Bajeti moja ya barabara ya Rais Samia inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita

Bajeti moja ya barabara ya Rais Samia inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita

Hizo pesa ziko wapi mbona maneno matupu?
Ujenzi wa mwendokasi kwenye barabara ya Moroco - Mwenge umefutwa au kusimamishwa, morogoro road wanasubiri pesa ili waendelee na ujenzi, Kituo cha mabasi Mbezi hakijakamilika, hawana pesa n.k

Tunaenda kujenga barabara za thamani ya 2trillion wamesema.

Nadhani waafrica tunaishi ndani ya dunia.
 

Bajeti moja ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano​

=================================
Kasi ya Rais Samia katika kuwaletea maendeleo Watanzani hawa masikini inatetemesha kama wanavyosema, Rais huyu katika kutambua ili nchi yeyote iendelee kwa kasi lazima iwe na miundombinu ya barabara iliyo rafiki na madhubuti, Rais tayari kwenye bajeti yake ya kwanza yaani FY2021|22 ametoa Tshs 2trilioni kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja, bajaeti hii ni sawa na ongezeko la 100% la Bajeti ya serikali iliyopita ambayo ilitenga Tshs 1trilioni FY2020|21

Kama gharama ya kujenga kilometa moja ya" lami" kwa kiwango cha kimataifa ni Tshs 1BL basi bajeti hii ya Rais Samia inaweza kujenga jumla ya kilometa mpya 2,000 za lami kwa mwaka huu mmoja wa fedha wa 2021|22 ikiwa ni sawa na 18.3% ya barabara zote km 10,941 zilizojengwa tangu uhuru, Nakama mwendo ni huu mpaka kufikia FY2030|31 barabara zote km 33,649 nchi nzima zitakuwa zimejengwa kwa kiwango cha lami,Katika historia ya nchi hii kama kuna mtu anatakiwa kuombewa kwa nguvu basi ni huyu Mama,

Hayati Rais Magufuli kwa miaka yake mitano alifanikiwa kujenga jumla ya km 1,004 hii ni kwamujibu wa National Bureau of Statistics (NBS), Kwa lugha rahisi Bajeti moja ya barabaraba ya Rais Samia inaweza kujenga marambili (X2) ya barabara zote zilizojengwa kwa miaka mitano mfululizo ya Serikali ya awamu ya tano (A comparative analysis )


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1963497
🙏🙏 Kwa Takwimu na uchambuzi murua tuu nakukubali mkuu,pamoja Sana.
 
Boss, unajua mpaka sasa pesa zimekopwa, pesa zimetolewa na hakuna hata moja lililosemwa limeanza kutekelezwa? Zile za tozo tu wamesema zimeshasambazwa, ajabu waimba mapambio hawaoneshi kazi zilizoanza, wanaleta mipango na takwimu zao zisizo na ulinganifu wala mizania.

Pesa zinatumbukizwa kwenye mifuko yao mirefu isiyojaa.

Kazi iendelee
Kwa hiyo unataka kila kitu wakuonyeshe huku kwetu hela za zahanati zimeshaingia zabuni za ujenzi zimeshatangazwa.
 
sasa mzee baba alikuwa anafanya nini? taarifa za kupika ni hatari kwa uhai wa taifa
Upigaji ,propaganda na uongo..Alikuwa anakamua ng'ombe asiyemlisha..

Miaka 6 iliyopita tulipigwa Sana,hususani sisi wa Kusini,magharibi na Nyanda za Juu hakuna hata mradi alifanya,alivyokuwa ndivyo kaacha bora JK alitukumbuka Sana.
 
Kwa hiyo unataka kila kitu wakuonyeshe huku kwetu hela za zahanati zimeshaingia zabuni za ujenzi zimeshatangazwa.
Acha porojo hakuna chochote kinachofanyika zaidi ya praise and worship zenu nyie wezi na mama yenu huyo.

Mngeanza hata kuchimba msingi msingetuonyesha nyie?
Zama za porojo utendaji sifuri.
Hebu mtujuze na pesa za Muungano zilizogawanywa nusu kwa nusu zimefanya kazi gani mpaka Sasa?
Tumerejea zama za porojo na kukwiba tu
 
Boss, unajua mpaka sasa pesa zimekopwa, pesa zimetolewa na hakuna hata moja lililosemwa limeanza kutekelezwa? Zile za tozo tu wamesema zimeshasambazwa, ajabu waimba mapambio hawaoneshi kazi zilizoanza, wanaleta mipango na takwimu zao zisizo na ulinganifu wala mizania.

Pesa zinatumbukizwa kwenye mifuko yao mirefu isiyojaa.

Kazi iendelee
Na hawana hata haya kwakuwa wanaamini wanawaongoza misukule.
 
Tumefanya nini waafrica mkuu?

Bajeti moja ya barabara|madaraja & Viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano​



#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Vinajengewa wapi?
Umekalia praise and worship tu.
Tuonyeshe hata site moja mnayojenga nyie wazee wa porojo
 
Kama hawawezi kuonesha, wasitutangazie. Wakae navyo tu, au mnadhani sisi ni brainless kama makada, kwamba kila msemalo sisi tutapiga meza na kuimba mapambio, tunageuka geuka kulingana na mgeuzaji?
Kwa hiyo unataka kila kitu wakuonyeshe huku kwetu hela za zahanati zimeshaingia zabuni za ujenzi zimeshatangazwa.
 

Bajeti moja ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege ya Rais Samia FY2021|22 inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano ya awamu ya tano​

=================================
Kasi ya Rais Samia katika kuwaletea maendeleo Watanzani hawa masikini inatetemesha kama wanavyosema, Rais huyu katika kutambua ili nchi yeyote iendelee kwa kasi lazima iwe na miundombinu ya barabara iliyo rafiki na madhubuti, Rais tayari kwenye bajeti yake ya kwanza yaani FY2021|22 ametoa Tshs 2trilioni kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja, bajaeti hii ni sawa na ongezeko la 100% la Bajeti ya serikali iliyopita ambayo ilitenga Tshs 1trilioni FY2020|21

Kama gharama ya kujenga kilometa moja ya" lami" kwa kiwango cha kimataifa ni Tshs 1BL basi bajeti hii ya Rais Samia inaweza kujenga jumla ya kilometa mpya 2,000 za lami kwa mwaka huu mmoja wa fedha wa 2021|22 ikiwa ni sawa na 18.3% ya barabara zote km 10,941 zilizojengwa tangu uhuru, Nakama mwendo ni huu mpaka kufikia FY2030|31 barabara zote km 33,649 nchi nzima zitakuwa zimejengwa kwa kiwango cha lami,Katika historia ya nchi hii kama kuna mtu anatakiwa kuombewa kwa nguvu basi ni huyu Mama,

Hayati Rais Magufuli kwa miaka yake mitano alifanikiwa kujenga jumla ya km 1,004 hii ni kwamujibu wa National Bureau of Statistics (NBS), Kwa lugha rahisi Bajeti moja ya barabaraba ya Rais Samia inaweza kujenga marambili (X2) ya barabara zote zilizojengwa kwa miaka mitano mfululizo ya Serikali ya awamu ya tano (A comparative analysis )


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1963497
Kusifu na kuabudu.

Mi nilidhani haya mambo yameenda na mwendazake !!

Chama hiki kimewalemaza nguvu kazi ya taifa hili
 
Ujenzi wa mwendokasi kwenye barabara ya Moroco - Mwenge umefutwa au kusimamishwa, morogoro road wanasubiri pesa ili waendelee na ujenzi, Kituo cha mabasi Mbezi hakijakamilika, hawana pesa n.k

Tunaenda kujenga barabara za thamani ya 2trillion wamesema.

Nadhani waafrica tunaishi ndani ya dunia.
Kila Rais ana vipaombele vyake,kama ni lazima kufuta wafute.

Kituo cha Mabasi wakati mnazindua si mlituambia kimekamilika na mkaalika Rais wa Malawi vipi tena mlisubiria Samia aje kuwakamilishia?

Hiyo ya Kibaha ni suala la tax na Kazi zilizoongezeka zimeongeza gharama ya ujenzi kwa hiyo serikali ilikuwa inajirishisha kabla ya kutoa pesa maana hamkawii kusema wameongeza bei Ili kupiga.

Mna midomo Sana nyie,mkuu tafuta kazi ya kufanya uzushi haitakusaidia.Kazi zinaendelea kwa kasi sana.

Mwisho Sio tuu bajeti ya Wizara ya imekuwa mara 2 bali ya Tarura imekuwa mara 3..Chief Hangaya Sio size yenu 👇

IMG-20210717-WA0000.jpg
 
We coomer hio posho unayolipwa na kitengo cha praise team awamu hii usipojenga hujengi tena😅!!!

Naona maslahi mazuri maana daily hukauki humu na ngonjera za tumsifu!
Ngonjera ni zile za Mwendazake,humu ni facts na namba tuu.

Tunasomesha namba wazee wa legacy kama hivi yaani 👇

IMG-20210717-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom