Barabara ya Morocco - Mwenge imetanuliwa ila njia zimepungua toka 5 hadi 4

Barabara ya Morocco - Mwenge imetanuliwa ila njia zimepungua toka 5 hadi 4

Hapo nimepita jana wakati naenda zangu Goba nikajiuliza hivyo hivyo,mwisho nikajiongeza pasi na shaka kwamba lazima itakuwa imewekwa kwa ajiri ya mwendokasi hapo katikati zinapokatiza gari za Makumbusho kuingia stand
 
Kumbe mawazo yetu yamefanana aisee,
Nawaza hapa sipati hata Jibu. Wanasema ni maandalizi ya njia za mwendokasi sijui, lakini hata phase ya Mbagala haijaisha bado
 
Kuna vitu vingi vimesimama ni kama watu wanasubiri hasira hivi.
Ubunifu hakuna kabisa.
 
Haijakamilika. Ikikamilika itakuwa na njia sita. Nne magari ya kawaida na mbili mwendokasi.
Hivi kama kweli hiyo ndio sababu si ilibidi sasa wasubiri mpaka wakati wanataka Kujenga Mwendokasi ndio watupunguzie njia kutoka 5 hadi 4?? Kuna uharaka gani wa kutupunguzia njia sasa wakati Mwendokasi yenyewe haijengwi leo?

Yaani nini faida ya kupunguza njia sasa kutoka tano hadi nne kwa ajili ya mwendokasi itakayoanza kujengwa miaka mitatu au minne ijayo?
 
Hivi kama kweli hiyo ndio sababu si ilibidi sasa wasubiri mpaka wakati wanataka Kujenga Mwendokasi ndio watupunguzie njia kutoka 5 hadi 4?? Kuna uharaka gani wa kutupunguzia njia sasa wakati Mwendokasi yenyewe haijengwi leo?

Yaani nini faida ya kupunguza njia sasa kutoka tano hadi nne kwa ajili ya mwendokasi itakayoanza kujengwa miaka mitatu au minne ijayo?
Hata mimi ndio nilichowauliza exactly, wakashindwa kujibu, uzi wangu ukabaki unaelea bila jibu hadi sasa tunavyoongea..
 
Haijakamilika. Ikikamilika itakuwa na njia sita. Nne magari ya kawaida na mbili mwendokasi.
Kwa hakika. Na imeanza kuwa na mvuto hasa pale kituo cha Victoria inarembeshwa na majengo mazuri. Natamani hata ya Kimara hadi Kibaha ambayo ni kubwa zaidi kwani ni njia nane na ndio lango kuu la DAR, iwe na mvuto zaidi. Bahati mbaya hatupendi vitu vizuri na vyenye mvuto.
 
Hivi kama kweli hiyo ndio sababu si ilibidi sasa wasubiri mpaka wakati wanataka Kujenga Mwendokasi ndio watupunguzie njia kutoka 5 hadi 4?? Kuna uharaka gani wa kutupunguzia njia sasa wakati Mwendokasi yenyewe haijengwi leo?

Yaani nini faida ya kupunguza njia sasa kutoka tano hadi nne kwa ajili ya mwendokasi itakayoanza kujengwa miaka mitatu au minne ijayo?
Hio njia ya tano ni Ile centre reservation? Ambayo haitakiwi kutumika?
 
Nafasi ya hapo katikati zitatoka barabara mbili. Kuwa na subra utaona itakavyokua kazi ikiisha. Hii kazi hajapewa mtanzania kazi itakua nzuri.
Juzi niliona hapo katikati kabla ya taa za Morocco wamejaza kifusi pamekuwa juu, sijui wanataka pawe nini, ngoja kesho nipite nione kinachoendelea, barabara hii maajabu hayaishi
 
Nafasi ya hapo katikati zitatoka barabara mbili. Kuwa na subra utaona itakavyokua kazi ikiisha. Hii kazi hajapewa mtanzania kazi itakua nzuri.
Huyu mdau hajaelewa tu, hiyo barabara itakua na njia zaidi ya 5
 
Hio njia ya tano ni Ile centre reservation? Ambayo haitakiwi kutumika?
Yaan kama Mwendokasi sio leo basi ingeachwa tu itumike nayo mpaka hapo watakapoanza kujenga Mwendokasi, otherwise basi hata hizi nne mpya za sasa zisingejengwa zikabaki zile zile tano za mwanzo mpaka hapo watakapoanza kujenga Mwendokasi
 
Kwa hakika. Na imeanza kuwa na mvuto hasa pale kituo cha Victoria inarembeshwa na majengo mazuri. Natamani hata ya Kimara hadi Kibaha ambayo ni kubwa zaidi kwani ni njia nane na ndio lango kuu la DAR, iwe na mvuto zaidi. Bahati mbaya hatupendi vitu vizuri na vyenye mvuto.
Victoria yenyewe tu peke yake kuna Traffic Light kama mara nne hivi wakati hapo awali ilikua ukitoka Traffic Light za Morocco unakuja kuzikuta zingine Sayansi Kisha Bamaga halafu Mwenge. Huku ni kupetezeana muda tu
 
Kwa hakika. Na imeanza kuwa na mvuto hasa pale kituo cha Victoria inarembeshwa na majengo mazuri. Natamani hata ya Kimara hadi Kibaha ambayo ni kubwa zaidi kwani ni njia nane na ndio lango kuu la DAR, iwe na mvuto zaidi. Bahati mbaya hatupendi vitu vizuri na vyenye mvuto.
Kwanini wasingeremba ile njia 5 iliyokuwepo awali?
 
Juzi niliona hapo katikati kabla ya taa za Morocco wamejaza kifusi pamekuwa juu, sijui wanataka pawe nini, ngoja kesho nipite nione kinachoendelea, barabara hii maajabu hayaishi
Ndipo wanapopata ulaji hapo, hakuna namna
 
Bado ikija mwendokasi ya morocco to tegeta itavunjwa.
Hapana,siku hizi tumeondoa vihiyo kwenye safu ya viongozi watendaji.

Si unaona barabara ya katikati ina mortar nene zaidi na imewekewa kingo za vitofali vigumu!!!maana yake ni BRT hiyo.
 
Back
Top Bottom