Kwa mujibu wa BAKWATA, mtoto mwenye umri wa miaka 11, 12 au 13 aliyeingia kwenye kipindi cha balehe aruhusiwe kuolewa kwa uhalali wa mahakama utakaozingatia vielelezo vya kimazingira. “Mtoto wa kike ana miaka 11, 12 hajaendelea na elimu, kwa nini asiolewe? Ukimuacha huyu ni matokeo ya kupata mimba mtaani.
wewe umesoma hapo????? Embu nielewesheUwezo wenu wa kusoma/sikiliza ni finyu/duni,kasome Tena hiyo ripoti ya bakwata
Sure. Kuna wapuuzi atakwambia anaolewa ila kuingiliwa baadaye. Hivi kimantiki kweli kabisa wanaume tulivyoumbwa na matamanio uoe binti umuache eti utakuja kumuingilia baadaye? Danganya toto ya wapi hii. Ni upuuzi wa hali ya juu. Risk factors ni nyingi. Na hata ukitazama mtoto wa miaka 14 anatoa wapi free-will ya kutaka kuoelewa na ampendaye zaidi ya kulazimishwa na wazazi au kurubuniwa na muoaji.it’s too sad kwakweli, hajafikiria hata huyo mtoto wa miaka 14 atazaa vipi mtoto
Mm nadhani wameongelea kwa binti ambaye hasomi mfano binti umempeleka shule akafika la 7 akafeli.Nyie kubalini watoto wenu waolewe katika umri huo alafu baadaye mje mseme mnataka haki sawa na Wanaume ambao wakati watoto zenu wanaolewa wao wanakuwa wanaendelea kubukua kitabu kuzitafuta Masters degree na PhD.
Na mzazi atakayekubali Binti yake wa miaka 14 kuolewa atakuwa Lofa mkubwa [emoji35]
Wanataka Sheria ya serikali ya Binti wa miaka 14 ambaye hasomi kuozeshwa(si kwa kulazimisha) kwa amri ya mahakama iendelee isifutwewewe umesoma hapo????? Embu nieleweshe
Kwani watoto wote huwa wanasoma sekondari?Niliku namjibu bibi Faiza amesema ikiwezekana hata miaka 12 waolewe, hata huvyo 14 bado ni watoto na hawajamaliza hata masomo ya sekondari
na hiyo zamani vifo vilivotokana na uzazi vilikua vingi…sasa ndo wanataka waturudishe huko. Sijui wa nafikiria kwa kutumia niniSure. Kuna wapuuzi atakwambia anaolewa ila kuingiliwa baadaye. Hivi kimantiki kweli kabisa wanaume tulivyoumbwa na matamanio uoe binti umuache eti utakuja kumuingilia baadaye? Danganya toto ya wapi hii. Ni upuuzi wa hali ya juu. Risk factors ni nyingi.
Jamii za zamani ni kweli mabinti waliolewa wadogo kutokana na mfumo wa maisha ya zama za zamani kutomjumuisha mwanamke katika elimu na mambo mengine zaidi ya kubaki na jukumu la ulezi na ndoa.
Zama zimebadilika na wapumbavu wanataka tuendelee kuishi kama tuko mwaka 1120. Halafu baadaye yaanze malalamiko.
Watafungwaje wakati Serikali na dini zimekubali?
Mtaani kwangu kuna darasa la 6 mapepe vibaya mno
Hata kama hawasomi bado wapo chini ya uangalizi wa wazazi na bado tunawahesabu kama watoto, swalq la kuolewa wasubiriwe mpaka wafikishe umri unaostahiliKwani watoto wote huwa wanasoma sekondari?
Naunga mkono hoja
Bikra siku hizi ni zakutafuta Kwa tochi
Labda tutaziwahi
unajua risks za kiafya za mtoto huyo kuolewa hata kama hasomi? Embu tuache kuendekeza ujinga in the name of diniWanataka Sheria ya serikali ya Binti wa miaka 14 ambaye hasomi kuozeshwa(si kwa kulazimisha) kwa amri ya mahakama iendelee isifutwe
KWA KWELI.Faida pekee ya mtoto wa 14 yrs kuolewa ni MWANAUME AFAIDI TUNDA LIKIWA BADO CHANGA.
Kama naliona dushe la huyo mwanasheria lilivyosimama wkt anashauri hayo huku akiwaza utamu atakaoupata kwa miaka michache huku akipuuzia madhara makubwa na ya kudumu yanayokwenda kumpata msichana huyo miaka michache ijayo.
Binti huyo akifikisha miaka 20 mumewe ustaadh atakua keshamchoka,anamuona mzee na atamtaliki akiwa na urithi wa vitoto na labda FISTULA huku akiwa hana elimu wala ujuzi wowote zaid ya ule wa kupika na kumkatia viuno ustaadh.
Wakati huo ustaadh keshaoa 14 yrs pussy nyingine hataki kusikia cha watoto wanaumwa wala wanahitaji daftari.
HUU NI UKATILI UPINGWE
😂😂😂 jf sio sehemu ya kubishana wallah….watu wamevurugwa wanajifanya hawaelewiSo lengo liwe kufukuzia bikra.
Afanyiwe counselling na atafutiwe mafunzo mengine ya stadi za kazi na maisha. Sijui kwanini tunayatazama mambo kirejareja bila upana wake.Kila kitu kiangaliwe mazingira wengine wana miaka13 umbo kubwa ataki kusoma na ameanza balaa kitaani, katokea MTU wa kumuoa na mwenyewe kakubali je? Apo vipi. Wengine umri uo bado watoto kabisa ata kuvunja bado .
Kila kitu kifanyike kikiwa tayari.
na hizo sheria zote zimewekwa kumfaidisha mwanaume…zoooote yani zooooote. Mara wake wanne, mara mbinguni watapewa mabikra 1000 yani zote zina favor mwanaumeFaida pekee ya mtoto wa 14 yrs kuolewa ni MWANAUME AFAIDI TUNDA LIKIWA BADO CHANGA.
Kama naliona dushe la huyo mwanasheria lilivyosimama wkt anashauri hayo huku akiwaza utamu atakaoupata kwa miaka michache huku akipuuzia madhara makubwa na ya kudumu yanayokwenda kumpata msichana huyo miaka michache ijayo.
Binti huyo akifikisha miaka 20 mumewe ustaadh atakua keshamchoka,anamuona mzee na atamtaliki akiwa na urithi wa vitoto na labda FISTULA huku akiwa hana elimu wala ujuzi wowote zaid ya ule wa kupika na kumkatia viuno ustaadh.
Wakati huo ustaadh keshaoa 14 yrs pussy nyingine hataki kusikia cha watoto wanaumwa wala wanahitaji daftari.
HUU NI UKATILI UPINGWE
SHERIA ZA UBAKAJI ZIPO.Aolewe tu, kuliko sasa mnawabakabaka hovyo, wakiume na wa kike.
Wavaa kobazi muzeye hao.Sikubalian nao kabisa binti wa 14 ni ubakaji wa watoto tena wafungwe maisha.
Watoto wahimizwe kusoma ili kuondoa ujinga kichwan na sio kuwaza waolewe tu ndoa zenyewe
Tena iwekwe sheria, aolewe na aendelee kusoma.