Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Mkuu,Unaweza ukarudia kuiweka hapa👇
Offside
Unasema tumpuuze mleta mada sio Mtanzania? Unasema na mm Nkaburu wa Zabanga, sio Mtanzania?
sasa haya aliyoleta mleta mada yametoka wapi kama sio kwa Watanzania/Mtanzania?
...
Kama confusion ya Gulf Of Mexico?
Muulize aliyeleta mada anajibu ase.
Hata hivyo kuna kitu hakipo sawa mpaka hapa Uzi ulipofika.
Usiku mwema mkulu, nimepata majibu niliyokuwa natafuta. ASANTE🙏
Nimekuuliza swali hujalijibu umelibrush off tu bila kulijibu. Sijui hata kama umwlielewa na umeelewa umuhimu wake kimantiki.
Kwani tukisema huyu rais kachaguliwa na Watanzania, huyo rais inakuwa lazima awe kachaguliwa na Watanzania wote?
Kwani haiwezekani Watanzania wengi wakamchagua rais, akawa kakubalika na Watanzania wengi na hivyo kiujumla akakubalika ndiye rais halali wa Tanzania, wakati hajachaguliwa na Watanzania wote?
Kukiwa na Watanzania 100 JF wanataka kubadili jina la Dar es salaam, halafu hao wengine wote zaidi ya milioni 65 hawajali hilo jambo, hapo mtu akisema Watanzania hawajali hili jambo utakataa kwa sababu kuna 100 wanajali?
Kwani kusema Watanzania hawajali ni lazima wasijali wote?
Tukisema Watanzania wamemchagua mtu kuwa rais ni lazima awe amechaguliwa na Watanzania wote?