TANZIA Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine J Mushi, afariki dunia kwa ajali ya Gari

Ajali hii ina maswali mengi kuliko majibu.
Mke , watoto walikuwa wapi? Balozi anaendesha gari mwenyewe kutoka Dar kwenda Kilimanjaro tena USIKU?
 
Asee bwashee kaamua kukomaa mwenyewe kwenye usukani?kaona shida kutafuta dereva ampe hata laki 2?amfikishw nyumbani arudi zake ?ubahili huu!
Nipo tayari kuzodolewa pote la mbali!
Rip balozi
Walio hai wanajua kwamba watakufa, lakini wafu hawajui lolote, na hakuna malipo kwao tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa. Yote ambayo yanaweza
mkono wako kufanya, fanya kwa nguvu zako zote, kwa maana kuzimu, mahali utakapokwenda, hakuna kazi, hakuna mipango, hakuna maarifa, hakuna hekima (Mhubiri 9:5, 10).
 
Najiuliza maswali mengi sana Mara kunapotokea msiba!

Watu wazuri hawafi.?? Mbona Jk yupo, Kinana yupo?. Dooh!

RIP balozi wetu
Walio hai wanajua kwamba watakufa, lakini wafu hawajui lolote, na hakuna malipo kwao tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa. Yote ambayo yanaweza
mkono wako kufanya, fanya kwa nguvu zako zote, kwa maana kuzimu, mahali utakapokwenda, hakuna kazi, hakuna mipango, hakuna maarifa, hakuna hekima (Mhubiri 9:5, 10).
 
How long does it take ku confirm kuwa ni yeye aliyefariki? Siamini kama ndani ya 6 hours KM anakosa access ya ku confirm a such socking taarifa kwa mtu wa wizara yake!!
Si ndio maana JPM alim faya huyo Sokoine. He is such a douchebag... yupo yupo tu, aloof on stilts

Siku ya tatu hujui kama balozi wako kafa ???? Katibu Mkuu Foreign Affairs ??

Atrociously incompetent. Upo hapo kwa sababu tu babaako Sokoine....

Hebu nenda Mbezi msibani katafute taarifa acha kuzubaa zubaa kama kawaida yako.
 
Majibu yako Balozi Joseph Sokoine sio katika wadhifa wako.Ina maana hakuna mawasiliano na hao mabalozi wako na hasa wawapo likizoni?
Je aliporejea alitupoti hapo wizarani kuwa yuko likizo na atasafiri?
Je hao Polisi walipopata taarifa ya ajali na kuthibitisha kuwa ni mtu wa wizara Fulani walipeleka taarifa ofisi yako?
Ndugu pia wamepewa taarifa je walizileta ofisini!
Je umeuliza watu wa ofisi yako kupata uhakika kabla ya majibu ya mkati unayotoa??

Jitafakari.
 
Crown mbona zunasifika sana,au wadau husema uongo?
 
Huyu wamemla kichwa

Kuna neno la kiswahili linasema

"Utakuwa Mfano kwa wengine"
 
Ni kweli, chuma cha Mzungu ni salama hata unapokuwa unakiendesha tofauti na makaratasi ya Mjapani.
Hakuna kitu mkuu,siku ikifika imefika,mbona Princess Diana alifia kwenye Mercedes Benz matata sana!hata yule Ginimbi aliekuwa tajiri mmoja kule Zimbabwe alipata mzinga wa kufa mtu akiwa kwenye Rolls Royce ya kueleweka sana,tuombe tu Mungu kwani hatujui siku wala saa kifo kinapokuja...
 
Wewe unataka kusikia unachotaka kusikia-sasa kakosea wapi. Hajapata taarifa, akipata atatoa-shida nini sasa?
 
Hiyo njia ya Dar Segera Korogwe Moshi Arusha siyo ya kuendesha usiku, halafu ukiwa na gari aina ya Toyota Crown Athletee! Tena ukiwa peke yako. Labda kama alipatwa na dharura.

Apumzike kwa amani. Hiyo barabara ni nyembamba! Ina mashimo/viraka vingi! Hivyo ni hqtari sana kuendesha gari usiku, kama siyo mzoefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…