Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Umeniwahi na hii comment.Utadhani wote tulikuwa tunaangalia televisheni kwa pamoja sebuleni kwako.
Elezea alivyoingia Mkuu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeniwahi na hii comment.Utadhani wote tulikuwa tunaangalia televisheni kwa pamoja sebuleni kwako.
Elezea alivyoingia Mkuu..
Mwigulu Rais 2015.Yale mawe yaliandikwa.Ninaangalia Mawaziri wa fedha hata wa Nchi Wafadhili , sijawahi kuona mbwembwe za kishamba kama anazofanya Mwigulu anapoingia Bungeni kuwasilisha Bajeti ya serikali masikini ya Tanzania , hivi sababu ya mambo haya ya gharama kubwa ni nini hasa ?
Kwa mbwembwe hizi anazofanya Mwigulu Bungeni , nina hakika akiondolewa kwenye Wizara ya fedha ni lazima ajinyonge , Wallah tena ! hata Rais hajawahi kufanya kama anavyofanya huyu jamaa !
Hii ni Aibu ? Akemewe .
Mbona akina Dr Mpango na wengine hawakufanya hivi ?
Kumbe anaitwa Lameck?Lameck Madelu ni janja janja.
Kumbe anaitwa Lameck?
So wanae wanatumia Madelu au Nchemba ?Hahahaaa kwasisi tuliosoma naye tunamjua kama Lameck Madelu ,jina la Mwigulu Nchemba ni la kutafutia ugali.
Sio wote tumeangalia alivyoingia.Ninaangalia Mawaziri wa fedha hata wa Nchi Wafadhili , sijawahi kuona mbwembwe za kishamba kama anazofanya Mwigulu anapoingia Bungeni kuwasilisha Bajeti ya serikali masikini ya Tanzania , hivi sababu ya mambo haya ya gharama kubwa ni nini hasa ?
Kwa mbwembwe hizi anazofanya Mwigulu Bungeni , nina hakika akiondolewa kwenye Wizara ya fedha ni lazima ajinyonge , Wallah tena ! hata Rais hajawahi kufanya kama anavyofanya huyu jamaa !
Hii ni Aibu ? Akemewe .
Mbona akina Dr Mpango na wengine hawakufanya hivi ?
kwa vile moderator kaunga uzi nadhani jukumu hilo sasa achukue yeyeSio wote tumeangalia alivyoingia.
Hebu tueleze na sie tupate faida
Unapigwa spana hadi umalia lia tukwa vile moderator kaunga uzi nadhani jukumu hilo sasa achukue yeye
CCM haikwepeki. Ndo chama kilichobeba matumaini ya watanzania wote ukiwemo wewe pia.Sijawahi na kamwe sinto kuwa ccm.
Hata Biblia imekataza kushirikiana na ccm na matendo yake.
Waefeso 5:11-12
[11]Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;
[12]kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.
HAYA CHEKI NA HAPA
Isaya 50:11
[11]Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika mwali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.
So wanae wanatumia Madelu au Nchemba ?
Hakuna wa kunipiga spana hapa JF , wewe mwenyewe tegemeo lako ni matusi tu
Shida ya huyu mama anashauriwa na mtu ambaye kwenye yake ya uongozi alifeli sana katika mambo mengi na nchi ilitaka kumshinda. Mtu huyo kakumbatiwa na mama. Hovyo kabisaHili suala la bandari limewachefua sana watz. Angalia hata suala la bajeti watu hawana habari nalo kabisa.
NB. Tuliambiwa Lukuvi ni sukuma gang waliotaka kumpindua Samia asiwe rais. Inakuwaje kawa mshauri wake tena?
Toka bunge lianze kuingiza sifa za kumsifia rais, hata bajeti zimegeuka kukosa mvuto. Na muasisi wa hizo sifa za kijinga kwa rais ni dhalimu. Sasa hivi bunge ndio limezidi kugeuka kinyaa.Hili suala la bandari limewachefua sana watz. Angalia hata suala la bajeti watu hawana habari nalo kabisa.
NB. Tuliambiwa Lukuvi ni sukuma gang waliotaka kumpindua Samia asiwe rais. Inakuwaje kawa mshauri wake tena?
Adui amesogezwa karibu, Samia hampendi LukuviHili suala la bandari limewachefua sana watz. Angalia hata suala la bajeti watu hawana habari nalo kabisa.
NB. Tuliambiwa Lukuvi ni sukuma gang waliotaka kumpindua Samia asiwe rais. Inakuwaje kawa mshauri wake tena?
Watu wanapimwa uvumilivu Sasa IPO siku uvumilivu utatafutwa kwa tochi waache tu hayo Mambo ya BANDARI au vifungu vibadilushwe Kama wananchi wanvyotakaHili suala la bandari limewachefua sana watz. Angalia hata suala la bajeti watu hawana habari nalo kabisa.
NB. Tuliambiwa Lukuvi ni sukuma gang waliotaka kumpindua Samia asiwe rais. Inakuwaje kawa mshauri wake tena?