Utabadili lugha kama kasuku , lakini siye twaendelea kusonga mbeleCHUNGENI NDIMI ZENU,SHERIA ZIPO NI VILE TU TUNAZIPUUZA.
Mkitoka huko kusikiliza waropokaji pitieni uwanja wa taifa mkapate na kuona Yale yaliyo mazuri na kwa usalama wenu pia.
Kumekucha !Nondo kali zinashusha kuhusu yanayoweza kuongeza ufanisi bandarini na nje ya bandari hadi mzigo umfikie mlaji kwa wakati muafaka bila ulazima wa kuigawa bandari na vichochoro vyake kwa DP World
Kutoka mkutano hadhi ya ngazi ya taifa Zima hadi kibunge Cha Hoja ngazi ya kijiwe Cha kahawa 🤣Haya ndio matamanio ya kila mwanaccm. Na hii mvua ya kushtukiza kila mwanaccm anatamani iendelee hivi hivi leo nzima.
Ni kama hawasomi alama za nyakati kuwa siasa ni logistics siyo propaganda pekee yake. Waliuandaa huu mkutano kwa mbwembwe nyingi kama wapo kwenye Jukwaa la Maria Spaces lakini hali imekuwa tofauti. Wale waliowatangazwa kuwepo hawapo na watu pia hakuna.
Jana waliaandaa vipeperushi feki kuhadaa umma mkutano umepigwa marufuku na msajili wa vyama vya siasa. Vijana wa BAVICHA wakashambulia gari la Mwananchi media, leo wapo peke yao uwanjani.
Wajifunze kwa yale yaliomkuta Eliyatonga Augustine Mrema, yanakwenda kujirudia kwao. Picha hizi hapa zinajieleza wazi.
View attachment 2696990
View attachment 2696992
huku maghala yaliyotapatakaa pembezoni ya barabara ya Mandela Express Way pia yapo wilaya ya Temeke na yanamilikiwa na kampuni nyingi za uchukuzi na ugavi za waTanzania
Tanzanite aikoa Magufuri hayupo sasa hili la bandari tunapigania wenyeweNipo hapa ninachojionea ni banda tu la red cross, watanzania sio wajinga na so kila mtu angependa kugeuzwa ngazi za mwanasiasa uchwara,wanasiasa wakiwapata wapuuzi wa kuwasikiliza hufurahi kweli maana ndio mtaji wao!
ahahahhahaha hii imeendaaaaa hakuna watu hata kidogo.Muda WA mkutani Bado.
WATANZANIA WENGI MNA akili za kitoto sana.
Mkutani jioni wewe inapiga picha Asubuhi.
USITAFUTE DHAMBI YA BURE ISIYO NA MAANA.
Nadhani CHADEMA wanapaswa kujitazama upya na kujipanga kwenye mambo yao hawako serious hata kidogo.Ni kama hawasomi alama za nyakati kuwa siasa ni logistics siyo propaganda pekee yake. Waliuandaa huu mkutano kwa mbwembwe nyingi kama wapo kwenye Jukwaa la Maria Spaces lakini hali imekuwa tofauti. Wale waliowatangazwa kuwepo hawapo na watu pia hakuna.
Jana waliaandaa vipeperushi feki kuhadaa umma mkutano umepigwa marufuku na msajili wa vyama vya siasa. Vijana wa BAVICHA wakashambulia gari la Mwananchi media, leo wapo peke yao uwanjani.
Wajifunze kwa yale yaliomkuta Eliyatonga Augustine Mrema, yanakwenda kujirudia kwao. Picha hizi hapa zinajieleza wazi.
View attachment 2696990
View attachment 2696992
Wewe upo CCM unaishauri CHADEMA ? my foot!Nadhani CHADEMA wanapaswa kujitazama upya na kujipanga kwenye mambo yao hawako serious hata kidogo.
Ni kama hawasomi alama za nyakati kuwa siasa ni logistics siyo propaganda pekee yake. Waliuandaa huu mkutano kwa mbwembwe nyingi kama wapo kwenye Jukwaa la Maria Spaces lakini hali imekuwa tofauti. Wale waliowatangazwa kuwepo hawapo na watu pia hakuna.
Jana waliaandaa vipeperushi feki kuhadaa umma mkutano umepigwa marufuku na msajili wa vyama vya siasa. Vijana wa BAVICHA wakashambulia gari la Mwananchi media, leo wapo peke yao uwanjani.
Wajifunze kwa yale yaliomkuta Eliyatonga Augustine Mrema, yanakwenda kujirudia kwao. Picha hizi hapa zinajieleza wazi.
View attachment 2696990
View attachment 2696992
CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani?Aibu ya karne huwezi kusema chama wewe ni chama kikuu cha upinzani usiyeweza kujaza uwanja wa mita 100 haiwezekani wajitazame upya.
Bora majizi kuliko waarabu magaidiMkutano wa kutetea majizi bandarini
Kuchungulia dirishani ni umbeya.Unluckly ofisi zangu zipo Jirani hivyo nauna maujinga Yote!
Uongo wa bei rahisi hautakusaidia chochoteNi kama hawasomi alama za nyakati kuwa siasa ni logistics siyo propaganda pekee yake. Waliuandaa huu mkutano kwa mbwembwe nyingi kama wapo kwenye Jukwaa la Maria Spaces lakini hali imekuwa tofauti. Wale waliowatangazwa kuwepo hawapo na watu pia hakuna.
Jana waliaandaa vipeperushi feki kuhadaa umma mkutano umepigwa marufuku na msajili wa vyama vya siasa. Vijana wa BAVICHA wakashambulia gari la Mwananchi media, leo wapo peke yao uwanjani.
Wajifunze kwa yale yaliomkuta Eliyatonga Augustine Mrema, yanakwenda kujirudia kwao. Picha hizi hapa zinajieleza wazi.
View attachment 2696990
View attachment 2696992
Kwan ukileta picha halis kuna shida gani?Ni kama hawasomi alama za nyakati kuwa siasa ni logistics siyo propaganda pekee yake. Waliuandaa huu mkutano kwa mbwembwe nyingi kama wapo kwenye Jukwaa la Maria Spaces lakini hali imekuwa tofauti. Wale waliowatangazwa kuwepo hawapo na watu pia hakuna.
Jana waliaandaa vipeperushi feki kuhadaa umma mkutano umepigwa marufuku na msajili wa vyama vya siasa. Vijana wa BAVICHA wakashambulia gari la Mwananchi media, leo wapo peke yao uwanjani.
Wajifunze kwa yale yaliomkuta Eliyatonga Augustine Mrema, yanakwenda kujirudia kwao. Picha hizi hapa zinajieleza wazi.
View attachment 2696990
View attachment 2696992
Bora wao hawasombi watu Kwa maloriNi kama hawasomi alama za nyakati kuwa siasa ni logistics siyo propaganda pekee yake. Waliuandaa huu mkutano kwa mbwembwe nyingi kama wapo kwenye Jukwaa la Maria Spaces lakini hali imekuwa tofauti. Wale waliowatangazwa kuwepo hawapo na watu pia hakuna.
Jana waliaandaa vipeperushi feki kuhadaa umma mkutano umepigwa marufuku na msajili wa vyama vya siasa. Vijana wa BAVICHA wakashambulia gari la Mwananchi media, leo wapo peke yao uwanjani.
Wajifunze kwa yale yaliomkuta Eliyatonga Augustine Mrema, yanakwenda kujirudia kwao. Picha hizi hapa zinajieleza wazi.
View attachment 2696990
View attachment 2696992