chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
Ndio hivyo JPM yu afya tele, vipi imekukera?Kikoda kingine naweka hapa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo JPM yu afya tele, vipi imekukera?Kikoda kingine naweka hapa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Na ataanza na nyinyi.Yaani tusubili balozi wa Namibia ndio aseme meko yu buheri wa afya, hakika yametufika
Kipilimba Modestus ni Balozi wa Tanzania nchini Namibia na SIO Msumbiji.Hivi huyu Kipilimba kumbe yuko huko Msumbiji, ndio maana machafuko hayaishi kule calbodelgado.
Hii nchi ina vituko sana. Na mimi nimejiuliza hivyo hivyo.Yaani balozi Namibia ndo atoe taarifa, huku waziri wa mambo ya nje yupo, msemaji wa serikali yupo, mkurugenzi wa habari Ikulu yupo, kuna kitu hakipo sawa Tanzania
Ila kama yaliyoelezwa kwenye hiyo article hapo juu yapo, basi baba hali yake ni tete.Uzushi huu unao endelea nisawa na tabia ya "Fisi"mwenye tamaa ambaye anafuatilia kwa nyuma "mkono" wa binaadamu anaye tembea...fisi akidhani kuwa mkono utadondoka chini kisha autafune.
Wahandishi vs wahandisi.Unakubalina rumour za J. Biden kuwa ni 'unfit' kujibu maswali ya wahandishi wa habari ya papo kwa papo!? Na hii unaweza kujinasibu kuwa wamarekani wanaojihusisha na mambo ya ikulu ya marekani watapata aibu siku za usoni! ?
Huyu ni yule jamaa aliyesema aliwahi kushuka kwny gari yake ili apigane na mwananchi?Chalamila mkuu wa mkoa mbeya amesema leo mbele ya waandishi wa habari kua ameongea na rais na yupo vizuri hivyo acheni kupanic
Ni mwendo wa kutimuliana vumbi! Hakuna namna...ha hahaaaa!Wahandishi vs wahandisi.
Hapo chachaYaani balozi Namibia ndo atoe taarifa, huku waziri wa mambo ya nje yupo, msemaji wa serikali yupo, mkurugenzi wa habari Ikulu yupo, kuna kitu hakipo sawa Tanzania
hayo maneno ungemwambia magufuli.tulipotaka kumuombea lissu alituma polisi waje wavuruge na wakachukua na mashine zetu za kuprint t shirt za lissu.afe tu mbona fresh kabisaTumia lau hata akili kidogo kufikiri.
Hujui ni ex kitengoYaani reuters kwa uchokonozi! Why our man in Namibia!? Kwa nini hawajamtafuta Dr Abbas!?
Huyo balozi mwenyewe ndiye kaongea na wanahabari, Reuters wamemnukuu baada ya balozi kuongea na wanahabari.Yaani reuters kwa uchokonozi! Why our man in Namibia!? Kwa nini hawajamtafuta Dr Abbas!?
Amen Man Of God.Mungu ni mwema wakati wote.
soma uwelewe.Hivi huyu Kipilimba kumbe yuko huko Msumbiji, ndio maana machafuko hayaishi kule calbodelgado.
Na wewe inshallah mungu akuinuwe vile vile hakuna anaemtakia mabaya huyo magufuli lakini huyo ni rais wa nchi wananchi wanataka kujuwa hali ya rais wao kipenzi .Mungu atamuinua Magu kama ni kweli anaumwa ili maadui wake waaibike kama kipindi cha nyuma.
atachapaje kazi huku covid inamchapa,safari hii ni zamu ya mizinga 21 kulindima chato sio Lupaso tensAnachapa kazi huko Namibia au wapi?!