Bajeti kuu ya Serikali kwa Mwaka wa fedha 2023/24 kugharimu Tsh. Trilioni 44.39

Bajeti kuu ya Serikali kwa Mwaka wa fedha 2023/24 kugharimu Tsh. Trilioni 44.39

Ninaangalia Mawaziri wa fedha hata wa Nchi Wafadhili , sijawahi kuona mbwembwe za kishamba kama anazofanya Mwigulu anapoingia Bungeni kuwasilisha Bajeti ya serikali masikini ya Tanzania , hivi sababu ya mambo haya ya gharama kubwa ni nini hasa ?

Kwa mbwembwe hizi anazofanya Mwigulu Bungeni , nina hakika akiondolewa kwenye Wizara ya fedha ni lazima ajinyonge , Wallah tena ! hata Rais hajawahi kufanya kama anavyofanya huyu jamaa !

Hii ni Aibu ? Akemewe .

Mbona akina Dr Mpango na wengine hawakufanya hivi ?
Mwigulu Rais 2015.Yale mawe yaliandikwa.
 
Ninaangalia Mawaziri wa fedha hata wa Nchi Wafadhili , sijawahi kuona mbwembwe za kishamba kama anazofanya Mwigulu anapoingia Bungeni kuwasilisha Bajeti ya serikali masikini ya Tanzania , hivi sababu ya mambo haya ya gharama kubwa ni nini hasa ?

Kwa mbwembwe hizi anazofanya Mwigulu Bungeni , nina hakika akiondolewa kwenye Wizara ya fedha ni lazima ajinyonge , Wallah tena ! hata Rais hajawahi kufanya kama anavyofanya huyu jamaa !

Hii ni Aibu ? Akemewe .

Mbona akina Dr Mpango na wengine hawakufanya hivi ?
Sio wote tumeangalia alivyoingia.
Hebu tueleze na sie tupate faida
 
Kila nikiliona bunge napata kicheko-kichefu-dharau... Eti walikaa wakala maposho na mshahara mkuuubwa wakagonga meza kupitisha sheria
"Ukiua tembo utalipa faini 32,000,000 lkn tembo akikuua utapewa 1,000,000 (kamilioni)"
Kiufupi watu hawa tunaowalipa pesa nyingi kuliko watumishi weeengi serikalini wanatuambia
"Maisha ya tembo mmoja nimuhimu kuliko ya watanzania thelathini!!!
Alafu kunampuuzi ananiambia niwasikilize na niwaheshimu wabunge wanatuwakilisha wananchi!!??!?!.... Maishaaaa!
 
Sijawahi na kamwe sinto kuwa ccm.
Hata Biblia imekataza kushirikiana na ccm na matendo yake.
Waefeso 5:11-12
[11]Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;

[12]kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.

HAYA CHEKI NA HAPA
Isaya 50:11
[11]Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika mwali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.
CCM haikwepeki. Ndo chama kilichobeba matumaini ya watanzania wote ukiwemo wewe pia.
 
Hili suala la bandari limewachefua sana watz. Angalia hata suala la bajeti watu hawana habari nalo kabisa.


NB. Tuliambiwa Lukuvi ni sukuma gang waliotaka kumpindua Samia asiwe rais. Inakuwaje kawa mshauri wake tena?
 
Hili suala la bandari limewachefua sana watz. Angalia hata suala la bajeti watu hawana habari nalo kabisa.


NB. Tuliambiwa Lukuvi ni sukuma gang waliotaka kumpindua Samia asiwe rais. Inakuwaje kawa mshauri wake tena?
Shida ya huyu mama anashauriwa na mtu ambaye kwenye yake ya uongozi alifeli sana katika mambo mengi na nchi ilitaka kumshinda. Mtu huyo kakumbatiwa na mama. Hovyo kabisa
 
Hili suala la bandari limewachefua sana watz. Angalia hata suala la bajeti watu hawana habari nalo kabisa.


NB. Tuliambiwa Lukuvi ni sukuma gang waliotaka kumpindua Samia asiwe rais. Inakuwaje kawa mshauri wake tena?
Toka bunge lianze kuingiza sifa za kumsifia rais, hata bajeti zimegeuka kukosa mvuto. Na muasisi wa hizo sifa za kijinga kwa rais ni dhalimu. Sasa hivi bunge ndio limezidi kugeuka kinyaa.
 
Hili suala la bandari limewachefua sana watz. Angalia hata suala la bajeti watu hawana habari nalo kabisa.


NB. Tuliambiwa Lukuvi ni sukuma gang waliotaka kumpindua Samia asiwe rais. Inakuwaje kawa mshauri wake tena?
Adui amesogezwa karibu, Samia hampendi Lukuvi
 
Hili suala la bandari limewachefua sana watz. Angalia hata suala la bajeti watu hawana habari nalo kabisa.


NB. Tuliambiwa Lukuvi ni sukuma gang waliotaka kumpindua Samia asiwe rais. Inakuwaje kawa mshauri wake tena?
Watu wanapimwa uvumilivu Sasa IPO siku uvumilivu utatafutwa kwa tochi waache tu hayo Mambo ya BANDARI au vifungu vibadilushwe Kama wananchi wanvyotaka
 
Back
Top Bottom