mountain climber
JF-Expert Member
- Aug 31, 2024
- 311
- 461
Jambo la kushangaza sanaa...Bora hata dingi cz yy ana namna nyingi za kujiongeza...ila Maza hapana ayseeKutokusaidia ndugu ata mzazi wako ni dalili pesa zako sio za halali mafanikio hayapo hivyo sio lazima kusaidia ndugu ila ata mama yako pia?
Waafrika bhana..!Nachojua huyo Dada ana abudu katika Giza sio pesa tu anatembelea latest cars .
Ukienda Mbezi Kwa zena anakopanga Simba la masimba utamkuta trip hazikauki .
Inshort huyo anayelalamika aachane na hayo mambo ya kulalamika hizi pesa asione watu wanazo
Kuna hidden sacrifices ambazo sio kila MTU anaweza kufanya .
Hawawez kuelewa hawa. Umaskin umeathiri sana haswa nchi hii, yan mzaz anakua hopless sabab anajua eti mtoto atamsaidia..rubbish.Kulea mtoto si kuwekeza kitegauchumi kwamba unawekeza ili baadaye aje akusaidie.
Mzazi unatakiwa kujiwekea mpango wako mwenyewe wa kujikimu na kushamiri bila ya kumtegemea mtoto.
Kwa sababu mtoto anaweza kufariki kabla yako.
Waacheni watoto waishi maisha yao wanavyotaka.
Waswahili walisema "Tenda wema uende zako, usingoje shukurani".
Tatizo watu wanaona kulea mtoto ni kama kuwekeza kwenye biashara, unalea mtoro ili aje kukusaidia baadaye.
Hata shusho Nina mashaka naeYa wasanii nchini
Vanessa Mdee ameelezea
inasikitisha sana na wa dini wanakimbilia lia kwenye hayo 😟
Yuko karibu sana na mwamposahuenda anaamini masharti hayo akitoa atafilisika, fedha zitaisha
Ilo ni kweli hata Yusuph ndugu zake walimchukia kwasababu ya ndoto zake kwa hiyo hawa ndugu wakiona unakitu kikubwa ndani yako lazima wakuchukie hautapendwa ndugu yangu hapo kuna shida mtu huwezi kuwachukia ndugu zako bila sababu ila mimi ninavyoona hao ndugu ndo wana shida wala sio Martha ndugu wengi siku izi upendo haupo ni chuki tu, tunachukiana bila sababuLazima tusikie martha anasemaje, hakuna mtu anayejitenga na ndugu zake bila sababu ya msingi.
asa si atoe hela kwa mamaake!Yuko karibu sana na mwamposa
Nawe umejuaje kama kuna hidden sacrifices ambazo zimefichwa ?Waafrika bhana..!
Hizo hidden sacrifices wewe umezijuaje wakati zimefichwa!?
Kwa mawazo kama haya akina Elon Musk wataendelea kuchukua rasilimali za bara hili huku wakituletea silaha zilizoboreshwa.
Anaenda kufanya nini?Nachojua huyo Dada ana abudu katika Giza sio pesa tu anatembelea latest cars .
Ukienda Mbezi Kwa zena anakopanga Simba la masimba utamkuta trip hazikauki .
Inshort huyo anayelalamika aachane na hayo mambo ya kulalamika hizi pesa asione watu wanazo
Kuna hidden sacrifices ambazo sio kila MTU anaweza kufanya .
Iyo nakataa ni tabia ya mtu labda pia kama kuna maaganoNi kawaida pesa ya dada haitokagi kirahisi hata kama ni ya muhimu mpaka abembelezwe sana wewe kama una dada mwenye pesa nambie hata 10 tu kukupngezea ni ngoma wakati ana drive.
Kisaidia ndugu Yako wa damu ni muhimu sana ukiwa vizuri kiuchumi au kwa connection wengi hapa mnasema si atafute pesa za dada ngumu mbona ma bro wanatupiga tafu sana
Umasikini unatofautiana tambua iloHata mm ndugu zangu wanajua Nina pesa ila kiuhalisia ni kapuku tu🤣🤣
Kausafir kanawadanganya
Mtu anagoma kumsaidia mzazi wake kisa alimuacha baba yake au mama yake wakati uhi ujui reason ni ipi huyo mama unae acha msaidia angeamua kukua siku unatoka duniani leo iko kibuli ungepata wapiKuna watu naona wanasema sijui wazazi walikuwa bandidu kipnd Cha nyuma...acheni utetez wa kifala...mimi hata kama nlikosewa kias Gani na mama siwez kumtenga et kisa ku avenge.. mzaz atabakia mzazi tu...saidien ndugu zenu na wazaz wenu....siku yakikufika hao uliowasaidia wataanza kukukimbia ..ila ndugu uliowatenga ndyo watakuwa msaada kwako...
Kwa kukusaidia ili uweze kuelewa nilichoandika, soma bandiko lote( kwa utulivu) la mdau niliyemjibu.Nawe umejuaje kama kuna hidden sacrifices ambazo zimefichwa ?
Ameongeq vingi, lingine ameongea juu ya Dada yake kumtumikia Mungu mwingine!Huyo -Beatrice Kama anatoa nyimbo anapata Views mil 7 je yeye binafsi hawezi kumuhudumia mama yake ?
Na kuhusu Martha kununulia watu Magari na kuwafungulia biashara je haifai?
Katika sadaka zinazoleta nguvu huwa ni zile unawapa watu kitu kikubwa ambao hawana uhusiano na wewe wowote .
Hivyo Martha katika utohaji yupo sahihi.
Ni vizuri huyo ndugu yake angeangalia anakwama wapi na ajaribu kujiwekeza kimkakati ili afanikiwe.
Msiwapumbaze vijana wajao kwakuona kwamba sio muhimu kusaidia wazazi wake hio napingaHawawez kuelewa hawa. Umaskin umeathiri sana haswa nchi hii, yan mzaz anakua hopless sabab anajua eti mtoto atamsaidia..rubbish.
Nje ya mada,Nje ya mada...
Inakuaje mtu anaombewa kila siku na wachungaji mbalimbali mapepo yanalipuka? Ni kwamba hao watumishi hawana uwezo wa kutoa mapepo au ni kitu gani?
Yule mdogo wake alichoongea kipo sahihi some how alichokosea ni kuweka hadharani angetumia busara kutafuta wazee wakanisa na wakongea na dada yakeAmeongeq vingi, lingine ameongea juu ya Dada yake kumtumikia Mungu mwingine!
Ni kama vile Dada ake ameingia kwenye Satanism.