Basi Kampuni ya Baraka kutoka Newala - Dar lapata ajali na kusababisha vifo 14
Pole kwa wahanga wote, Ally's sio bus ni chombo chenye vibaraka wa kuzimu.
 
Sasa na wewe Ingia kwenye zoezi la kusaidia wahanga badala ya kuwa bize na mitandaoni.

Habari zitapatikana tu.
Dr hii ya kusaidia wahanga it's a NO, kama wewe hauna utaaalam wa masuala ya medical, HAURUHUSIWI, kumgusa mhanga maana HUJUI, raia unachoweza ni kusaidia mambo yasiyohusiana na utaalamu huo, usimnyanyue mhanga kabla ya kujua ameumia wapi, haya ni matokeo ya kuishi in a shithole country, why Halmashauri haijaweka alama za tahadhari hapo?,halafu vivuko hivi wenzetu wanavipunguza sana,hapo barabara au rail mojawapo ilitakiwa ichepushwe,na all Drivers PLS kwenye Rail crossing 🛤 YUO MUST STOP ,kuwe na train or not,Rail inatumika au haitumiki LAZIMA USIMAME.
 
Ajali zimegharimu sana maisha ya Watanzania wengi
Kimsingi asilimia 75 ya ajali zinasababishwa na "human error" ikiwemo speed. Magari na vyombo vya moto kwa uhumla sasa yanakimbizwa sana. Watumiaji wa vyombo vya moto pia wengi hawajitambui. Hiki ndio chanzo cha ajali nyingi. Hizo Ally na Katarama huwa zinasifiwa kwa "over speeding" mitandaoni. Kama angekuwa anaendesha taratibu angeweza kucontrol gari na asingeigonga treni hata kama haikuwasha taa.
 
Kimsingi asilimia 75 ya ajali zinasababishwa na "human error" ikiwemo speed. Magari na vyombo vya moto kwa uhumla sasa yanakimbizwa sana. Watumiaji wa vyombo vya moto pia wengi hawajitambui. Hiki ndio chanzo cha ajali nyingi. Hizo Ally na Katarama huwa zinasifiwa kwa "over speeding" mitandaoni. Kama angekuwa anaendesha taratibu angeweza kucontrol gari na asingeigonga treni hata kama haikuwasha taa.
Kwanini kitembee bila taa?...
Hili ndio kosa.
 
Kutoka X

Credit:: @ladiicofficial (all about buses)1
20231129_072933.jpg
20231129_072931.jpg
20231129_072925.jpg
20231129_072928.jpg
 
Ajali ya Basi kutoka Mwanza kwenda Dar

AJALI MANYONI

Watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya Basi la Ally's lenye namba za usajili T.178 DVB lililokuwa likitokea Jijini Dar es salaam kwenda Jijini Mwanza baada ya kugonga Treni za mizigo maeneo ya Manyoni leo Novemba 29,2023 majira ya Saa 11 alfajiri

Watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia na wengine kujeruhiwa katika ajali ya barabarani, baada ya basi la kampuni ya Allys Star likitoka Dar es Salaam kwenda Mwanza, kugonga treni katika makutano ya reli na barabara, nje kidogo ya mji wa Manyoni, mkoani Singida.

Mwandishi aliyeshuhudia ajali hiyo iliyotokea leo Novemba 29, 2023 majira ya saa 11 alfajiri na kushuhudia juhudi za uokoaji zilizokuwa zikifanywa na raia pamoja na polisi wa usalama barabarani waliofika eneo la tukio.
 
Basi la kampuni ya Ally's T 178 DVB leo alfajiri limegonga treni na kupinduka eneo la Manyoni Singida katika makutano ya reli na barabara, Manyoni mkoani Singida.

Ajali ilitokea majira ya 04:17:33 alfajiri, basi lilikuwa likitoka Dar kwenda Mwanza.

Watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia na wengine kujeruhiwa katika ajali hiyo.

Taarifa zaidi zitatolewa na mamlaka husika

20231129_080208.jpg


20231129_080225.jpg


20231129_080158.jpg


20231129_080201.jpg
 
Back
Top Bottom