Bajeti kuu ya Serikali kwa Mwaka wa fedha 2023/24 kugharimu Tsh. Trilioni 44.39

Je Mauzo ya bandari yamezingatiwa humo
 
Magufuli naye yumo kwenye kundi moja na wahujumu wa taifa letu
Naona wabunge wanashangilia na kugonga meza, mbona Mimi sioni lolote la maana?

Hawa ndio Wabunge aliowataka Magufuli kazi yao kugonga meza tu pumbaaavu.
 
Mwigulu hawezi kuongea hata kidogo, jinsi anavyo wasilisha hiyo Bajeti hadi unashangaa PhD ipi aliyonayo yeye.

Mda wote anamtaja rais samia, inafika hatua anasahau hadi jinsi ya kutamka maneno sahihi, afu anaongea kwa kujistukia na kusifia tena kwa kukazia, na mda wote anababaikaa tyuuh.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipoo hapa kwa kweli.
 
Lile jamaa ni lisenge la grade A
 
Ninaangalia Mawaziri wa fedha hata wa Nchi Wafadhili , sijawahi kuona mbwembwe za kishamba kama anazofanya Mwigulu anapoingia Bungeni kuwasilisha Bajeti ya serikali masikini ya Tanzania , hivi sababu ya mambo haya ya gharama kubwa ni nini hasa ?

Kwa mbwembwe hizi anazofanya Mwigulu Bungeni , nina hakika akiondolewa kwenye Wizara ya fedha ni lazima ajinyonge , Wallah tena ! hata Rais hajawahi kufanya kama anavyofanya huyu jamaa !

Hii ni Aibu ? Akemewe .

Mbona akina Dr Mpango na wengine hawakufanya hivi ?
 
Ninaangalia Mawaziri wa fedha hata wa Nchi Wafadhili , sijawahi kuona mbwembwe za kishamba kama anazofanya Mwigulu anapoingia Bungeni kuwasilisha Bajeti ya serikali masikini ya Tanxania , hivi sababu ya mambo haya ya gharama kubwa ni nini hasa...
Umeelezea as if wote humu tunamjua huyo unaemuita mchemba
 
Anaanza kuuzoea urais ili ikifika 2030 visiwe vitu vigeni kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…