Barua ya wazi kwa dada Halima Mdee

Mdee si yuko Milembe? Wanasema kachanganikiwa kutokana na ukweli kuwa watu walikuwa hawamtaki, yeye alikifikiri vile anapiga kelele bungeni na kukamatwa na polisi ndivyo anavyopendwa na watu, wabongo bwana ni wajumbe wa kiasili kwa kweli.
 
Sio hisani ni sheria serikali iwape ruzuku na ni sheria chama kipeleke viti maalum bungeni

Hatuendi kushirikiana na wauaji na wezi wa kura. Mnaweza kuchukua hatua yoyote. Na wakienda wajue sisi wafuasi wao tutawaona wako mlengo mmoja na hao wauaji.
 
Hatuendi kushirikiana na wauaji na wezi wa kura. Mnaweza kuchukua hatua yoyote. Na wakienda wajue sisi wafuasi wao tutawaona wako mlengo mmoja na hao wauaji.
Sema mm na sio sisi
 
Mdee si yuko Milembe? Wanasema kachanganikiwa kutokana na ukweli kuwa watu walikuwa hawamtaki, yeye alikifikiri vile anapiga kelele bungeni na kukamatwa na polisi ndivyo anavyopendwa na watu, wabongo bwana ni wajumbe wa kiasili kwa kweli.
Umeingia wrong forum
Nenda kwenye jukwaa lako la celebrities

Hapa tunaongea watu wazima obove 30yrs
 
Haipo hakika kama ulimaliza kuandika kabla ya ku post.

Ila kila kitu ni nini? Uporaji haki na uhuru wa raia nao umo?

Wizi wa uchaguzi, uuwaji, utekaji na yote ya namna hiyo ni zezeta tu ndiyo anayeweza kukubaliana nayo.
Tangu mmeanza kuongea nn kimebadilika?

Acheni siasa za malalamiko tu
 
Anayetakiwa kupeleka majina tume siyo kiongozi wa wanawake,Wala siyo Mwenyekiti wa chama bali ni Katibu Mkuu wa Chama.
Pole kiongozi,barua yako imeenda kwa mtu asiye sahihi. Mwandikie Mnyika umshawishi.
 
Uwa nahisi wale watu waliolizwa nafasi zao kwenye serikali za mtaa walichangia wenzao kukosa Ubunge....ile mentality ya tukose wote.
 
Anayetakiwa kupeleka majina tume siyo kiongozi wa wanawake,Wala siyo Mwenyekiti wa chama bali ni Katibu Mkuu wa Chama.
Pole kiongozi,barua yako imeenda kwa mtu asiye sahihi. Mwandikie Mnyika umshawishi.
Najua naongea nn,
Na nimepatia kumwandikia Dada halima coz yy ndio Kiongozi wa wanawake chadema
 
Tangu mmeanza kuongea nn kimebadilika?

Acheni siasa za malalamiko tu

Kama hukijui mwulize jiwe aliyeteua mawaziri kabla ya wakati hatakwambia:

"Kwenye natoka, kivumbi na jasho eeh.
Kwenye natoka, kuna waka moto."
 
Nenda bungeni acha ujinga halima pia msisahau zile asilimia mtakazokuwa mnatoa ili kukibeba chama kisije anguka kabisa unamsusia simba wewe si atakula ngombe wote zizini mkose vyote pia kumbuka kwa nyie kuingia 19 kutapandisha ruzuku walau kidogo sasa mtakachopata wasitafune wajenge maofisi ya chama
 
Kaka Pascal, huoni kuwa Chadema kutokupeleka wabunge wao bungeni ni njia yao ya kupaza sauti mambo kadhaa yasiyoridhisha yafanyiwe marekebisho.
 
Hata viti maalum ni sheria
Au nyie kwenu sheria ni Ile tu ambayo inawapa nyie pesa basi?

Hata Sheria zina waruhusu Wabunge kutoa Maoni yao ili kuboresha jambo kwa maana ya kupinga na kutoa Suluhisho ,Sheria hiyo hiyo hutumika vibaya na kuwafurusha Wabunge nje ya Bunge kwa Hali yoyote ile kwa Sababu ya kuwa na Maoni tofauti.
 
Bora wangegoma kabisa kushiriki uchaguzi.
Wapinzani wajipange upya,

Bora wangegoma kabisa kushiriki uchaguzi.
Wapinzani wajipange upya,
Hawa tuliwajua tangu mwanzo kwamba, walitaka ubunge. Nafasi ya urais walijua hawawezi kuipata, wakampa Lissu waliyejua hatapita ubunge. Sasa baada ya wao pia kupata za usoni, wameanza bhla-bhla!
Tangu mwanzo waliona majina ya wagombea udiwani na ubunge yakikatwa, ya kwao yooote yakapita. Hapo wakawa na tumaini na kuwatelekeza waliokatwa.

Ubinfsi wao haukulipa sasa wanalia kwa kuwakumbuka waliokatwa wote!
 
CCM wanaushauri mzuri tena wanaupendo mkubwa kwa Halima mdee hahahahah!
 

Hiyo ruzuku msiwape cdm, wapeni TLP, UDP nk maana wao walimuunga mkono mgombea wa ccm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…