Ujenzi wa mwendokasi kwenye barabara ya Moroco - Mwenge umefutwa au kusimamishwa, morogoro road wanasubiri pesa ili waendelee na ujenzi, Kituo cha mabasi Mbezi hakijakamilika, hawana pesa n.kHizo pesa ziko wapi mbona maneno matupu?
🙏🙏 Kwa Takwimu na uchambuzi murua tuu nakukubali mkuu,pamoja Sana.Bajeti moja ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano
=================================
Kasi ya Rais Samia katika kuwaletea maendeleo Watanzani hawa masikini inatetemesha kama wanavyosema, Rais huyu katika kutambua ili nchi yeyote iendelee kwa kasi lazima iwe na miundombinu ya barabara iliyo rafiki na madhubuti, Rais tayari kwenye bajeti yake ya kwanza yaani FY2021|22 ametoa Tshs 2trilioni kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja, bajaeti hii ni sawa na ongezeko la 100% la Bajeti ya serikali iliyopita ambayo ilitenga Tshs 1trilioni FY2020|21
Kama gharama ya kujenga kilometa moja ya" lami" kwa kiwango cha kimataifa ni Tshs 1BL basi bajeti hii ya Rais Samia inaweza kujenga jumla ya kilometa mpya 2,000 za lami kwa mwaka huu mmoja wa fedha wa 2021|22 ikiwa ni sawa na 18.3% ya barabara zote km 10,941 zilizojengwa tangu uhuru, Nakama mwendo ni huu mpaka kufikia FY2030|31 barabara zote km 33,649 nchi nzima zitakuwa zimejengwa kwa kiwango cha lami,Katika historia ya nchi hii kama kuna mtu anatakiwa kuombewa kwa nguvu basi ni huyu Mama,
Hayati Rais Magufuli kwa miaka yake mitano alifanikiwa kujenga jumla ya km 1,004 hii ni kwamujibu wa National Bureau of Statistics (NBS), Kwa lugha rahisi Bajeti moja ya barabaraba ya Rais Samia inaweza kujenga marambili (X2) ya barabara zote zilizojengwa kwa miaka mitano mfululizo ya Serikali ya awamu ya tano (A comparative analysis )
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1963497
Kwa hiyo unataka kila kitu wakuonyeshe huku kwetu hela za zahanati zimeshaingia zabuni za ujenzi zimeshatangazwa.Boss, unajua mpaka sasa pesa zimekopwa, pesa zimetolewa na hakuna hata moja lililosemwa limeanza kutekelezwa? Zile za tozo tu wamesema zimeshasambazwa, ajabu waimba mapambio hawaoneshi kazi zilizoanza, wanaleta mipango na takwimu zao zisizo na ulinganifu wala mizania.
Pesa zinatumbukizwa kwenye mifuko yao mirefu isiyojaa.
Kazi iendelee
Tume inakuletea ugali we mburura? Hamia Kenya kuna Katiba mpya inaleta ugali mezani.Leteni Tume huru ya Uchaguzi , hakuna anekula barabara akashiba. Msitizunguwe
Mkoje?Sishangai maana waafrika ndivyo tulivyo
Ongeza sauti mkuu,tume huru tutakula tukashiba.bavicha yaani nishida tu!Leteni Tume huru ya Uchaguzi , hakuna anekula barabara akashiba. Msitizunguwe
Upigaji ,propaganda na uongo..Alikuwa anakamua ng'ombe asiyemlisha..sasa mzee baba alikuwa anafanya nini? taarifa za kupika ni hatari kwa uhai wa taifa
Acha porojo hakuna chochote kinachofanyika zaidi ya praise and worship zenu nyie wezi na mama yenu huyo.Kwa hiyo unataka kila kitu wakuonyeshe huku kwetu hela za zahanati zimeshaingia zabuni za ujenzi zimeshatangazwa.
Na hawana hata haya kwakuwa wanaamini wanawaongoza misukule.Boss, unajua mpaka sasa pesa zimekopwa, pesa zimetolewa na hakuna hata moja lililosemwa limeanza kutekelezwa? Zile za tozo tu wamesema zimeshasambazwa, ajabu waimba mapambio hawaoneshi kazi zilizoanza, wanaleta mipango na takwimu zao zisizo na ulinganifu wala mizania.
Pesa zinatumbukizwa kwenye mifuko yao mirefu isiyojaa.
Kazi iendelee
Vinajengewa wapi?Tumefanya nini waafrica mkuu?
Bajeti moja ya barabara|madaraja & Viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Kwa hiyo unataka kila kitu wakuonyeshe huku kwetu hela za zahanati zimeshaingia zabuni za ujenzi zimeshatangazwa.
Kusifu na kuabudu.Bajeti moja ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano
=================================
Kasi ya Rais Samia katika kuwaletea maendeleo Watanzani hawa masikini inatetemesha kama wanavyosema, Rais huyu katika kutambua ili nchi yeyote iendelee kwa kasi lazima iwe na miundombinu ya barabara iliyo rafiki na madhubuti, Rais tayari kwenye bajeti yake ya kwanza yaani FY2021|22 ametoa Tshs 2trilioni kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja, bajaeti hii ni sawa na ongezeko la 100% la Bajeti ya serikali iliyopita ambayo ilitenga Tshs 1trilioni FY2020|21
Kama gharama ya kujenga kilometa moja ya" lami" kwa kiwango cha kimataifa ni Tshs 1BL basi bajeti hii ya Rais Samia inaweza kujenga jumla ya kilometa mpya 2,000 za lami kwa mwaka huu mmoja wa fedha wa 2021|22 ikiwa ni sawa na 18.3% ya barabara zote km 10,941 zilizojengwa tangu uhuru, Nakama mwendo ni huu mpaka kufikia FY2030|31 barabara zote km 33,649 nchi nzima zitakuwa zimejengwa kwa kiwango cha lami,Katika historia ya nchi hii kama kuna mtu anatakiwa kuombewa kwa nguvu basi ni huyu Mama,
Hayati Rais Magufuli kwa miaka yake mitano alifanikiwa kujenga jumla ya km 1,004 hii ni kwamujibu wa National Bureau of Statistics (NBS), Kwa lugha rahisi Bajeti moja ya barabaraba ya Rais Samia inaweza kujenga marambili (X2) ya barabara zote zilizojengwa kwa miaka mitano mfululizo ya Serikali ya awamu ya tano (A comparative analysis )
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1963497
Kila Rais ana vipaombele vyake,kama ni lazima kufuta wafute.Ujenzi wa mwendokasi kwenye barabara ya Moroco - Mwenge umefutwa au kusimamishwa, morogoro road wanasubiri pesa ili waendelee na ujenzi, Kituo cha mabasi Mbezi hakijakamilika, hawana pesa n.k
Tunaenda kujenga barabara za thamani ya 2trillion wamesema.
Nadhani waafrica tunaishi ndani ya dunia.
Tulia we beberu huwezi elewaMkoje?
We mnyonge endelea kuugulia maumivu ya 👇Tulia we beberu huwezi elewa
Mkuu pesa ni kodi zetu kwa kiasi kikubwa,Hizo ni habari nzuri. Ila najiuliza tu, pesa zenyewe zinatoka wapi?
Ngonjera ni zile za Mwendazake,humu ni facts na namba tuu.We coomer hio posho unayolipwa na kitengo cha praise team awamu hii usipojenga hujengi tena😅!!!
Naona maslahi mazuri maana daily hukauki humu na ngonjera za tumsifu!