Ni kweli kabisa, hata wakati wa chaguzi huwa tunaona mkivunja sheria na kuingiza mabox yaliyojaa kura fake.CHUNGENI NDIMI ZENU,SHERIA ZIPO NI VILE TU TUNAZIPUUZA.
Mkitoka huko kusikiliza waropokaji pitieni uwanja wa taifa mkapate na kuona Yale yaliyo mazuri na kwa usalama wenu pia.
Picha ya kimkakati sana hii,tuletee drone mkuu
Hujitambui braza nyie pambaneni na walimu wajinga mnaowapelekeshwa kama Green guard yenuNipo hapa ninachojionea ni banda tu la red cross, watanzania sio wajinga na so kila mtu angependa kugeuzwa ngazi za mwanasiasa uchwara,wanasiasa wakiwapata wapuuzi wa kuwasikiliza hufurahi kweli maana ndio mtaji wao!
Hapa hamna kitu,kwa umbali huo aliopo mpiga picha,ni Bure,watu buku mbili hawafiki
Umeona eeh!Picha ya kimkakati sana hii,tuletee drone mkuu
Huyo hawezi kufanya hivyo🤣Picha ya kimkakati sana hii,tuletee drone mkuu
Umesikia kuna mtu kasoma Wakorintho hapo ?Mkutano Wa Injili
Hilo ni toto moja wapo la watu waporaji wa nchi hii. Lizima liteteeMutant wa kutetea majizi bandarini.
Taratibu basiMko wapi nyie Kenge mlosema mkutano hautojaza?
Wafuasi wa chief mangungo hangaya mna matatizo ya akili sio bure
Mnaendelea kuchizika na mtachizika nyie mafisiem!!