Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi
Kwahiyo hiyo mikataba mingine 17 hatujui inahusu nini, inawezekana kabisa kesho kutwa likazuka jingine la ajabu kama hili la bandari, hakika mzanzibari msaliti ametutoa sadaka.

Hiyo hoja namba 3 inaumiza moyo sana, kweli hii nchi imeuzwa, bandari zote Tanzania amekabidhiwa mwarabu kweli?!

Hoja namba 4 inaonesha kabisa kuna connection ya huu ujinga tuliofanyiwa kati ya Samia na JK, kwasababu kama serikali ya awamu ya 4 ilitaka kubinafsisha bandari kisha yule aliyetoa taarifa kwa upinzani akafukuzwa kazi, inaonesha ile nia ovu ya JK amekuja kuitekeleza Samia.

Samia anafuata ushauri wa JK kwenye kila jambo, mpaka kuiuza nchi, hawa wawili wamelaaniwa.

Hoja namba 6 ya Dr. Slaa inaonesha vile tumeuza usalama wa nchi yetu kwa mwarabu kwasababu ya kuwapa bandari, sasa maadui wanaweza kuingia na kutoka nchini, kutorosha mali, vile wapendavyo.

Mkataba unatoa "exclusive rights"! kisheria hapa kwa kifupi ni kwamba, mwarabu sasa ndie amegeuka kuwa bosi wetu na atatufanyia vile anavyotaka, sisi tumekuwa watumwa kwake kulingana na makubaliano tuliyoingia nae, inshort sasa tunalazimika kumsikiliza yeye!.

Hakika, hawa jamaa walikuwa wanasubiri "one last chance" watuumize, ooh Mungu kwanini umetuletea huyu kiumbe dhaifu namna hii atuongoze?, sitaki kuamini kama haya ni mapenzi yako, sasa nashawishika kuamini kuna mkono wa mtu.
 
Naam Dr.slaa mzalendo kabisa

Huyu Samia kwa mara ya kwanza nadiriki kusema ni kiongozi asiyefaa hata kidogo

Kwenye picha kubwa ni asilimia mia moja hajali chochote kuhusu Tanganyika mbaya zaidi wale waliomleta kwenye siasa za Tanganyika wanamuunga mkono kwasababu wanafaidika na maamuzi yake yanayohusisha ufisadi mkubwa

Samia ni mwepesi kuzungumizia mambo ya hovyo km simba na Yanga ila kwenye mambo muhimu km kuuzwa loliondo na bandari anakaa kimya kwasababu amehusika

Ukiangalia sura ya samia anawachukia sana watanganyika hana namna kwasababu anavuna kutoka kwao


Jana aliuza loliondo leo ameuza bandari! Bado watanganyika wanamchekea kwasababu wanahongwa mipesa

Mungu atakuadhibu Samia kwa ubaya wa kuiangamiza Tanganyika! Hautadumu apo
Kwa hiyo mama wa watu anaiuza Danganyika kimyakimya?
 
Kinachoshangaza hadi hivi hajawa BANNED kama ambavyo Wengine hupewa BAN kwa Kauli nyepesi tu kuliko hilo lake Kubwa.
Hakuna tusi pale,na kama lipo wakati mwingine linawafaa watu wajinga kama hao,eti mzee kwa wajinga na wapumbavu huwa hawazeeki?. Wewe mda woote unaongelea ukatili,ukatili ukatili! Ukatili gn wewe huo alikufanyia magufuli.
 
Katika mkutano wa Dr. Slaa waandishi wa habari washutumiwa ni vibaraka kwa kutotetea wenzao kuandamwa na Bunge baada ya gazeti la NIPASHE kutishiwa na Spika wa Bunge kuwa litachukukuwa hatua kwa kupotosha ukweli wa mkataba wa bandari ...
 
T
Kwahiyo hiyo mikataba mingine 17 hatujui inahusu nini, inawezekana kabisa kesho kutwa likazuka jingine la ajabu kama hili la bandari, hakika mzanzibari msaliti ametutoa sadaka.
Tuache ubinanfsi, kiongozi Ni binadamu akikosea aambiwe tuanapswa kumuunga mkono Ila sio kwa hili'.Hata Mzee wangu sintamuunga mkono akitaka kuuza shamba la home Japo Ni lake hiyo Ni big noo.
 
Back
Top Bottom