Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Saaalaaleee UNANISIMUA MWILI kwa matumaini makubwa mkuu wangu.....πView attachment 1965801Zidumu milele πͺπΏπͺπΏπͺπΏπ€πΏπ€πΏ
Anajenga SGR- YEYE
Bwawa la Umeme SG- YEYE
MSALATO AIRPORT - YEYE
UNUNUZI WA NDEGE -YEYE
BASI ZA UDART 70 -YEYE
MKOA CHATO-YEYE
MADARASA ELFU 15- YEYE
VITUO VYA AFYA 220-YEYE
LAMI KILA KONA -YEYE
MIKOPO KILA MWANAFUNZI -YEYE
MISHAHARA JUU-YEYE
AJIRA ELFU 40-YEYE
ENDELEA ............
Uko sahihi Mwamba,waziri wa maji huyu kijana yupo vzr sana. Afu samiah sio mwizi ni rais mwanamke.
Zawadi haswa.....waziri wa maji huyu kijana yupo vzr sana. Afu samiah sio mwizi ni rais mwanamke.
ππ Jamaa katishaSaaalaaleee UNANISIMUA MWILI kwa matumaini makubwa mkuu wangu.....πView attachment 1965801
Tulikuwa black listed hahaZawadi haswa.....
Watanzania tunaendelea kuwa mfano wa mema na mazuri barani Afrika.....π
Subiri kiwanda cha kutemgeneza mbolea pale Dodoma kikamilike mkuu, ππMbolea imepanda kutoka Tsh 60,000/ kwa kilo 50 mpaka 92,000/ kwa kilo 50. Unasemaje hapo?
Ccm imeshindwa kuondoa shida ya maji kwa miaka 60 sasa tangu uhuru, tusitegemee lolote la maana kutoka kwa mama huyu.Ifikapo mwaka 2030 Shida ya maji safi na salama Tanzania huenda ikasalia kuwa historia | Bajeti mpya ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21.
Rais Samia Suluhu Hassan kwenye bajeti yake ya maji ya kwanza ametenga jumla ya Tshs 589.4BL kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji wa maji safi na salama mjini na vijijini nchi nzima, bajeti hii ni sawa na ongezeko la 284% kutoka Tshs 207.5BL zilizotolewa kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji huo wa maji safi na salama FY2020|21,Bajeti hii ya Rais Samia ni karibu maratatu zaidi ya ile ya mtangulizi wake,
Kwakuwa Rais Samia Suluhu Hassan ni mwanamke na kwakuwa zaidi 80% ya wanaopata adha ya maji mjini na vijijini ni wanawake hatimaye rais huyu mnyenyekevu ameamua kwa vitendo " Kuwatua Ndoo Vichwani " wanawake wenzake kwa kutenga kiasi hiki kikubwa cha fedha kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji wa maji mjini na vijiji,kiasi hiki cha fedha ya maendeleo hakijawahi kutengwa na serikali yeyote tangu uhuru,Heko Rais Samia,
Wastani wa upatikanaji wa maji safi na salama mjini na vijini ni 79.15% huku mjini ikiwa ni 86% na vijijini ni 72.3% huku lengo la Serikali lilikuwa ni kufikia 85% mwaka 2025 na 90% ifikapo mwaka 2035 but kwa kasi hii ya Rais Samia ambapo thamani ya bajeti ya maji ya mwaka mmoja ya Rais Samia ni sawa na thamani ya miaka mitatu ya bajeti ya maji ya Serikali iliyofanya makisio hayo,kwa lugha rahisi kabisa " Mwaka mmoja wa maji wa Rais Samia ni sawa na miaka mitatu ya maji ya mtangulize wake " au 1:3 yaani malengo ya maji ya Miaka 10 kwenye Serikali iliyopita yatatekelezwa kwa miaka 3.3 tu na Rais Samia, Kama kuna mtu wa kuombewa zaidi kwa sasa Tanzania basi ni Rais Samia,
#Nchi yenu iko katika Uelekeo Sahihi zaidi pengine tangu kuasisiwa kwake,
VIVA SAMIA VIVA ||VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1965592
Tanzania imebarikiwa mno....Uko sahihi Mwamba,
Samia hagusi hata mia
Ndio ni sass na SamiaSafi sanaaa maendeleo ni sasa
Kabisa.Unataka kumsingizia kuwa hata mimi Jumbe Brown ni ID yake?!!! Khaaaa π²π
Mimi Chadema,Ccm imeshindwa kuondoa shida ya maji kwa miaka 60 sasa tangu uhuru, tusitegemee lolote la maana kutoka kwa mama huyu.
πππͺMama Chapa kazi,
Hapa Mabwe Pande ndani ya Ubungo hakuna maji, nyie mnasema maji ya wapi?Ilani haiwezi kuwa zaidi ya Utashi mkuu,
Amina wanachokwambia
π€£π€£Fazili amekuja kiwepesi mno....siasa uchwara kwelikweli ha ha haMimi Chadema,
Kwani mama alikuwepo madarakani hiyo miaka 60?
Acha siasa uchwara
Hiki cha huku Kilwa mmeahirisha tena?Subiri kiwanda cha kutemgeneza mbolea pale Dodoma kikamilike mkuu, ππ
Swadaktaa....Ni mda tuu mtafikiwa ,hatua ndio hizo mama anachukua, haiwezekani over night matatizo yote yakamalizwa na bajeti moja ndio maana Mama anasema by 2030 shida ya Maji itakuwa imefutwa.
Sababu za mbolea kupanda bei mbona zinajulikana.....Hiki cha huku Kilwa mmeahirisha tena?
ππ ID nyingi kwani zinaruhusiwa hapa?Kabisa.
π€£Tulikuwa black listed haha
ππ