Baraza la Maaskofu TEC linapobariki pesa chafu za CCM

SIjasoma uzzi wote ila kitu kanisa katolik haliwez kuacha ni ela ata iwe chafu vp
 
Hakuna jambo linaniuma moyo kama bishop residence ya jimbo la Morogoro ilivyo! Tembelea makazi ya maaskofu wote katoliki Tanzania hakuna yanayofanana na Jimbo la Morogoro "a den of robbers". Makazi yamezungukwa na vilabu vya pombe na vioski vya chipsi!!!!
 
Nilikuchanganya na huyo mwenzio, kwa kuwa akili zenu zinafanana.
Ukisoma vizuri utaona tunavyotofautiana mitazamo katika hili jambo. Nandagala One anadhani kanisa kupokea fedha toka CCM ni najisi ila likipokea toka Chadema ni sunna. Mimi nasema Kanisa linapokea michango ya kila mtu awe msafi au mchafu. Afterall kanisa lipokusaidia watenda dhambi. Kama wewe ni msafi huhitaji msaada wa kanisa.
 
Duh!

Nilisha jitoa kwenye mjadala huu, lakini naona naendelea kuvutwa tu nishiriki

Kimsingi, sioni tofauti yoyote kati yako na mleta mada katika maoni yenu.
Afterall kanisa lipokusaidia watenda dhambi
Ambao wakitenda dhambi zao na kuleta michango yao kanisani inakuwa "vipaji"? Mantiki ya ajabu sana hii.

Ni nani anahitaji msaada wa kanisa hasa,... ; hawa watoa michango, au kanisa lenyewe?

Inatosha.
 
Penye udhia penyeza rupia. Kwisha habari Yao. Huwezi kataa pesa chafu ukiwa mchafu. Kidogo kidogo tusaidiane katika maisha. Sio mpango wa Mungu kuwa na taasisisi zenye nguvu ie. Mungu anapoona viongozi wanajijengea minara na sanamu hulipasua kanisa lake na kutengeneza madogomadogo na lile mama kuliacha lijifie au lijiimalishe kupitia Toba. Sasa. RC ni serikali kamili inayoweza hata poteza anayejaribu kuligawa ndio maana Mungu ataliaibisha kupitia kupenda fedha za aibu kama hivi.

Kikubwa na kuhama tu na kuukubali mpango wa Mungu wa wokovu ili ulitumikie kusudi aliloweka Mungu ndani Yako kikamilifu kuliko kuendelea kuvunjwa moyo na Watu waliojichongea sanamu.
 
Taasisi za kutetea USHOGA, ndoa za jinsia moja wakitoa pesa zipokelewe na kanisa???

Kanisa Katoliki ni zaidi ya serikali, linafukuza mpaka maaskofu kimyaa kimyaa kwa ajili bya kashfa za, Tena unaombwa kujiuzulu badala ya wao kutangaza kuwa wamekufukuza.

Askofu mmoja aliombwa kujiuzulu na akafanya hivyo kwa ajili ya ukwasi na mambo makubwa ya maendeleo ndani ya jimbo ambalo kimsingi chanzo chake kilitia shaka.

Kumbe alikuwa anasapotiwa na free masson.
Haijulikani alipo na kanisa na waumini washasahau kama Kuna Askofu aliitwa Fulani........

Issue pesa ya watetea ushoga zipokelewe? Kisa pesa ni pesa tu???

Fedha fedheha,

Kifupi Kanisa haliwezi pokea pesa bora pesa tu!!
 
Moderators nawaomba kwa heshima huu Uzi ni muhimu ,naomba bold heading, thread zingine Zina wasomaji 487 ziko Bold, please naomba Bold!!
 
Hakuna kuhama, niamie wanakouza udongo wakati udongo umejaa??

Nihamie wanakolia bila kupigwa??
Niamie watu wanakolia baada bya kuchokozwa hisia na mchungaji?

Halafu baadae mchungaji aniombe nichangiea huduma ya kulia kwa ajili ya kuniliza kwa uchokozi wa kucheza na hisia zangu??

Nabaki mkatoliki kukiwa na mambo hovyo nayasemea.

Hakuna wokovu duniani ukiwa hai.
 
Mkuu wanafahamiana hao wala usiumize kichwa hyo yote ni sytem 1 in one hand and different in one another!
 
Zaburi Na watakatifu walio duniani,Watukufu, ndio ninaopendezwa nao sana.”

, Warumi 10:9Kwa maana ukitangaza waziwazi kwa kinywa chako kwamba Yesu ni Bwana, na kuwa na imani moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, utaokolewa. 10 Kwa sababu kwa moyo mtu huwa na imani ili apate uadilifu, lakini kwa kinywa mtu hufanya tangazo la hadharani ili apate wokovu.
Maandiko yapo mengi yanayothibitisha kuokoka.
Warumi 8:15Warumi 8:15
[15]Kwa kuwa hamkupokea tena roho wa utumwa iletayo hofu; bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambayo kwa hiyo twalia, Aba, yaani, Baba.
For ye have not received the spirit of bondage again to fear; but ye have received the Spirit of adoption, whereby we cry, Abba, Father.
Warumi 8:6wana.6Sasa kwa sababu ninyi ni wana, Mungu ametuma roho ya Mwana wake ndani ya mioyo yetu, nayo hupaza sauti: β€œAbba, Baba!”.

Anayelia ndani ya Waiomwamini Yesu sio wao Bali ni Roho Mt ndani Yao.

Hata hivyo, ninyi hampatani na mwili, bali mnapatana na roho, ikiwa kweli roho ya Mungu inakaa ndani yenu. Lakini ikiwa mtu yeyote hana roho ya Kristo, mtu huyo si wake.

Kama huna Roho Mt wewe sio WA Mungu katu. ROHO Mt ndiye muombezi. Rejea Warumi 8:26,27Warumi 8:15,26
[15]Kwa kuwa hamkupokea tena roho wa utumwa iletayo hofu; bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambayo kwa hiyo twalia, Aba, yaani, Baba.
For ye have not received the spirit of bondage again to fear; but ye have received the Spirit of adoption, whereby we cry, Abba, Father.
[26]Kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa.
Likewise the Spirit also helpeth our infirmities: for we know not what we should pray for as we ought: but the Spirit itself maketh intercession for us with groanings which cannot be utteWarumi 8:15,26-27
[15]Kwa kuwa hamkupokea tena roho wa utumwa iletayo hofu; bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambayo kwa hiyo twalia, Aba, yaani, Baba.
For ye have not received the spirit of bondage again to fear; but ye have received the Spirit of adoption, whereby we cry, Abba, Father.
[26]Kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa.
Likewise the Spirit also helpeth our infirmities: for we know not what we should pray for as we ought: but the Spirit itself maketh intercession for us with groanings which cannot be uttered.
[27]Na yeye aichunguzaye mioyo aijua nia ya Roho ilivyo, kwa kuwa huwaombea watakatifu kama apendavyo Mungu.
And he that searcheth the hearts knoweth what is the mind of the Spirit, because he maketh intercession for the saints according to the will of God.red.
ROHO Mt hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa. Akiwa ndani Yako ni sawa na mlevi pombe ikiwa ndani itamwongoza kwenye mambo kadha WA kadha kama kupiga yowe, kuguna guna, na hata kulia pia. Akifanya haya Nini Watu watesema?. Pombe hizo maana wanajua madhara ya pombe hivyo hivyo kwakuwa Watu hawamjui Roho Mt wanashangaa waliookoka wakilia wasijue Nini sababu. Sababu ni hizo hapo juu kimaandiko kitu ambacho huwezisikia padri akifanya maana hana Roho Mt Wala mroma akifanya maana hamna Roho Mt nyie. Karibu uokoke nami nilikuwa Mroma mzuri sana ila Kristo aliniangazia Nuru yake. Achana na Hawa manabii wachawi Akina Mwampusa tafuta kanisa dogo lenye mchungaji ingia humo utabarikiwa. Amen.
 

Unatwanga maji, ubatizo mmoja wa kanisa Katoliki Takatifu la mitume unanitosha, hiyo ndiyo imani yangu ya muungano nwa KiMungu kupitia ukatoliki siyo vinginevyo.

Naomba rudi kwenye mada kuu ya huu uzi.
 
Mkuu wanafahamiana hao wala usiumize kichwa hyo yote ni sytem 1 in one hand and different in one another!
Bado hujasema, wakati bwa waraka wa DP World 🌎 mbona waliandika na upande wa serikali wakachukia tamko la TEC.

Sio kitu kimoja ni vitu viwili tofauti!!!
 
Unatwanga maji, ubatizo mmoja wa kanisa Katoliki Takatifu la mitume unanitosha, hiyo ndiyo imani yangu ya muungano nwa KiMungu kupitia ukatoliki siyo vinginevyo.

Naomba rudi kwenye mada kuu ya huu uzi.
Pindi USIKIAPO sauti ya Bwana Mungu wako usiufanye mgumu moyo WAKO.
 
Pindi USIKIAPO sauti ya Bwana Mungu wako usiufanye mgumu moyo WAKO.
Utakuwa una shida kichwani mwako nmominni aina ya watu wanaosimamia nachoamini, ni makatoliki,nitabaki mkatoliki, katafute waumini wapya kutoka watu ambao Bado hawajui kitu Cha kusimamia.

The salvation for great extent is obtained through catholic church.

Rudi kwenye mada pesa chafu za CCM!!!
 
Tuna ujenzi wa kanisa,tumeomba mchango wa ujenzi Kwa watu mbalimbali wa wanasiasa, wafanya biashara so kutoa ni hiari na ukitoa usitupangie namna ya kufikiri na kutoa mtazamo wetu
 
Karibu Rombo green view nakunywa pombe,karibu tunywe Pombe kiongozi!!
Waefeso 5:17 Kwa hiyo acheni kuwa watu wasio na akili, bali endeleeni kuyafahamu mapenzi ya Yehova. 18 Pia, msilewe divai, ambayo ina upotovu, bali endeleeni kujazwa roho.
 
Wewe ut
Tuna ujenzi wa kanisa,tumeomba mchango wa ujenzi Kwa watu mbalimbali wa wanasiasa, wafanya biashara so kutoa ni hiari na ukitoa usitupangie namna ya kufikiri na kutoa mtazamo wetu
Wewe utakuwa MPAGANI huna dini.

Kwako pesa ni pesa hata itoke kwa magaidi!!!πŸ€£πŸ˜ƒ.

Hongera kwa kuchagua ujinga?!!
Ukiendekeza NJAA ndo hivyo unazoa pesa toka kote kote!!! WEZI, MAFISADI waua albino ma drug dealers πŸ€£πŸ˜ƒπŸ€£πŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…