Ndalilo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,343
- 7,516
Boss, kwahiyo kwa hayo maandishi ndio kazi zinaendelea? Kwamba wewe una kazi na wengine wazurulaji?Kila Rais ana vipaombele vyake,kama ni lazima kufuta wafute.
Kituo cha Mabasi wakati mnazindua si mlituambia kimekamilika na mkaalika Rais wa Malawi vipi tena mlisubiria Samia aje kuwakamilishia?
Hiyo ya Kibaha ni suala la tax na Kazi zilizoongezeka zimeongeza gharama ya ujenzi kwa hiyo serikali ilikuwa inajirishisha kabla ya kutoa pesa maana hamkawii kusema wameongeza bei Ili kupiga.
Mna midomo Sana nyie,mkuu tafuta kazi ya kufanya uzushi haitakusaidia.Kazi zinaendelea kwa kasi sana.
Mwisho Sio tuu bajeti ya Wizara ya imekuwa mara 2 bali ya Tarura imekuwa mara 3..Chief Hangaya Sio size yenu 👇
View attachment 1963609
Hizi bajeti na mipango umeanza kuiona leo? Labda ukachukue za kuanzia mwaka 1995, kisha uniambie kila moja imetekelezwa kwa asilimia ngapi, kama chama kiliwahu badilika? Kisha uniambie wewe mfanyakazi mwanachama, kipi kitabadilika na kwa kuona viashiria gani tofauti.
Nimejipa kazi, kuuliza maswali inanitosha