ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Tuko bongo mkuuUnaenda kulewa na gari kama sio kutafuta ajali za kijinga ni nini
Unataka kustarehe Acha gari Hotel uliyofikia au nyumba uliyofikia
La sivyo ni kujitafutia majanga tu au ni show off
Alinipa tahadhari Kwa maana Lile eneo ni Hatari Mzee, Kwanza pale parking yenyewe ni ts own risk
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni wapi nimeandika niliacha kinywaji Cha Elfu2 Counter??Ila na wewe kiboko.. Yaan Gari lime fanyiwa uharibifu but still unakumbuka kinywaji cha 2000 counter
Sikanyagi Tena Pale, jana nilienda Cocoriko ni afadhari Kidogo Kuna ustarabu, Arusha watu wengi Wana usela MaviKwa mtu mstaarabu usiende hiyo bar ya Picnic Arusha ni pa hovyooo. Washamba wengi na usela mavi. Wahudumu ni wezi wa chenchi ukitoa elfu 20 kwenye bill yako kuwa makini wanaweza potea au kukubishia hujalipa. Yaani ni bar ya wasela mavi wanaojuana Kwa mgeni achana na mitaa hiyo kwanza michafu haswa. Ni tangu 2020 nikiwa Arusha sikanyagi hapo. WAJINGA WOTE WA ARUSHA KWAO PICNIC.
Pole sana Mkuu, ilikuwaje hii?Mi nilipigwa laptop mlimani city kwa staili hiyo hiyo
Halafu kwa kupitia walinzi nikainunua tena laptop ile ile ilikua ya ofisi na inavitu muhimu kweli.......... hii dunia yasipo kukuta hutaelewa mtu akikwambia utamuina mjinga
Niliinunua laptop yangu mwenyewe kudadeki
Tafadhali sana aisee, umekuja kishamba machalii wakakunyookea.Sikanyagi Tena Pale, jana nilienda Cocoriko ni afadhari Kidogo Kuna ustarabu, Arusha watu wengi Wana usela Mavi
Mkuu sikuhizi hata kwenye Magazeti na TV ni hivihivi, yaani full kupotosha. Sasa tangu lini Mount Meru ikawa Kijenge?Mount Meru Hotel ipo Kijenge?.
Ni wapi nimeandika niliacha kinywaji Cha Elfu2 Counter??
USeLA Mavi mwingi.Tafadhali sana aisee, umekuja kishamba machalii wakakunyookea.
Nimemshangaa. Pale wanauza 40kSio mnywaji huyo Grants kubwa inachezea 30k yeye analeta swaga
Tafuta utajua Iko Upande Gani Arusha, Màana una maswali ya kingoriiHebu tuambie Picnick iko Arusha upande gani?
Waandike maumivu hawatakaa wanione hapo nitawaambia na ndugu zangu wa hapo Arusha
Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
.
Nikafika pale nikaagiza Kinywaji Changu, Grants Ile Kubwa nikawa nanyonya mdogo², Sasa Kuna Binti akawa amekaa kaubta ananiangalia sana.
.
Badae akamtuma mhudumu akwambia, kamwambie yule Kaka nimempenda Jinsi alivyo mrefu na Rangi yake nyeusi nikasema asante.
.
Sasa nikaenda Chooni yule mwanamke ananikonyeza halafu for the time being akanifata chooni Ananambia mbn na kuita Uje Halafu hauji, Eti njoo ule nyama Sawa Nikamjibu Poa.
.
Ila Sikwenda maana nilishaambiwa Niwe makini na wahudumu+wateja, badaye kanifata nilipokaa Ananambia ninahamia Hapa Tukae Wote.
.
Wakati Huo Nimepaki Gari nje, Nikamjibu sitakaa Sana Ila nitaondoka Kwenda Kupumzikia, akajibu nitakusindikiza, Wala sikujibu chochote.
.
Badae Akili ikanambia Toka nje kaangalie gari, nikatoka Ila kabla sijatoka nje nikachukua Kinywaji Changu nikapeleka counter Kwa usalama zaidi.
.
Ila natoka nje kupiga macho Kwenye gari Naona Mtu Yuko ndani ya gari kusogea nakuta anafight kufungua radio, alivyoniona akakurupuka akataka kukimbia nikamuwahi nikampiga teke akaanguka Chini, nikampa teke lingine la Tumboni akatulia, nikaona gari ya Polisi wale Polisi wakaja wakaniuliza vipi nikawaelezea wakamchukua wakamweka Kwenye gari Yao.
.
Kurudi Kuangalia gari kumbe alivunja kioo Kidogo Akaingiza Mkono aka-unlock zile lock za milango.
.
Nikaenda kuwalezea Uongozi wa Bar Wala hawajali wanajibu majibu ya Kawaida Tu.
.
Nikachukia nikaenda nikachukua kinywaji Changu nikasepa.
.
Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo.
Mkuu watu wanajifunza kulingana na makosa, imeshatokea na nimejua ni pa hovyo SanaUnapoenda picnic thamani yako ni ndogo mno.
Huo ni uwanja wa machangudoa.
Mtu anayejiheshimu huwezi kwenda pale.
Yaani pale hata kama napita na gari huwa napandisha vioo vya gari kabisa.
Picnic na Mrina ni mahali pa watu wa hovyo hovyo tu.
Kibaya zaidi ulionywa na bado ukaenda na eti unalalamika.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Wale hawana parking maalum ni bar ya mtaani tuPole, mkuu. Unless kuna mahali walisema wanahusika na ulinzi wa magari kwenye hiyo parking, sioni kama ni makosa yao. Sehemu nyingi sana za starehe, unatafuta mlinzi unamwambia akuchekie mtakutana ukitoka. Parking sehemu kama hizo na nyingine nyingi is always at your own risk, goes without saying.