Bajeti yako kwa siku ni shilingi ngapi kwa wewe mwenye familia?

Kwa ulaji huu ukifika 45 yrs huna sukari ama pressure basi ukatoe sadaka kubwa sana.
 
Tushirikishane bajeti yako hasa nyakati hizi ambazo bidhaa muhimu kama nafaka zilivyopanda bei. Je, wewe kwenye familia yako bajeti kwa siku ni shilingi ngapi?
Inategemea kuna nani nyumbani kwa wakati huo..!! Maana walioko shule huwa wana bajeti zao separate lakini wakiwepo home, ya shule inajumlishwa home. SO kwa siku inarange kuanzia 6,000/- hadi 10,000/- Lakini wakati huo, vufuatavyo vipo home na ni vya siku 30 kila kimoja; mchele, sukari, sabuni ya kuogea na kufulia, mafuta ya kula, DSTV, LUKU, perfume, lotions, wa kusuka, mafuta ya gari, unga, maharagwe, maziwa, majani ya chai, chumvi, gesi mtungi saizi ya kati (15kg), mitoko ya hapa na pale etc
 
Asubuhi chapati mbili na chai moja=1500
Mchana chakula 3000.
Jion chapati na chai 1500.
Usafiri 1000.

Jumla 7000.kwa siku
Broo maisha yako tofauti sana lakin MUNGU mkubwa nataman niķwambie y nimeandika iv lakin tuishie tu hapa hapa
 
Bajeti inategemeana na maeneo au kipato cha mtu kwa siku au kwa mwezi,mfano kwa wanaoishi kijijini bajeti yao huwa si kubwa sana,anaweza kuishi hata wiki bila hela kwani vitu vyote vipo shambani nk,ila kwangu mimi ninaeishi mjini kwa kipato kidogo bajeti ya siku ni elf 10
 
Reactions: p27
Wife nimemwekea maximum ya tsh 800,000 kwa kila kitu (chakula, usafiri na mambo yote ya nyumbani) na hapo atunze laki moja kila mwezi ambayo ninamdai 1.2m mwisho wa mwaka. Namfundisha nidhamu ya kukaa na cash bila kuitumia.
Mkuu uko vizuri, ni familia ya watu wangapi kama hutojali?!
 
Mkuu uko vizuri, ni familia ya watu wangapi kama hutojali?!
Asante, jumla tupo sita. Mimi, wife, watoto watatu na msaidizi mmoja japo pia ndugu huwa wanakuja mara kadhaa.
 
Hii kwa msela ni anasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…