Bavicha kwenda uwanja wa Mkapa huku mmevalia rangi nyekundu ni wazi kuwa mliwabagua Yanga, kwa mantiki hii mnadhihirisha CHADEMA ni wabaguzi

Bavicha kwenda uwanja wa Mkapa huku mmevalia rangi nyekundu ni wazi kuwa mliwabagua Yanga, kwa mantiki hii mnadhihirisha CHADEMA ni wabaguzi

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Kwa nini msivae rangi nyeupe? Hii ni wazi kuwa hata kura za wanaYanga hamzitaki huko mbeleni.

IMG_20211212_071344.jpg
 
😃😀😆😁😂🤣😅⚽️⚽️⚾️⚾️🥎🥎
 
Mada ya ajabu kabisa na haijawahi tokea humu.

Ndiyo maana wengi wanasema..punda anarusha mateka anapokufa.

My friend usitufananishe na wale wenye kujuwa kusoma na kuandika tu,tuko next level.

Kwa akili zako nani atavaa nguo ya katiba mpya sasa hivi wakati anajuwa what will happen?

Achana na sisi Braza.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom