Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Ndio umemaanisha nini hapo kwenye sentensi yako ya mwisho?Mental slavery....who said brightness are maesured by looking handwriting
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio umemaanisha nini hapo kwenye sentensi yako ya mwisho?Mental slavery....who said brightness are maesured by looking handwriting
"MTOTO ALIYEANDIKA BARUA YA KUACHA SHULE ANA AKILI SANA" RC TABORA
"Niliongea na mkuu wa mkoa wa Mtwara baada ya kuona barua ya mtoto aliyetaka kuacha shule, nikamwambia huyu mtoto ana akili sana kwasababu haiwezekani mwanafunzi mtoro aandike barua kama hiyo, nikamwambia mkuu wa mkoa wa Mtwara mtafute huyu mtoto na kweli amemtafuta na kutatua changamoto zake na sasa amerudi shule mwenyewe, kwahiyo walimu wasaidieni watoto kuwajenga kisaikolojia"-Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Batilda Buriani katika kongamano la walimu na uchumi.
Taufiki Salumu mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Msimbati Mkoani Mtwara ambaye aliandika barua ya kuacha shule kwa mwalimu mkuu wa shule hiyo amesema lengo kubwa la kutaka kuacha shule ni hali ngumu ya maisha ambayo imemlazimu yeye kuchukua maamuzi hayo.
Chanzo cha habari ni CGFM Tabora
Pia, soma:
1). Mtwara: Mwanafunzi wa kidato cha 1 aandika barua kwa Mwalimu Mkuu akisema Shule imemshinda
View attachment 2132031View attachment 2132032View attachment 2132033
Mtwara kuna mambo. Mama Tariq haongei... Huku Taufiq anafunguka... Dah..sidhani kama Dr.Batilda alikuwa na nakala ya barua ya mtoto aliyeacha shule kabla hajatoa kauli kuhusu mtoto huyo.
..Form 1 lakini anaandika kwa kiwango cha chini sana.
..huyo mwanafunzi tatizo lake sio muandiko tu, bali hata kupangilia maneno, na kuandika kwa ufasaha, hawezi.
Mtwara kuna mambo. Mama Tariq haongei... Huku Taufiq anafunguka... Dah
Suala la mpangilio sii ishu. Mtoto anaonekana kuwa smart. Pia kuna ishu zilizokuwa zikiendelea kama vikadi ambapo walimu wanajua vizuri
Pia baada ya kuona hataki tena shule hakuwa na sababu ya kurembaremba mwandiko wala mada. Ni kama wakati anaandika alikuwa ndani ya boti la uvuvi.
Aisee ,😲😲 Kuna jamaa mmoja Huwa ana aamini watu wenye mwand8ko.mzuri kichwani huwa 00Bright with poor handwritting
Mtafute mkuu wa mkoa atakupatia nambaNamba ya simu ya Kijana au Wazazi wake yenye kupokea fedha, naipataje?
Ametisha sanaDogo alinyimwa msosi ndio akandika zile punch line kwa headmaster
..sidhani kama Dr.Batilda alikuwa na nakala ya barua ya mtoto aliyeacha shule kabla hajatoa kauli kuhusu mtoto huyo.
..Form 1 lakini anaandika kwa kiwango cha chini sana.
..huyo mwanafunzi tatizo lake sio muandiko tu, bali hata kupangilia maneno, na kuandika kwa ufasaha, hawezi.
Foolish observation.Bright with poor handwritting