n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Wakimaliza hapo waje kwa watoboa pua, wavaa hereni na vikuku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa mada umepotosha "HAKUNA KIBALI CHA KUSUKA" nimemsikia mimi mwenyewe muhusika akihojiwa BBC swahili. Bali kuna faini ya 1M kwa atakaekamatwa kasuka au jela 6MonthKatibu Mtendaji Baraza la sanaa, Sensa ya Filamu na Utamaduni, Dkt.Omar Adam leo kwenye Asubuhi Njema ya ZBC ameelezea mengi yanayohusu sekta ya sanaa, filamu na namna wanavyosimamia Mila, Desturi na Utamaduni wa Zanzibar.
Hakuna kibali cha kusuka mtoa mada kapotosha.Hicho kibali kinakuwa hai kwa muda gani ukishalipa?
Hakuna kibali bali kuna faini tuSasa hapo Kuna uzuri gani?
"Kibari kusuka milioni, lengo kulinda utamaduni"
Ina maana Nikilipa milioni Kisha nikasuka huo utamaduni utakuwa umelindwa? Hapo walichofanya ni kwamba Zanzibar kusuka ni ruksa ila Kuna gharama kubwa.
Bla bla za kuprotect vijana wasijiingize kwenye mambo ya hovyo wangepiga marufuku Kama hivi "Zanzibar mtoto wa kiume kusuka hairuhusiwi" FULL STOP.
Mtoa mada umepotosha "HAKUNA KIBALI CHA KUSUKA" nimemsikia mimi mwenyewe muhusika akihojiwa BBC swahili. Bali kuna faini ya 1M kwa atakaekamatwa kasuka au jela 6Month
Hiyo sheria ni kwa ajili ya zanzibar tu
Na matamko kama hayo yanaweza yakaathiri sekta ya Utalii hapo Znz,Hiyo sheria ni kwa ajili ya zanzibar tu
Unataka kusemaje kwa mfanoHakuna kitu kama hicho, na nchi haiongozwi Kwa hisia za watu, hata kama hupendi wanaume wanaosuka huwezi kuamka tuu na kutoa tamko kwa sababu wewe ni kiongozi au serikali, Sheria zifuatwe tuache ujinga