Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kusikia CCM wakimshambulia huyu Mzee ila wanamshambulia Mbowe unajua sababu?Dr Slaa niliyemfahamu miaka kadhaa nyuma,
Kwenye hili la Uuzaji wa bandari hawezi kuridhia uuzwaji wake
Ni kama umeenda kwenye sherehe ukaona mkaka amevaa vizuri ukamgawia binti yako kumbe.........na mahari unachukua yote.Rais ,anaenda kwenye maonyesho ya sabasaba ,na anasainishwa mikataba 17 !
Hawa wawili ndio waliratibu Ziara ya Papa Yohanne nchini!Huyu ana power ya ziada ukienda Karatu kila mwananchi anakwambia Tlaa (wao hawatamki Slaa) hata kwenye tundu la sindano anapenya.
Dr Slaa ni boss wa FreemanHuwezi kusikia CCM wakimshambulia huyu Mzee kwa ila wanamshambulia Mbowe unajua sababu?
Kuna wakati matusi yanafaa kwa watu wajinga kama hao,wewe umekazania kila siku ukatili ukatili.wala huelezi huo ukatili.Matusi ya nini tena?
Of course najua imetokana na ile U-turn yake ya 2015.Huwezi kusikia CCM wakimshambulia huyu Mzee kwa ila wanamshambulia Mbowe unajua sababu?
Na hatimae kuhongwa Ubalozi.Of course najua imetokana na ile U-turn yake ya 2015.
Ila hii Nchi ngumu sana mkuu
Wamegusia kwenye sovereignty ambayo nimeihoji katika uzi mojawapo. Nchi kamili inaingia mkataba wa IGA na mkoa katika nchi nyingine.Balozi Dkt. Willibrod Slaa anazungumza na Wanahabari Jijini Dar es Salaam, leo Juni 13 2023 kuhusu hati ya makubaliano
Kwa hiyo mama wa watu anaiuza Danganyika kimyakimya?Naam Dr.slaa mzalendo kabisa
Huyu Samia kwa mara ya kwanza nadiriki kusema ni kiongozi asiyefaa hata kidogo
Kwenye picha kubwa ni asilimia mia moja hajali chochote kuhusu Tanganyika mbaya zaidi wale waliomleta kwenye siasa za Tanganyika wanamuunga mkono kwasababu wanafaidika na maamuzi yake yanayohusisha ufisadi mkubwa
Samia ni mwepesi kuzungumizia mambo ya hovyo km simba na Yanga ila kwenye mambo muhimu km kuuzwa loliondo na bandari anakaa kimya kwasababu amehusika
Ukiangalia sura ya samia anawachukia sana watanganyika hana namna kwasababu anavuna kutoka kwao
Jana aliuza loliondo leo ameuza bandari! Bado watanganyika wanamchekea kwasababu wanahongwa mipesa
Mungu atakuadhibu Samia kwa ubaya wa kuiangamiza Tanganyika! Hautadumu apo
Hakuna tusi pale,na kama lipo wakati mwingine linawafaa watu wajinga kama hao,eti mzee kwa wajinga na wapumbavu huwa hawazeeki?. Wewe mda woote unaongelea ukatili,ukatili ukatili! Ukatili gn wewe huo alikufanyia magufuli.Kinachoshangaza hadi hivi hajawa BANNED kama ambavyo Wengine hupewa BAN kwa Kauli nyepesi tu kuliko hilo lake Kubwa.
Jikite kwenye hoja zake tu.Huyu msanii tu anatafuta pakutokea.
Pesa ya Canada ishakata.
Hahaha..............alishindwa kuvumilia mateso waliyopitishwa wenzakenNa hatimae kuhongwa Ubalozi.
Mbowe ndio alisaliti upinzani akahongwa na LowasaHuyu Mzee aliyesaliti Upinzani akahongwa Ubalozi.
Tuache ubinanfsi, kiongozi Ni binadamu akikosea aambiwe tuanapswa kumuunga mkono Ila sio kwa hili'.Hata Mzee wangu sintamuunga mkono akitaka kuuza shamba la home Japo Ni lake hiyo Ni big noo.Kwahiyo hiyo mikataba mingine 17 hatujui inahusu nini, inawezekana kabisa kesho kutwa likazuka jingine la ajabu kama hili la bandari, hakika mzanzibari msaliti ametutoa sadaka.