive potential. He envisioned a grand city that would serve as a center of Greek culture, trade, and power in the region.

Alexander's architects, including Dinocrates of Rhodes, designed the city, which was built on a grid plan. The city's construction began in 331 BCE, and it quickly grew into a thriving metropolis, becoming a major center of culture, learning, and commerce in the ancient world."
Sijui kwa nini huelewi! Miji yote mikubwa ilianza kama kijiji ambapo baadae ilibadilika hadhi na kuwa miji kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu! Mji haujengwi ghafla na kuwa mkubwa bila watu!
 
Sijui kwa nini huelewi! Miji yote mikubwa ilianza kama kijiji ambapo baadae ilibadilika hadhi na kuwa miji kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu! Mji haujengwi ghafla na kuwa mkubwa bila watu!
Wewe ndiye huelewi.

Hatusemi Sultani alianzisha kijiji cha Mzizima.

Tunasema Sultani alianzisha mji wa Dar es salaam.

Kama vile ambavyo hatusemi Alexander The Great alianzisha kijiji cha Rhacotis. Tunasema Alexander The Great alianzisha mji wa Alexandria, Misri.

Hivi umesoma na kuelewa kuwa kuna watu wali plan, wakajenga mji?

Sasa hapo huelewi nini?
 
Wewe ndiye huelewi.

Hatusemi Sultani alianzisha kijiji cha Mzizima.

Tunasema Sultani alianzisha mji wa Dar es salaam.

Kama vile ambavyo hatusemi Alexander The Great alianzisha kijiji cha Rhacotis. Tunasema Alexander The Great alianzisha mji wa Alexandria, Misri.

Hivi umesoma na kuelewa kuwa kuna watu wali plan, wakajenga mji?

Sasa hapo huelewi nini?
Ni alama zipi au legacy gani muhumu Sultan aliyoacha kutoka mji unaodaiwa aliuanzisha?
 
Ni alama zipi au legacy gani muhumu Sultan aliyoacha kutoka mji unaodaiwa aliuanzisha?
Kwani akianzisha bila alama kubaki anakuwa hajaanzisha?

Nimekuambia hiyo Ikulu ya Dar es salaam ilijengwa na Sultani kama chuo cha Uislamu, hilo jengo limekuwa Ikulu miaka na miaka, hiyo si alama?
 
Kwani akianzisha bila alama kubaki anakuwa hajaanzisha?

Nimekuambia hiyo Ikulu ya Dar es salaam ilijengwa na Sultani kama chuo cha Uislamu, hilo jengo limekuwa Ikulu miaka na miaka, hiyo si alama?
Ikulu ya Dar es Salaam ilijengwa na Wajerumani kama ngome ya gavana.
 
Ikulu ya Dar es Salaam ilijengwa na Wajerumani kama ngome ya gavana.
Hapana mkuu, soma tena historia.

Wajerumani waliichukua tu kwa Sultani.

Ndiyo maana Ikulu ina Arabic architecture.

Na ukiingia ndani Ikulu Dar kuna sehemu mpaka leo kuna maandishi ya Kiarabu ya tangu enzi hizo.

Walioingia ndani Ikulu wanajua.
 
Watanzania wengi wanapenda sana kuvalia njuga non-issues wakati wana issues nyingi sana za msingi hawataki hata kuziongelea.

Ndiyo maana wakahamisha mji mkuu bila sababu, kutatua tatizo ambalo halikuwapo, kwa gharama kubwa, wakati hawana hata bajeti ya kutosha kutatua matatizo mengi ya msingi yaliyokuwapo.

Ukibadikisha jina la mji unatatua tatizo gani la muhimu la watu sasa hivi?

Sanasana utaongeza gharama za kuchapisha jina jipya tu na ku confuse watu.
Hii hata mimi imenishangaza, hata hawezi kueleza economic objectives za kufanya hivyo

Hii nguvu ungetumia kuitaka Tanganyika ningemuelewa
 
Dar es Salaam ni jina lenye asili ya Kiarabu linalomaanisha "Bandari ya Amani" au "Nyumba ya Amani". Jina hili linatokana na maneno mawili ya Kiarabu:

دار (Dar) – ikimaanisha "nyumba" au "bandari"

السلام (As-Salaam) – ikimaanisha "amani"


Mji huu ulianzishwa rasmi na Sultan Seyyid Majid wa Zanzibar mnamo karne ya 19. Awali, ulijulikana kwa majina tofauti kama Mzizima , Bandali ya sultan Majid nk kabla ya kupata jina la sasa. Leo, Dar es Salaam ni jiji kubwa zaidi nchini Tanzania na kitovu cha biashara, uchumi, na utamaduni.
Daru haimaanishi bandari!

Maana ya Daaru ni nyumba au mahali!

Waarabu walipaita Daaru ssalaam maana yake nyumba ya amani.
 
Jina la jiji kubwa zaidi Afrika Mashariki "Dar Es Salaam" lilipewa na Sultani Majid bin Said, Jina hili linatokana na kiarabu lugha aliyotumia Sultan

Kabla ya hapo, eneo hilo lilikuwa kijiji kidogo cha wavuvi kilichoitwa Mzizima, neno lenye maana ya "mji wenye afya."

Dar es salaam ina maana ya Bandari Salama, kwa muda huo Sultan aliitumia bandari kufanya biashara ya kikatili ya kusafirisha babu zetu kwenda kutumikishwa kitumwa. Bandari aliyotumia haikuwa na bugudha, ilikuwa ni salama kwake na ilimtajirisha zaidi kupitia babu zetu.

Ni sawa na mbakaji anaeteka watoto wanaopita kwenye korongo, sehemu hio ikiwa ni salama kwake ataiita korongo salama, itashangaza sana baada ya mtu huyo kudhibitiwa watu waendelee kupaita korongo salama.

Kuita jiji hili kubwa kwa jina la Sultan kunaambatana na kumbukumbu za historia yetu chungu ya utumwa wa masultan waliokuwa vinara wa biashara ya utumwa, Babu zetu walipelekwa kulimishwa kimabavu mashamba ya Zanzibar, walioenda nchi walizotokea masultan hali ilikuwa mbaya walikatwa viungo vya uzazi ndio maana ni ngumu kukuta wajukuu zao kama Marekani, utaowakuta ni waliohamia kuanzia miaka ya 70s

View attachment 3250594

Itapendeza zaidi paitwe MZIZIMA
'Mzizima halikuwa jina la mwanzo hilo lilianzishwa na Waluguru (watembezi kwa kutumia miguu) kutoka Morogoro waliotumwa kuja kuvuna dawa ya mimiea kwenye kina cha bahari.

Waluguru walipofika hapo waliwakuta wandengereko, wamakonde na wakisi kama wataalamu wa mambo ya baharini. Ujio wao uliwafanya wenyeji wajiulize hawa watu wamekuja kweli kutafuta dawa au wana kitu kingine?

Hapo ndipo wakapewa jina la 'waza-ramo' wakalowea; kutokana na uongeaji wao na lafudhi murua wakawa wanawavutia watu wengi kwenda kuwasikiliza na kufanya nao biashara ya ushihiri eneo hilo pakachangamko ndipo likajitokeza jina la 'Mzizima'

Kuanzia maeneo ya Salenda, Upanga, Muhimbili, shuka kuelekea Kinondoni, Magomeni, Sinza, Mwananyamala, Kijitonyama, Mikocheni, Kawe, Mbezi beach, Tegeta (Tega sikio), Boko, Bunju (samaki mwenye sumu na haliki), Mabwepande, Madale, Makabe, Mbezi, Luguruni pote kulikuwa na msitu mnene huku wanyamaa kama simba, chui, nyati walikuwa wakitamba sana.
 
Kulikuwa na kijiji cha wavuvi ndiyo hicho cha Mzizima.

Sultan Majjid ndiyo akaweka administration ya kwanza ya kujenga mji, akajenga majengo.

Kasome "Dar Es Salaam. Histories from an Emerging African Metropolis"

Kitabu naki attach hapa tukisome tuchambue mambo kisomi kwa taarifa sahihi.
Naomba ujibu swali moja tu,bandari ilikuwa inatumika kusafirisha watumwa ?
 
Naomba ujibu swali moja tu,bandari ilikuwa inatumika kusafirisha watumwa ?
Bandari gani? Kwa nini swali hili ni muhimu katika mazungumzo ya nani kaanzisha mji wa Dar es salaam na si non sequitur logical fallacy tu?
 
Back
Top Bottom