Baraza la Chuo Kikuu Huria Tanzania lamtaka Prof. Bisanda aombe radhi kuhusu waraka wa Corona alioutoa

Baraza la Chuo Kikuu Huria Tanzania lamtaka Prof. Bisanda aombe radhi kuhusu waraka wa Corona alioutoa

Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO
Prof Bisanda usiombee radhi UONGO

Prof................................................We support you!
Hili taifa hili.Nn kimetukumba?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
We nawe umetokea wapi?!
Unasema ana mamlaka ya kufanya alichofanya?!
Utakuwa the least of all hypocrites kufikiria makamu mkuu wa chuo huria Tanzania hana mamlaka hayo.
........yule kazi yake ni administer chuoni ......but yuko chin ya wizara so ...amevuka madaraka yake
 
Ujinga mzigo sana, una uhakika alikuwa hana mamlaka ya kutahadharisha taasisi anayoiongoza juu ya ugonjwa mnaoficha kwapani?
.,...kutahadharisha sio kosa.......kosa n kuhairisha masomo kwa njia ya kawaida .....wakat wizara haijaagiza kufanya ivo
 
Hata akiomba bado haifuti ukweli aliousema juu ya hali iliyopo sasa hivi. Halafu alichokisema Prof. kina tatizo gani maana ametoa tahadhari na hatua za kuchukua kwa umma anaouongoza maana yeye ndiyo kiongozi wao Prof katimiza wajibu wake hao baraza wana matatizo watu wenyewe wanakutana mara mojamoja hawana direct contact na wanafunzi na watumishi wengine kama management ya chuo na wanafunzi ambao hawa wapo kwenye risk kubwa.

Prof Bisanda kongole kwa ujasiri wako wa kuusimamia ukweli hata katikati ya hofu ya wenye mamlaka

The World’s Greatest Need—The greatest want of the world is the want of men,—men who will not be bought or sold; men who in their inmost souls are true and honest; men who do not fear to call sin by its right name; men whose conscience is as true to duty as the needle to the pole; men who will stand for the right though the heavens fall.—Education, 57 (1903).
Taifa la hovyo sana ukisema ukweli unaonekana ni adui, hao wote wanajipendekeza kwa dikteta, bora huu ugonjwa uwapige wao wenyewe.
 
Baraza la Chuo Kikuu Huria, limekaa kikao cha dharura na kuagiza Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Elifas Tozo Bisanda aombe radhi kwa Wizara ya Elimu, Chuo Kikuu Huria na Umma kwa waraka wa tahadhari ya #CORONAVIRUS alioutoa Februari 8, 2021

Prof. Bisanda alitoa waraka kuwatahadharisha wafanyakazi na wanafunzi wa chuo hicho kuhusu ugonjwa wa Corona. Baraza limebaini kuwa yalikuwa maoni binafsi na alikosea kutumia nembo za Serikali

Aidha imedaiwa taarifa ya Prof. Bisanda imeonekana kukinzana na Sera ya Serikali juu ya tahadhari dhidi ya #COVID19 pia haikuwa na takwimu za kuthibitisha uhalali wa baadhi ya taarifa hizo

Baraza limeagiza wanafunzi na wafanyakazi wa chuo waendelee na kazi na masomo kama kawaida. Pia limeomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza
Hapa ndo pazuri, Je, Prof atasimamia ukweli au atalamba miguu wanasiasa huku awe anashuhudia watu wakizidi kupukutika.
 
Hawa Baraza ni wasomi kweli, au ni jopo la wanasiasa?
Usomi maana yake kusema kweli daima hata kama kisiasa haikubaliki.
Prof Bisanda caled a spade a spade na pengine tahadhari yake ingalau imeokoa maisha ya mtu mmoja.
Tupeni majina ya Baraza la Vyuo Vikuu tuwajue kwa unafiki wao.
YEHUDI - Mwenyekiti
Talst
KaweAlum
Mtu Mwenye Njaa Sana Mayala
MgonjwaMtafiti
JingaJinga
MudasiWote
YohanaBabusit
 
Na Sua je?
Na Udsm je?
Maana hawa nao walishatoa tahadhari. Au wao hawako chini ya wizara?
.........mkuu kutoa tahadhari sio kosa .....hata rais magufuri anatoa tahadhari........kosa n kuwa ..huyu professor ka cancel normal sessions za chuo.....kuw student waji caranteen ...watumie online studying .....kitu ambacho .....hakipo ndan ya madaraka yke .......NI SAWA NA .....PRIVATE WA JESHI .....KUTANGAZA HALI YA KIVITA NCHIN
 
Baraza la Chuo Kikuu Huria, limekaa kikao cha dharura na kuagiza Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Elifas Tozo Bisanda aombe radhi kwa Wizara ya Elimu, Chuo Kikuu Huria na Umma kwa waraka wa tahadhari ya #CORONAVIRUS alioutoa Februari 8, 2021

Prof. Bisanda alitoa waraka kuwatahadharisha wafanyakazi na wanafunzi wa chuo hicho kuhusu ugonjwa wa Corona. Baraza limebaini kuwa yalikuwa maoni binafsi na alikosea kutumia nembo za Serikali

Aidha imedaiwa taarifa ya Prof. Bisanda imeonekana kukinzana na Sera ya Serikali juu ya tahadhari dhidi ya #COVID19 pia haikuwa na takwimu za kuthibitisha uhalali wa baadhi ya taarifa hizo

Baraza limeagiza wanafunzi na wafanyakazi wa chuo waendelee na kazi na masomo kama kawaida. Pia limeomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza

Aisee huyu prof akiomba radhi itabidi tuichunguze elimu yake
giphy.gif
 
Hapa ndo pazuri, Je, Prof atasimamia ukweli au atalamba miguu wanasiasa huku awe anashuhudia watu wakizidi kupukutika.
Kama alishajitoa mhanga kwa kusema ukweli sidhani Kama ataweza kupiga U turn
 
Huku sasa ni kujipendekeza kuliko pitiliza. Anaestahili kuombwa radhi ni huyo Profesa kwa kudhalilishwa na wizara.

Amandla...
Kuna watu walidukuliwa simu zao, halafu wakatakiwa waombe radhi.

Tanzania mambo yanaenda kinyumenyume.

Anayejamba ndiye anataka umuombe msamaha kwa ushuzi.
 
Back
Top Bottom