Bajeti moja ya barabara ya Rais Samia inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita

Bajeti moja ya barabara ya Rais Samia inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita

Kila Rais ana vipaombele vyake,kama ni lazima kufuta wafute.

Kituo cha Mabasi wakati mnazindua si mlituambia kimekamilika na mkaalika Rais wa Malawi vipi tena mlisubiria Samia aje kuwakamilishia?

Hiyo ya Kibaha ni suala la tax na Kazi zilizoongezeka zimeongeza gharama ya ujenzi kwa hiyo serikali ilikuwa inajirishisha kabla ya kutoa pesa maana hamkawii kusema wameongeza bei Ili kupiga.

Mna midomo Sana nyie,mkuu tafuta kazi ya kufanya uzushi haitakusaidia.Kazi zinaendelea kwa kasi sana.

Mwisho Sio tuu bajeti ya Wizara ya imekuwa mara 2 bali ya Tarura imekuwa mara 3..Chief Hangaya Sio size yenu 👇

View attachment 1963609
Boss, kwahiyo kwa hayo maandishi ndio kazi zinaendelea? Kwamba wewe una kazi na wengine wazurulaji?

Hizi bajeti na mipango umeanza kuiona leo? Labda ukachukue za kuanzia mwaka 1995, kisha uniambie kila moja imetekelezwa kwa asilimia ngapi, kama chama kiliwahu badilika? Kisha uniambie wewe mfanyakazi mwanachama, kipi kitabadilika na kwa kuona viashiria gani tofauti.

Nimejipa kazi, kuuliza maswali inanitosha
 
Nilishasema nasema tena,

Huyu Mama ni hatari sana kwa mipango,

Kwa kasi hii mnadhani mpaka mwaka 2030 tutakuwa tumefika wapi?

Sijaona kama Samia bado narudia tena,

Mama hana kelele ila kasi yake ni kubwa mno,

Ee Mungu mlinde Samia watanzania wapate maendeleo ya kweli,
Mkiwa na kiongozi mwenye uchuro na nchi inapata uchuro,SSH ana nyota just like this ,LPG hiyoooo loading 👇

Screenshot_20211005-080626.png


Screenshot_20211005-080559.png
 
Boss, kwahiyo kwa hayo maandishi ndio kazi zinaendelea? Kwamba wewe una kazi na wengine wazurulaji?

Hizi bajeti na mipango umeanza kuiona leo? Labda ukachukue za kuanzia mwaka 1995, kisha uniambie kila moja imetekelezwa kwa asilimia ngapi, kama chama kiliwahu badilika? Kisha uniambie wewe mfanyakazi mwanachama, kipi kitabadilika na kwa kuona viashiria gani tofauti.

Nimejipa kazi, kuuliza maswali inanitosha
Wapi ulipoona wewe Kazi zimesimama? Kama hujui kutafuta taarifa basi angalia hata tv.
 
Pamoja na mapambio yote hayo na sifa za kijinga bado haieleweki mama anakusudia kutupeleka wapi, yaani hakuna mwelekeo.
Kama huoni anakokisudia kutupeleka basi ngoja tutakuchukua tukupeleke kibra ukashikishwe ukuta hapo utaelewa uelekeo bila shaka.
 
Mafao ya PSSSF NA NSSF ya watu walipeni haki zao siyo mnayumba
 
Boss, unajua mpaka sasa pesa zimekopwa, pesa zimetolewa na hakuna hata moja lililosemwa limeanza kutekelezwa? Zile za tozo tu wamesema zimeshasambazwa, ajabu waimba mapambio hawaoneshi kazi zilizoanza, wanaleta mipango na takwimu zao zisizo na ulinganifu wala mizania.

Pesa zinatumbukizwa kwenye mifuko yao mirefu isiyojaa.

Kazi iendelee
Unapayuka tuu usiyoyajua,kuna siku uliwahi sikia serikali imekopa alafu haijasema hela itafanya nini?

Wakati mnakopa huku mnadanganya kwamba mnafanya kwa pesa zenu pesa mlikuwa mnapeleka wapi na hakuna mradi mliokamilisha kwa miaka yote 6?

We ni mjinga yaani subiria ndani ya miezi 6 by desemba utapata kuona vituo vya afya,madarasa ya tozo..

Kwa mfano huko kwako huoni Tarura wakijenga barabara? Umesikia popote saizi kelele za wabunge? Jibu ni wanaona matokeo.

Mumebakia nyie wajinga wenye chuki ndio mnajifanya hamuoni,sisi tutakuwa tunawaonesha namba tuu kama hivi 👇

Screenshot_20211004-214937.png


Screenshot_20211004-215102.png


Screenshot_20211004-200050.png


Screenshot_20211004-200129.png


Screenshot_20211004-144019.png


Screenshot_20211004-144034.png
 

Bajeti moja ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano​

=================================
Kasi ya Rais Samia katika kuwaletea maendeleo Watanzani hawa masikini inatetemesha kama wanavyosema, Rais huyu katika kutambua ili nchi yeyote iendelee kwa kasi lazima iwe na miundombinu ya barabara iliyo rafiki na madhubuti, Rais tayari kwenye bajeti yake ya kwanza yaani FY2021|22 ametoa Tshs 2trilioni kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja, bajaeti hii ni sawa na ongezeko la 100% la Bajeti ya serikali iliyopita ambayo ilitenga Tshs 1trilioni FY2020|21

Kama gharama ya kujenga kilometa moja ya" lami" kwa kiwango cha kimataifa ni Tshs 1BL basi bajeti hii ya Rais Samia inaweza kujenga jumla ya kilometa mpya 2,000 za lami kwa mwaka huu mmoja wa fedha wa 2021|22 ikiwa ni sawa na 18.3% ya barabara zote km 10,941 zilizojengwa tangu uhuru, Nakama mwendo ni huu mpaka kufikia FY2030|31 barabara zote km 33,649 nchi nzima zitakuwa zimejengwa kwa kiwango cha lami,Katika historia ya nchi hii kama kuna mtu anatakiwa kuombewa kwa nguvu basi ni huyu Mama,

Hayati Rais Magufuli kwa miaka yake mitano alifanikiwa kujenga jumla ya km 1,004 hii ni kwamujibu wa National Bureau of Statistics (NBS), Kwa lugha rahisi Bajeti moja ya barabaraba ya Rais Samia inaweza kujenga marambili (X2) ya barabara zote zilizojengwa kwa miaka mitano mfululizo ya Serikali ya awamu ya tano (A comparative analysis )


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1963497
acha siasa
 
Mkuu hizi chuki ni kwa faida ya nani?

Hizi barabara Samia anajenga Zanzibar?

Hii SGR Samia anajenga Zanzibar?

Hii SG megawatt 2,114 Samia anajenga Zanzibar?

Haya madarasa elfu 15 Samia anajenga Zanzibar?

Hivi vituo vya afya 220 Samia anajenga Zanzibar?


PUNGUZA UKABILA SIMAMA NA NCHI YAKO,


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Hivi wewe mpumbavu maneno ndo yanajenga? Huyo mtu wenu ana maneno mengi sana lakini ujinga ndo mwingi flyover ya hapo veta chang'ombe iko slow sana!
 
Ujenzi wa mwendokasi kwenye barabara ya Moroco - Mwenge umefutwa au kusimamishwa, morogoro road wanasubiri pesa ili waendelee na ujenzi, Kituo cha mabasi Mbezi hakijakamilika, hawana pesa n.k

Tunaenda kujenga barabara za thamani ya 2trillion wamesema.

Nadhani waafrica tunaishi ndani ya dunia.
😅😅😅
 
Mkuu hizi chuki ni kwa faida ya nani?

Hizi barabara Samia anajenga Zanzibar?

Hii SGR Samia anajenga Zanzibar?

Hii SG megawatt 2,114 Samia anajenga Zanzibar?

Haya madarasa elfu 15 Samia anajenga Zanzibar?

Hivi vituo vya afya 220 Samia anajenga Zanzibar?


PUNGUZA UKABILA SIMAMA NA NCHI YAKO,


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Huyo ana chuki binafsi haangalii matokeo kwa hiyo achana nae mpuuze..

Tzn ina maelfu ya watu hako kamtu kamoja wewe kanakupa shida gani?
 
Wafanganye wajinga wezako hv tume ya Zambia uifananishe na hii ya mahela cjui mapesa?????
Naona wewe unakula tume na unashiba kabisaa
Tusipoacha kujidanganya na tume hakuna jipya. Tambua Kenya waliitoa Kanu bila tume huru. Zambia walimtoa Kaunda bila tume huru hata juz wakati wanamtoa yule chapombe Rais mpya MH. HIKAINDE alishinda kwa tume ileile.
Mpaka pale tutakapokuwa tayari na kuukubali ukweli ndio upinzani ufikirie kushinda
 
Wewe mwerevu tuambie miaka 6 mlikuwa mnafanya nini cha maana,weka figures hapa badala ya kulia huruma kama mtoto wa kima.
Wewe mpumbavu umejisajiri humu kupiga mapambio! Stupid kamlambe makalio huyo ndugu yako maana kila siku humu kelele tu!
 

Bajeti moja ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano​

=================================
Kasi ya Rais Samia katika kuwaletea maendeleo Watanzani hawa masikini inatetemesha kama wanavyosema, Rais huyu katika kutambua ili nchi yeyote iendelee kwa kasi lazima iwe na miundombinu ya barabara iliyo rafiki na madhubuti, Rais tayari kwenye bajeti yake ya kwanza yaani FY2021|22 ametoa Tshs 2trilioni kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja, bajaeti hii ni sawa na ongezeko la 100% la Bajeti ya serikali iliyopita ambayo ilitenga Tshs 1trilioni FY2020|21

Kama gharama ya kujenga kilometa moja ya" lami" kwa kiwango cha kimataifa ni Tshs 1BL basi bajeti hii ya Rais Samia inaweza kujenga jumla ya kilometa mpya 2,000 za lami kwa mwaka huu mmoja wa fedha wa 2021|22 ikiwa ni sawa na 18.3% ya barabara zote km 10,941 zilizojengwa tangu uhuru, Nakama mwendo ni huu mpaka kufikia FY2030|31 barabara zote km 33,649 nchi nzima zitakuwa zimejengwa kwa kiwango cha lami,Katika historia ya nchi hii kama kuna mtu anatakiwa kuombewa kwa nguvu basi ni huyu Mama,

Hayati Rais Magufuli kwa miaka yake mitano alifanikiwa kujenga jumla ya km 1,004 hii ni kwamujibu wa National Bureau of Statistics (NBS), Kwa lugha rahisi Bajeti moja ya barabaraba ya Rais Samia inaweza kujenga marambili (X2) ya barabara zote zilizojengwa kwa miaka mitano mfululizo ya Serikali ya awamu ya tano (A comparative analysis )


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1963497
 
LNG ilichelewa si sababu ya hakukuwa na watu wakuweza kujenga lakini kilichochelewesha ni "win win situation" ongeeeni ila mzingatie maslahi ya nchi sio kuwapa ila hatupati kitu.
Win win gani hiyo mnajadili miaka 6? Bila shaka Serikali ya Chief Hangaya iko makini maslahi yatazingatiwa .

But usitegemee 50/50 ndio ukajua ni win win situation hakuna kitu kama hicho..ukipata 20/80 na teknolojia,ajira na Kodi plus multiplier effects ni big progress hiyo ..
 
Back
Top Bottom