respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,556
- 3,842
Katika hii taarifa kuna hoja za msingi na zingine hapana.
All in all,CCM hiyo katiba pendekezwa itawatokea puani maana mmeharibu karibu kwenye kila eneo/idara.
Nakubaliana na wewe mkuu kwenye Paragraph yaw kwanza
Then hiyo paragraph ya pili Maccm ni mawatu madikteta sana, si umeona hapo kwa mujibu wa Tamko la Jumuiya na Taasisi za kiislam, ni kwamba, Yanafanyiwa mapendekezo ya namna yaw kubadirisha SHERIA YA MABADIRIO YA KATIBA. ccm wamegundua hata wafanye nini Katiba yao haipiti kwa namna yoyote ile, Hivyo wameleta mapendekezo hayo ili pamoja na mambo mengine wabadiri kile kifungu kinachosema KATIBA HAITAPITA ENDAPO THERUTHI MBILI HAZITAPATIKANA KWA PANDE ZOTE ZA MUUNGANO.
Hapo ndipo ulipo ubovu wae kamba yao, hata wafanyeje, waibeje Theruthi mbili kamwe haiwezi kupatikana kwa pande zote za Muungano sasa hapa wanakwenda kucheza tena na uhuni wao watuletee mapendekezo ya kuondoa vifungu hivyo. Binafsi nitawashangaa sana Wapinzani kuingia kwenye kura ya maoni kama. kifungu hicho kikiondolewa.
Nadhani kama ni funzo tumelipata kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, Ccm hawako tayari kuumbuka kwa namna yoyote ile, tusubiri
BACK TANGANYIKA