Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,220
- 5,622
Sasa hivi nadhani BAKWATA wamejifungia wanaandaa Tamko kuwapinga hawa jumuiya za kiislam na wataunga mkono hoja,Mapendekezo au mswada unaopendekezwa... Si Mufti amepewa mamlaka ya kuteua hao Makadhi..!!!
THE BIG SHOW FaizaFoxy poleni kwa Dilemma hii!!
BACK TANGANYIKA
Utamuona yule kibaraka wa CCM anaejiita shehe mkuu wa mkoa wa dar akipinga hili tamko huku povu likimtoka
Last edited by a moderator: