Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Inanichanganya sana ile mitaa Mara Philips mara Sanawari basi hovyo tu kwa sisi wageni.
Pale ni Sekei kwa upande wa mbele wa Hotel na nyuma ni Uzunguni/Gymkana...ila uzunguni ni jina la zamani sana sidhani hata kama bado linatumika.
 
Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
.
Nikafika pale nikaagiza Kinywaji Changu, Grants Ile Kubwa nikawa nanyonya mdogo², Sasa Kuna Binti akawa amekaa kaubta ananiangalia sana.
.
Badae akamtuma mhudumu akwambia, kamwambie yule Kaka nimempenda Jinsi alivyo mrefu na Rangi yake nyeusi nikasema asante.
.
Sasa nikaenda Chooni yule mwanamke ananikonyeza halafu for the time being akanifata chooni Ananambia mbn na kuita Uje Halafu hauji, Eti njoo ule nyama Sawa Nikamjibu Poa.
.
Ila Sikwenda maana nilishaambiwa Niwe makini na wahudumu+wateja, badaye kanifata nilipokaa Ananambia ninahamia Hapa Tukae Wote.
.
Wakati Huo Nimepaki Gari nje, Nikamjibu sitakaa Sana Ila nitaondoka Kwenda Kupumzikia, akajibu nitakusindikiza, Wala sikujibu chochote.
.
Badae Akili ikanambia Toka nje kaangalie gari, nikatoka Ila kabla sijatoka nje nikachukua Kinywaji Changu nikapeleka counter Kwa usalama zaidi.
.
Ila natoka nje kupiga macho Kwenye gari Naona Mtu Yuko ndani ya gari kusogea nakuta anafight kufungua radio, alivyoniona akakurupuka akataka kukimbia nikamuwahi nikampiga teke akaanguka Chini, nikampa teke lingine la Tumboni akatulia, nikaona gari ya Polisi wale Polisi wakaja wakaniuliza vipi nikawaelezea wakamchukua wakamweka Kwenye gari Yao.
.
Kurudi Kuangalia gari kumbe alivunja kioo Kidogo Akaingiza Mkono aka-unlock zile lock za milango.
.
Nikaenda kuwalezea Uongozi wa Bar Wala hawajali wanajibu majibu ya Kawaida Tu.
.
Nikachukia nikaenda nikachukua kinywaji Changu nikasepa.
.
Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo.
Hapo ushukuru kiongozi wao Yuko Canada
 
Utaratibu wa usalama wa mteja na Mali zake Ni chini ya ulinzi wa bar mkuu

Usalama wako na mali zako ndani ya bar ni jukumu lao. Usalama wa gari lako hauwahusu, ndio maana jamaa kaja hapa kulalamika na sio kuchukua sheria ili afidiwe. Unless kuna mahali walikuahidi ulinzi wa gari lako na unaweza kuthibitisha, huna claim. Cha muhimu nenda huko wanapokuhakikishia ulinzi.
 
Hapo skuizi mbona afadhali Sana.
Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
.
Nikafika pale nikaagiza Kinywaji Changu, Grants Ile Kubwa nikawa nanyonya mdogo², Sasa Kuna Binti akawa amekaa kaubta ananiangalia sana.
.
Badae akamtuma mhudumu akwambia, kamwambie yule Kaka nimempenda Jinsi alivyo mrefu na Rangi yake nyeusi nikasema asante.
.
Sasa nikaenda Chooni yule mwanamke ananikonyeza halafu for the time being akanifata chooni Ananambia mbn na kuita Uje Halafu hauji, Eti njoo ule nyama Sawa Nikamjibu Poa.
.
Ila Sikwenda maana nilishaambiwa Niwe makini na wahudumu+wateja, badaye kanifata nilipokaa Ananambia ninahamia Hapa Tukae Wote.
.
Wakati Huo Nimepaki Gari nje, Nikamjibu sitakaa Sana Ila nitaondoka Kwenda Kupumzikia, akajibu nitakusindikiza, Wala sikujibu chochote.
.
Badae Akili ikanambia Toka nje kaangalie gari, nikatoka Ila kabla sijatoka nje nikachukua Kinywaji Changu nikapeleka counter Kwa usalama zaidi.
.
Ila natoka nje kupiga macho Kwenye gari Naona Mtu Yuko ndani ya gari kusogea nakuta anafight kufungua radio, alivyoniona akakurupuka akataka kukimbia nikamuwahi nikampiga teke akaanguka Chini, nikampa teke lingine la Tumboni akatulia, nikaona gari ya Polisi wale Polisi wakaja wakaniuliza vipi nikawaelezea wakamchukua wakamweka Kwenye gari Yao.
.
Kurudi Kuangalia gari kumbe alivunja kioo Kidogo Akaingiza Mkono aka-unlock zile lock za milango.
.
Nikaenda kuwalezea Uongozi wa Bar Wala hawajali wanajibu majibu ya Kawaida Tu.
.
Nikachukia nikaenda nikachukua kinywaji Changu nikasepa.
.
Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo.
 
Yes ni. Mkoa wenye askari wengi wa usalama kutokana na Historia yake ya uhalifu, isitoshe mkoa huu pia upo mpakani. Polisi na wenyewe wahalifu vile vile na pesa zinaishia kwa wambulu na warangi
Ok, na hivi ARUSHA ni jirani na CCP MOSHI basi ndo kabisa, wanawapika pale halafu wanawamwaga tu [emoji3]
 
Yes ni. Mkoa wenye askari wengi wa usalama kutokana na Historia yake ya uhalifu, isitoshe mkoa huu pia upo mpakani. Polisi na wenyewe wahalifu vile vile na pesa zinaishia kwa wambulu na warangi
Ni wengi halafu wana njaa kinoma yaani, kama matrafiki hata jero hawaachi [emoji23]
 
Anaitwa bodea na kwelii kapungua Sanaa ila picnic hata waisemaje miaka yote inajaza. Siri kubwa ni wahudumu walivyo Kwanzaa wamefungasha, mavazi yenyewe hivyo visketi vifupii usiombe alafu wengi kwa muonekano wazuri na huo ndio ugonjwa wa wanaume wengi walevi hivyo kukosa wateja sahau pale Kuna watu ni kama members pale miaka kibao na hela wanazo ila hawakosi kutia timu. Usalama kweli kwa magari ni mbaya kutokana na mazingira ya hiyo baa ilivyo kwani Kuna misuruu ya vibaa vingine kibao kama Africana na kadhalika na ukiangalia parking ni pembeni ya Barabara kwa kuwa Hawana official parking. Kama mgeni nakushauri tumia usafiri Wa kukodisha lakini kwa sisi wenyeji mbona tupo siku zote na hatujawahi pigwa kwa kuwa tumejenga connection pale hivyo si rahisi wakukufamu kukugusa ila pale machangu kibao huyo anayemuita muhudumu most likely alikuwa changu anawinda na wanafahamu wageni.
Yes picnic ndo lango la jiji.
 
Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
.
Nikafika pale nikaagiza Kinywaji Changu, Grants Ile Kubwa nikawa nanyonya mdogo², Sasa Kuna Binti akawa amekaa kaubta ananiangalia sana.
.
Badae akamtuma mhudumu akwambia, kamwambie yule Kaka nimempenda Jinsi alivyo mrefu na Rangi yake nyeusi nikasema asante.
.
Sasa nikaenda Chooni yule mwanamke ananikonyeza halafu for the time being akanifata chooni Ananambia mbn na kuita Uje Halafu hauji, Eti njoo ule nyama Sawa Nikamjibu Poa.
.
Ila Sikwenda maana nilishaambiwa Niwe makini na wahudumu+wateja, badaye kanifata nilipokaa Ananambia ninahamia Hapa Tukae Wote.
.
Wakati Huo Nimepaki Gari nje, Nikamjibu sitakaa Sana Ila nitaondoka Kwenda Kupumzikia, akajibu nitakusindikiza, Wala sikujibu chochote.
.
Badae Akili ikanambia Toka nje kaangalie gari, nikatoka Ila kabla sijatoka nje nikachukua Kinywaji Changu nikapeleka counter Kwa usalama zaidi.
.
Ila natoka nje kupiga macho Kwenye gari Naona Mtu Yuko ndani ya gari kusogea nakuta anafight kufungua radio, alivyoniona akakurupuka akataka kukimbia nikamuwahi nikampiga teke akaanguka Chini, nikampa teke lingine la Tumboni akatulia, nikaona gari ya Polisi wale Polisi wakaja wakaniuliza vipi nikawaelezea wakamchukua wakamweka Kwenye gari Yao.
.
Kurudi Kuangalia gari kumbe alivunja kioo Kidogo Akaingiza Mkono aka-unlock zile lock za milango.
.
Nikaenda kuwalezea Uongozi wa Bar Wala hawajali wanajibu majibu ya Kawaida Tu.
.
Nikachukia nikaenda nikachukua kinywaji Changu nikasepa.
.
Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo.
Wivu tu tena wa kike kutaka kuchafua biashara ya watu, tena hata kuandika tu huu uzi kama vile akili za kushikiwa, Picnic nyingine zenye majina makubwa hapa Ars, usalama ndani ya Baa na nje upo tena wa kiwango, lakini dosari ndogo ndogo zinaweza kuwepo lakini sio kwa hali hiyo!
 
Jifikirie wewe ni mwekezaji wa hii bar. Umeshatumia mabilioni ya pesa kuweka miundombinu, kulipia kodi, kuajiri, nk. Unaishi zako Mbezi beach, Dar es Salaam, Mara umeamka zako saa 9 usiku, uanze kuwaza mambo mengine, unapitia pitia huku unakutana na uzi kama huu.

Baada ya kuzisoma na kuzitafakari comment zote, unaanza kufikiri kufanya mabadiliko kadha
wa kadha ili kuboresha usalama wa wateja.

Lakini badala ya kujifanyia anavyowaza, unaamua kuomba ushauri hapa hapa JF, kisima cha maarifa, hatua za kuchukua haraka, na mipango ya muda mrefu.

Anaomba ushauri wako. Endekea kutiririka hapa.
 
Tembea uone.
Kwa taarifa yako wasichana wakali wapo Arusha.
Tatizo hantembei

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Tena ongeza....wasichana wakali, masikini wanaojitafutia wako ARUSHA
Unakutana na mdada muuza soksi, sijui mchoma mahindi, bususu sokoni wakali mbaya....huwa najiwazia hivi hawa wakijipaka mafuta ya marytina na kufuga nywele itakuwaje?

Elewa Arusha kuna kuzaliana Kati ya wanyaturu, wachagga, wambulu, wapare, wanyiramba among others

Hivi wewe unajua wasichana wa kimbulu wanavyoamsha??? Tofautisha Kati ya wasichana warembo na wale wazuri....urembo utanunua...uzuri ni natural
 
Back
Top Bottom