Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Sasa dhalimu si hayupo?Toka bunge lianze kuingiza sifa za kumsifia rais, hata bajeti zimegeuka kukosa mvuto. Na muasisi wa hizo sifa za kijinga kwa rais ni dhalimu. Sasa hivi bunge ndio limezidi kugeuka kinyaa.
.
Vipi huyu rais wako mwema mwanademocrasia?