...Realstick. Pongezi....mim nashinda hasa vijiweni kwaiyo siku nzima uwa nakula kwa kudanda danda kijiwen, Asubuhi kabisa ya saamoja uji kombe la 500, ifikapo njaa mida ya saatatu ndizi jero, mshkaki jero na Coca-Cola bariid ya 600, apo inakatika 1600, mchana wali 1500 na Coca-Cola bariid 600 inakuwa 2100, next Azam energy bariid 600, jion ya saamoja kikombe kimoja cha Alkasusu 500 kwaiyo apo inakatika kama 5,800 lakin sometimes uwa nabadirisha inafika ad 10k
...Realstick. Pongezi Mkuu Nunio...Shilingi ya kitanzania 5,000.
Tuko watano, watoto wawili, watu wazima watatu.
Umeme, king'amuzi, unga, mchele, maharage, sabuni, n.k pembeni
...Pongezi...Asubuhi chapati mbili na maharage 800
Mchana ugali dagaa 1000 kwa mama nitilie
Jioni maziwa au juice na matunda tunda 1000 au siku nyingine nabadilisha uji wa ulezi au maziwa au supu ya pweza na finyango mbili 1000 hapo kijiweni
Usiku wali nyama au wali samaki 2000
Jumla 4800
Nisipo pita jion kijiweni bajeti inakuwa 3800 kwa siku
Nilipika nyumbani basi ni buku 1000
mim nashinda hasa vijiweni kwaiyo siku nzima uwa nakula kwa kudanda danda kijiwen, Asubuhi kabisa ya saamoja uji kombe la 500, ifikapo njaa mida ya saatatu ndizi jero, mshkaki jero na Coca-Cola bariid ya 600, apo inakatika 1600, mchana wali 1500 na Coca-Cola bariid 600 inakuwa 2100, next Azam energy bariid 600, jion ya saamoja kikombe kimoja cha Alkasusu 500 kwaiyo apo inakatika kama 5,800 lakin sometimes uwa nabadirisha inafika ad 10k
Naona unatafuta kisukari kwa nguvu zote.mim nashinda hasa vijiweni kwaiyo siku nzima uwa nakula kwa kudanda danda kijiwen, Asubuhi kabisa ya saamoja uji kombe la 500, ifikapo njaa mida ya saatatu ndizi jero, mshkaki jero na Coca-Cola bariid ya 600, apo inakatika 1600, mchana wali 1500 na Coca-Cola bariid 600 inakuwa 2100, next Azam energy bariid 600, jion ya saamoja kikombe kimoja cha Alkasusu 500 kwaiyo apo inakatika kama 5,800 lakin sometimes uwa nabadirisha inafika ad 10k
We mwache tu, tutakapomjia na kikokotoo cha TRA atuonyeshe vyanzo vya mapato yake asitoke mbio tu....Kwa hiyo Milioni Tatu Kwa Mwezi, Mkuu Kambaku?...
Kuna watu wanaigiza humu
kuna sku,nmechukua 10k,nmeenda sokoni imeishia kwenye mboga tu na viungo,mpka leo najiulizaga inakuwaje wife ukimpa hata 10k anapika mpka usku
Huuu ni uongoo bana ,uongooooooooo[emoji848][emoji848][emoji848]Laki 1 kwa siku. Mara moja moja nikiwa na nafasi nanunua mchele au samaki naweka kwenye friji wa kutosha wiki 2 au 3 ila sio lazima. Umeme na maji pembeni na DStv
Mchele 1kg @ 3,000 sawaWanawake wanajitahidi mno vitu vimepanda mno bei sasa hivi mchele mzuri kilo moja 3000,nyama 8000 ,samaki mzurii sangara 15,000 ,kuku mzuri 25000 wa kienyeji
Siku zingine mtakula maharage