Bajeti kuu ya Serikali kwa Mwaka wa fedha 2023/24 kugharimu Tsh. Trilioni 44.39

Bajeti kuu ya Serikali kwa Mwaka wa fedha 2023/24 kugharimu Tsh. Trilioni 44.39

Ninaangalia Mawaziri wa fedha hata wa Nchi Wafadhili , sijawahi kuona mbwembwe za kishamba kama anazofanya Mwigulu anapoingia Bungeni kuwasilisha Bajeti ya serikali masikini ya Tanxania , hivi sababu ya mambo haya ya gharama kubwa ni nini hasa ?

Kwa mbwembwe hizi anazofanya Mwigulu Bungeni , nina hakika akiondolewa kwenye Wizara ya fedha ni lazima ajinyonge , Wallah tena ! hata Rais hajawahi kufanya kama anavyofanya huyu jamaa !

Hii ni Aibu ? Akemewe .

Mbona akina Dr Mpango na wengine hawakufanya hivi ?
Elezea ameingiaje?
 
Mnyiramba huyu ni mshamba sana na hana exposure.
Ninaangalia Mawaziri wa fedha hata wa Nchi Wafadhili , sijawahi kuona mbwembwe za kishamba kama anazofanya Mwigulu anapoingia Bungeni kuwasilisha Bajeti ya serikali masikini ya Tanxania , hivi sababu ya mambo haya ya gharama kubwa ni nini hasa ?

Kwa mbwembwe hizi anazofanya Mwigulu Bungeni , nina hakika akiondolewa kwenye Wizara ya fedha ni lazima ajinyonge , Wallah tena ! hata Rais hajawahi kufanya kama anavyofanya huyu jamaa !

Hii ni Aibu ? Akemewe .

Mbona akina Dr Mpango na wengine hawakufanya hivi ?
 
Ninaangalia Mawaziri wa fedha hata wa Nchi Wafadhili , sijawahi kuona mbwembwe za kishamba kama anazofanya Mwigulu anapoingia Bungeni kuwasilisha Bajeti ya serikali masikini ya Tanzania , hivi sababu ya mambo haya ya gharama kubwa ni nini hasa ?

Kwa mbwembwe hizi anazofanya Mwigulu Bungeni , nina hakika akiondolewa kwenye Wizara ya fedha ni lazima ajinyonge , Wallah tena ! hata Rais hajawahi kufanya kama anavyofanya huyu jamaa !

Hii ni Aibu ? Akemewe .

Mbona akina Dr Mpango na wengine hawakufanya hivi ?
Ebu dadavua kidogo namna au mbwembwe alizoingia nazo bungeni mkuu
 
Mkuu Erythrocyte nakuunga mkono. Alichofanya Mwigulu ni upuuzi na huenda anaiga upumbavu wa chama cha Mbowe kutumia mamilioni kukodi helikopta kwenda kufanya mikutano kwenye vijiji vyenye umaskini wa kutisha huku hata ofisi yake tu haina. Ninamshauri Mwigulu aache ushamba wa kuiga upuuzi wa Chama cha Mbowe.
 
kila mtanzania anayezaliwa tayari ni mwana CCM
Sijawahi na kamwe sinto kuwa ccm.
Hata Biblia imekataza kushirikiana na ccm na matendo yake.
Waefeso 5:11-12
[11]Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;

[12]kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.

HAYA CHEKI NA HAPA
Isaya 50:11
[11]Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika mwali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.
 
Ninaangalia Mawaziri wa fedha hata wa Nchi Wafadhili , sijawahi kuona mbwembwe za kishamba kama anazofanya Mwigulu anapoingia Bungeni kuwasilisha Bajeti ya serikali masikini ya Tanzania , hivi sababu ya mambo haya ya gharama kubwa ni nini hasa ?

Kwa mbwembwe hizi anazofanya Mwigulu Bungeni , nina hakika akiondolewa kwenye Wizara ya fedha ni lazima ajinyonge , Wallah tena ! hata Rais hajawahi kufanya kama anavyofanya huyu jamaa !

Hii ni Aibu ? Akemewe .

Mbona akina Dr Mpango na wengine hawakufanya hivi ?
Huyo jamaa ni wa ajabu..
 
kila mtanzania anayezaliwa tayari ni mwana CCM
Sijawahi na kamwe sinto kuwa ccm.
Hata Biblia imekataza kushirikiana na ccm na matendo yake.
Waefeso 5:11-12
[11]Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;

[12]kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.

HAYA CHEKI NA HAPA
Isaya 50:11
[11]Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika mwali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.
 
kila mtanzania anayezaliwa tayari ni mwana CCM
Sijawahi na kamwe sinto kuwa ccm.
Hata Biblia imekataza kushirikiana na ccm na matendo yake.
Waefeso 5:11-12
[11]Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;

[12]kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.

HAYA CHEKI NA HAPA
Isaya 50:11
[11]Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika mwali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.
 
kila mtanzania anayezaliwa tayari ni mwana CCM
Yuko sahihi 100%. Kiongozi wa kwanza kukuhudumia unapoishi ni kada wa CCM kindakindaki kwa maana ya wajumbe wa nyumba kumi. Kwa mfano ukitaka passport lazima uende na barua toka kwa kiongozi wa CCM (Mjumbe) wa mtaa wako. Hata kwenye kufungua akaunti benki huwa wanataka barua ya utambulisho toka kwa kiongozi wa CCM (Mjumbe)
 
Back
Top Bottom