Bandari ya Dar es Salaam ibadilishwe jina iitwe Bandari ya Samia

Bandari ya Dar es Salaam ibadilishwe jina iitwe Bandari ya Samia

Dalili za kifo ila sina maana mbaya.kumbukeni kwa Magufuli mlianza hivi hivi mara aongezewe miaka ,mara awekwe kweny sarafu ,mara kutawala milele....

Eventually mmeona kilichotokea.!
 
Mpaka mseme, yaani mpaka mseme kabisaaaaa

Samia atabaki kuwa rais bora na bora na bora sana
Hembu niambieni angalau rais mmoja tu aliwahi kuruhusu maandamano inchi hii
Wacha rais mmoja hata nusu tu
 
Hata nchi pia iitwe hivyo sawa tu
Yaani hata majina yenu mbadili pia
 
Mimi napingana nawe bwana Nyani Ngabu, bandari tu haitoshi. Huyu mama amekuza sana uhuru wa habari. Ili tumuenzi, Tanzania Broadcasting Corporations, ibadilishwe na liitwe Samia Broadcasting Corporation.

Na kila chombo cha Habari kiwe na dakika 5 za kumuelezea mama yetu kipenzi saa 5 na dakika 55 usiku, na saa 11 alfajiri, sauti yake isikike. Kwani sauti yake ni tumaini kwa taifa, hivyo watanzania wanapaswa kuanza siku kwa kuisikia sauti yake.
 
Mimi napingana nawe bwana Nyani Ngabu, bandari tu haitoshi. Huyu mama amekuza sana uhuru wa habari. Ili tumuenzi, Tanzania Broadcasting Corporations, ibadilishwe na liitwe Samia Broadcasting Corporation.

Na kila chombo cha Habari kiwe na dakika 5 za kumuelezea mama yetu kipenzi saa 5 na dakika 55 usiku, na saa 11 alfajiri, sauti yake isikike. Kwani sauti yake ni tumaini kwa taifa, hivyo watanzania wanapaswa kuanza siku kwa kuisikia sauti yake.
Pure hilarity 🤣.
 
Kwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.

Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.

Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.

Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.

Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?

Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.

Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.

Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.

Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.

Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!

Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.
HAPANA
 
***** walah yaani kujipendekeza kwenu mnataka kila k2 kiitwe jina lake mwingine jana bungeni ulimskia alivosema kuwa tuweke picha ya mama kweny hera za nchi[emoji24][emoji24]
 
Kwa vile huyu ‘mama’ yetu amekuwa ndo Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania [kama siyo Afrika na hata dunia nzima], mimi naenda mbali zaidi na kutaka awekwe tu kwenye noti.

Mimi napendekeza jina la Bandari ya Dar es Salaam libadilishwe na iitwe Bandari ya Samia/ Port of Samia.

Mama kaleta DP World. Mahela hapo bandarini yameongezeka mpaka pomoni. Mameli ya kutoka Ulaya na kwingineko yanagombania kuja kwenye hii bandari yetu.

Bandari yetu hii sasa imeshika namba ya pili duniani kwa ubora, courtesy of Mama.

Sasa kwa nini tuishie kumuenzi kwenye noti tu?

Tuibadili jina na tuipe jina la Samia.

Na itanoga zaidi pia tutakapoibadilisha jina bahari ya Hindi na kuiita bahari ya Samia.

Na tusiishie hapo. Dodoma nayo tuibadili jina na tuiite Samia.

Na kwa mtaji huo, jina la mji mkuu wetu liwe ni Samia.

Hata mlima Kilimanjaro utapendeza zaidi tukiubadili jina uitwe Mlima Samia!

Mnasemaje wadau..? Tusiwe na wivu. Ungeni mkono hizi juhudi.
Hii haina mjadala. Magauni ya "mama" ndo liwe vazi la Taifa na livaliwe na jinsia zote bila kujali Me au Ke.
 
Back
Top Bottom