Bei ya petroli Zanzibar ni Tsh 2600 kwa lita. Bara bei ipo juu zaidi

Bei ya petroli Zanzibar ni Tsh 2600 kwa lita. Bara bei ipo juu zaidi

Kama huna taarifa za kutosha ni bora ukakaa kimya tu!!kwani zanzibar nzima hiyo bei iko kwenye vituo vya UP, tu?!!mbona hadi pemba kuna vituo vya uchochoroni bado vinauza mafuta kwa bei hiyo?!!
Mbona hukuviweka hivyo vyengine umekiweka kimoja tu cha UP ?
Ilikuwa uweke vituo vya maeneo tofauti vinavyomilikiwa na kampuni tofauti.
 
Wenye nia mbaya wanatumia vita ya ukraine kama kisingizio cha kupandisha bei kwa kiasi kikubwa zaidi kuzidi ile ambayo ilipaswa kuwa pamoja uwepo wa vita ya ukraine
 
Suluhisho ni muungao uvunjwe ama tuwe na serikali tatu... watanganyika tumekua kama yatima kisa huu muungano wa kipuuzi

Sioni faida ya muungano ukhti. Zanzibar ikijiendesha yenyewe kama yenyewe itakua haraka kiuchumi, na maendeleo kwa wananchi yatakuwepo.
 
kaka mafuta yananunuliwa kwa bei moja kwenye source ya serikali/tiper kisha yanatofautiana bei kutokana na umbali yanaposafirishwa ndani ya Tz.
Endelea kuota hivyo hivyo. Wenzako wanaenda kugida deep sea huko kwenye mimeli mikubwa mikubwa isiyoweza kutia nanga kwenye vibandari vyetu vidogo kama viota vya chozi.
 
Kwanza ningependa kuwakumbusha kama Zanzibar ni nchi ambayo ina raisi wake, ina Bandari yake na ina kila kkitu chake.
Nimekua sipati majibu kwa nini Watanzania bara walio wengi wao wekua na wivu na manung’uniko juu ya visiwa hivi vya Zanzibar mpaka kufikia kulalamika hadharani juu ya bei zetu kuwa chini.

Na pia utaona wanaanzisha thread katika majukwaa tofauti kuwadhihaki na kuwasimanga Wazanzibari mara utawaskia ooh Wanawake wa Zanzibar sijui hawana bikra sehem fulani, jitu linasema ivo ata halijawahi kumuona msichana wa kizanzibari, kwenye hili la mahusiano leo niwaweke wazi ni suala la aibu na fedheha sisi wasichana wa kizanzibari kuwa na mahusiano na wasiekua wazanzibari haswa Watanganyika, kwaio msijisumbue bure wakuu.

Na pia wengi wenu mnaomchukia Raisi aliepo sasa madarakani ni kwa Sababu ya Uzanzibari wake, amekua hana jema kwenu, maana itafika wakati mtu akinyimwa unyumba na mke wake atakuja majukwaaani kulalamika rais amesababisha hivo nawaomba ndugu zangu Watanganyika mpunguze makasiriko.

Mwisho kabisa ningewaomba watanzaania bara mupambane na hali zenu baadhi yenu chuki zenu zidi ya visiwa vya Zanzibar havitowasaidia kitu zaidi ya kuwaongezea maumivu ya moyo kwa sababu Wazanzibari tuna tamaduni zetu na silka zetu na tunajivunia Uzanzibari wetu

View attachment 2212197
Nenda kaoshe hiyo mbususu wewe mwajei, tuondolee ubaguzi hapa.
Kwani nani aliwataka anyway?
Kaeni na kina yakhe wenzenu huko mule mihogo na samaki mkaf*nane mlale.
Bili watanganyika watakulipia we na mumeo.
 
Tanzania inawahudumia nini?

Bajeti ya serikali ya mapinduzi ya Zanzibar haigharamiwi na TRA wao kama Zanzibar wa Mamlaka yao inayokusanya kodi Zanzibar na hiyo pesa ndio ndio inayotumiwa na SMZ/Zanzibar

Jeshi la wananchi JWTZ nje ya jeshi ni mtu mmoja tu anaetoa Amri nae ni rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania sasa ulitaka Jeshi la rais wa Jamhuri ya Tanzania ligharamiwe na serikali ya Mapinduzi Zanzibar? Hivyo hivyo kwa jeshi la
Kulipa madeni ya taifa ni suala la muungano? Kama mapato yao hayahusiani na Jamhuri ya Muungano kwa nini kwenye mikopo wanayokopa nchi kama Tanzania wanapata mgao? Wanairejesha vipi ilihali kodi / mapato hatuingiliani?
 
kaka mafuta yananunuliwa kwa bei moja kwenye source ya serikali/tiper kisha yanatofautiana bei kutokana na umbali yanaposafirishwa ndani ya Tz.

Kwa hiyo mafuta yakishushwa bandari ya Dar, yanakuwa ghali Dar kuliko Zanzibar, kwa sababu Zanzibar ipo karibu na bandari ya Dar kuliko Dar yenyewe sivyo?
 
Hio sio sababu sababu ni kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania iliyopewa mamlaka kikatiba kujiamulia na inajiendesha yenyewe mambo yasiyo ya muungano mfano Kodi na Mengineyo mengi usitegemee Zanzibar kufanana na bara sababu kuna mambo Rais wa Jamhuri ya muungano hana mamlaka nayo

Mfano JWTZ na Polisi wanatii amri ya Rais wa Jamhuri ya Tanzania sasa ulitegemea wao kodi zao kugharamia JWTZ na Police wetu?

Kuwalaumu Zanzibar wakati wao wanatumia kodi zao kuendesha serikali yao ni ujuha Zanzibar wana autonomy kitu ambacho Wa Tanzania wengi hawakijui sababu ya elimu ndogo
Asante kwa taarifa, namatamani pia kujua source ya income ya Zanzibar kwa mwaka 2021/2022 inayowawezesha kuendeleza bei nafuu ya mafuta pamoja na hili pigo la Korona lililo adhiri chanzo chao kikuu cha mapato ambacho ni utalii
 
Sio mafuta tu, hata umeme tunawalipia sisi hao wala urojo
Magufuli aliwahi kuagiza umeme ukatwe Zanzibar yote kwa sababu ya madeni😆

IMG_20220505_225129.jpg
 
Kuna haja ya kuwa na sheria inayokataza wazanzibari kuwa viongozi huku bara.
Ningekuona una Akili kama ungedai serikali ya Tanganyika. Viongozi bara kwan kuna nchi bara? Chochote cha Tanzania kinakuwa chetu sote, Serikali hamna, sasa mnaliaoia kitu gani?
 
Hizi kauli zilimgharimu yule mbunge wa Nkasi.

Kiukweli Tanganyika tunawalisha Zanzibar kama wake zetu, kila kitu, umeme, mafuta, chakula na kila kitu.

Huu muungano ni wa aina yake.
Mnatoa bure ivyo vitu ata mseme mnatulisha? 😀 vitunguu maji dubai rahisi kuliko apo kwenu. Hebu fanyeni kuzuia bidhaa zenu muone kama tutakufa njaa. Sukari tunaitoa brazil ikifika hapa rahisi kuliko inayotoka mtibwa, saruji inatoka dubai ikifika hapa rahisi kuliko inayotoka hapo Tanga tu.
 
kwa mambo yasiyo ya muuangamo, kwa upande wa Tanganyika , inakuaje yanasimamiwa/kuongozwa na Raisi asiye mtanganyika? au Tanganyika sio nchi kamiri?
We umeona kuna serikali ya tanganyika?
 
Zanzibar mafuta hubadilika bei kila tareh 9 so iyo ni bei ya mwezi ulopita bei mpya itatoka 9/5.
 
Back
Top Bottom