BAKWATA wafanya Maandamano kupinga Mapenzi ya Jinsia Moja, Vitendo vya Ukatili wa Kijinsia na Mauaji

Matitizo haya yote ni sababu za kupinga uwepo wa Mungu. Atheism ni kitu kibaya sana duniani, ni kibaya zaidi ya bomu la nyuklia
 
Wakr
I kristo hawakosi kulalama! Endeleeni kusapoti ushoga
 
Wakristo au
Wakatoliki wao ushoga ni Pete na kidole
 
Wakristo mbona tupo kimya sana? Wenzetu wameanzisha na sisi tuwaunge mkono. Kataa mapenzi ya jinsia moja utaenda kumwambia nini muumba wako siku ukifa?😑😑😑😑😑
Wakristo nidiyo namba moja wanaosapoti ushoga
 
Wale wa Zenjibar au? Kuna mwenzio huko Geita alilewa akaingia Kanisani akaenda kumvunja Yesu Sanamu mguu nusu ampasue kichwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ila kudai ya kwamba Magufuli ni zaidi ya mtume mohamed na Mungu ni sawa!πŸ’πŸ’πŸ’
Your browser is not able to display this video.
 
hamezi mtu tofali. Mnakurupuka sana, kwani nyie na hao wanao impose ushoga duniani ni nani amestaarabika? Nchi zinazounga mkono ushoga ndizo zimestaarabika kuliko nyie.
Unajua maana ya kustaarabika? Au unakurupuka hovyo tu kama chafya?

Unapotetea mashoga na kusema kua huko ndio kustaarabika unatia mashaka sana.
 
mtaweza wapi nyie? Tulieni tu huu muziki kwa nyie hamtauweza. Tena mnakosea sana approach ya kupinga. Bora mgebaki huko ndani ya majumba yenu ya kuabudia mpinge huko. Huku nje mashoga wanawachora tu
Wewe ni upinde? Naona unawatetea kwa nguvu zote!
 
Na wewe huwezi nipangia kipi cha kukoment kama umeona haifai pita hiviii
Mnajifanya kupiga huku nyie Ndio mnawachakata mashoga kwa siri anzeni na nyie kuwaacha kuwachakata watakosa soko tatizo sio mashoga tatzoo ni nyie mnaowafira
Kichwa Cha chini hakinaga adabu, ni marufuku kugusishwa wezere ya yeyote yule, hata tuu kushea kitanda haitakiwi, kidogo tuu kishaamka.

Ukipitiwa waweza Kuta ushatafuna mtu bila kujua imekuaje.
 
nitawatetea utu wao, kamwe sitatetea matendo yao. Wana haki ya kuthaminiwa kama binadamu wa kawaida ila ushoga wao haukubaliki
Hujielewi wewe wala huelewi hata unachokisimamia,

Wewe ni wakuonewa huruma tu,umepotea njia ila ndio kwanza unaongeza na Spidi!
 
Jambo zuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…