MPUNGA MMOJA
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 304
- 401
Mleta mada hayupo upande wowote, amechukua nakala kutoka kwenye link hii hapa chini ya BBCUmesema tujadili ilimanisha utaweka hapa ushahid wote kuhusu huo mradi ila umeonesha dhahiri kuwa upo upande gan. Hii mada umeiharibu mwenyewe umeonesha porojo na ushabiki tu.
Mapato gani?
Si umeambiwa hutakiwi kudai kodi wala tozo zozote hadi baada ya miaka 33?
Bure kabisa!!!
Kama ni propaganda hao walio sasa waweke huo Mkataba ili tuoneTuoneshe hicho kipengele kwenye mkataba,propaganda za Jiwe
Hiko kitu hata mwendazake hakufanya mboniKama ni propaganda hao walio sasa waweke huo Mkata ili tuone
Sasa yeye alitueleza yaliyo ndani ya mkataba,sasa nyinyi mnatetea bandari iwe chini ya mchina kwa 33 miaka.na hutakiwi kuendeleza au marekebisho yoyote ya bandari za ukanda wa pwani,Hiko kitu hata mwendazake hakufanya mboni
Hapa nachokiona sio mkataba kuoneshwa, ni issue ya Trust labda unazungumzia..Sasa yeye alitueleza yaliyo ndani ya mkataba,sasa nyinyi mnatetea bandari iwe chini ya mchina kwa 33 miaka.na hutakiwi kuendeleza au marekebisho yoyote ya bandari za ukanda wa pwani,
Nyinyi mtuambie hapana,mkataba hausemi hivyo
Watuwekee hapa huo mkataba nasi tuusome 🙄Sasa yeye alitueleza yaliyo ndani ya mkataba,sasa nyinyi mnatetea bandari iwe chini ya mchina kwa 33 miaka.na hutakiwi kuendeleza au marekebisho yoyote ya bandari za ukanda wa pwani,
Nyinyi mtuambie hapana,mkataba hausemi hivyo
Hii nchi inarudi kule kwa kila kiongozi anajipigia anakaa pembeniWatuwekee hapa huo mkataba nasi tuusome 🙄
Namuamini aliyekataa na akatoa sababu za kukataa huo uwekezaji wa kitapeliHapa nachokiona sio mkataba kuoneshwa, ni issue ya Trust labda unazungumzia..
Unamuamini nani zaidi.
Of course, ni sahihi kwa upande wako binafsi na wengine wenye maono Kama yako.. if you put in that termsNamuamini aliyekataa na akatoa sababu za kukataa huo uwekezaji wa kitapeli
Zito kabwe ningemuelewa sana endapo angelisema hili kipindi MAGU yupo hai,ili tuujue ukweli,wamengoja hayupo wa kutusemea wananchi ndio wanaanza utapeli waoKwa masharti yaleyale ya wachina aliyoyasema hayati Dr. Magufuli? 😳
Ili mradi mikataba iwe wazi.SIO LAZIMA UJARIBU ILI KUJUA UTANYONYWA, UKIWA NA AKILI VILE VIASHIRIA [ MASHARTI YA MRADI] VYA KUNYONYWA VITAKUJUZA KUWA HAUKO SALAMA!!!
Wote wanaong'ang'ania huo mradi wa bandari, kwann hawakusimama na kumpinga mzee alipotoa pingamizi na akatoa sababu zake?Zito kabwe ningemuelewa sana endapo angelisema hili kipindi MAGU yupo hai,ili tuujue ukweli,wamengoja hayupo wa kutusemea wananchi ndio wanaanza utapeli wao
Untampingaje mtu alieshika nguvu ya dola? Si utaishia pabayaWote wanaong'ang'ania huo mradi wa bandari, kwann hawakusimama na kumpinga mzee alipotoa pingamizi na akatoa sababu zake?