Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Issue ni kuwa tajiri hayo mengine mtajua wenyeweUtajiri unatokana na wizi.
Mkristo hajawahi kushindwa kokote huoni tamko dogo Tu la TEC limewakosesha usingizi mmekosa cha kusema mmeanza kusema dini na siasa havichanganyikiKama ni hivyo kila
Kwa nini wakristo tunashindwa? Ni mafundisho ya Viongozi wetu wa kidini au?
Soma comment yangu no78Mkristo hajawahi kushindwa kokote huoni tamko dogo Tu la TEC limewakosesha usingizi mmekosa cha kusema mmeanza kusema dini na siasa havichanganyiki
Kama huyo manara, madrassa tu imejaaKupitia vugu vugu la Bandari nimegundua Viongozi wengi wa Dini na Wananchi hawana elimu. Mashehe ndio kabisaa hawana uelewa wa kuelewa na kudadavua mambo nyeti ya nchi hii.View attachment 2723481
Hakuna uhusiano wowote wa kuwa tajiri na kuwa na elimu.Kama mashekhe hawana elimu basi wasingezalisha matajiri namna hiyo?
Sisi wakristo tumezalisha matajiri gani kuwazidi wao?
Huyo Dr Macha usitudanganye hapa kwamba ndo Mkristo tajiri kisa kuwekeza bilion 7 DSE!Mleta mada amewasema masheikh hawana elimu kwa kuwadharau. Nimemjibu kama hawana elimu mbona wao ndo wanaongoza waumini ambao ndo wanaongoza kwa utajiri Tanzania tofauti na maaskofu wetu wa kikatoliki?
Swali langu kwake kama hawa Maaskofu wa Katoliki wana elimu mbona elimu yao haijatusaidia wakatoliki kukamata uchumi wa nchi?
Kwenye orodha zote za matajiri wa Tanzania kila sekta ukiondoa hao waarabu unaodai hata waswahili wenzetu hakuna mkatoliki mwenzetu!
Dr Mengi alikuwa mlutheri, sasa Dkt Macha nae ni Mlutheri na ndo anatubeba sisi weusi watanzania pale DSE.
Ukienda kwa Wanamuziki kuanzia Ally Kiba, Diamond, Mwana FA na Harmonize ndo wanamuziki wanaotajwa kuwa na pesa na wote hao ni waislamu. Sasa wakristo hasa sisi wakatoliki hizo elimu za maaskofu wetu zinatusaidia nini?
Sasa unawasifu vipi watu kuwa na elimu wakati wanashindwa kutumia hiyo elimu yao kutengeneza matajiri wa Tanzania?
Kuzalisha matajiri? Kwa hiyo utajiri wao ni kutokana na mashehe?Kama mashekhe hawana elimu basi wasingezalisha matajiri namna hiyo?
Sisi wakristo tumezalisha matajiri gani kuwazidi wao?
Mama yako na baba yakoKupitia vugu vugu la Bandari nimegundua Viongozi wengi wa Dini na Wananchi hawana elimu. Mashehe ndio kabisaa hawana uelewa wa kuelewa na kudadavua mambo nyeti ya nchi hii.View attachment 2723481
Walikuwepo wakina Mengi mbonaKama ni hivyo kila
Kwa nini wakristo tunashindwa? Ni mafundisho ya Viongozi wetu wa kidini au?
Maneno ya kimasikini haya achana nayoUtajiri wa kafara
Elimu na phd za nyeto. Hao ma padri wanashindwa kudadavua miili yao mungu aliyewapa. Wataweza kudadavua mkataba wa bandari?Utajiri hauna mahusiano ya moja kwa moja na Elimu wewe pumbavu.
Elimu na phd za nyeto. Hao ma padri wanashindwa kudadavua miili yao mungu aliyewapa. Wataweza kudadavua mkataba wa bandari?
Mapadri wanakosa uelewa wa kujua uume wamepewa na Mungu kwa ajili ya kazi gani, wanawezaje kuwa na ufahamu wa bandari?
Hao mapadri wamesoma lakini hawaja elimika.
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Ni dini gani?Rostam Aziz si mwarabu wala muislam pusi wa buluu wewe
Sasa hao matajiri wanawasaidia nini kama ata kwenye Elimu hawawekezi?Kama mashekhe hawana elimu basi wasingezalisha matajiri namna hiyo?
Sisi wakristo tumezalisha matajiri gani kuwazidi wao?
Amani inaelekea kaburini. Yaliyo tokea Rwanda yana tunyemeleaWatanzania amani mmeichoka eti eeh?