Mbona hukuviweka hivyo vyengine umekiweka kimoja tu cha UP ?Kama huna taarifa za kutosha ni bora ukakaa kimya tu!!kwani zanzibar nzima hiyo bei iko kwenye vituo vya UP, tu?!!mbona hadi pemba kuna vituo vya uchochoroni bado vinauza mafuta kwa bei hiyo?!!
Suluhisho ni muungao uvunjwe ama tuwe na serikali tatu... watanganyika tumekua kama yatima kisa huu muungano wa kipuuzi
ItapendezaKwa kipind hiki cha mpito alete na huku bara.
Namfahamu kwa kumuona kwenye picha tu, si zaidi ya hapo.Haya timekusikia nenda kamsalimie Shaka Zulu hapo ofisi ndogo za kisiwandui au lumumba nadhani
Endelea kuota hivyo hivyo. Wenzako wanaenda kugida deep sea huko kwenye mimeli mikubwa mikubwa isiyoweza kutia nanga kwenye vibandari vyetu vidogo kama viota vya chozi.kaka mafuta yananunuliwa kwa bei moja kwenye source ya serikali/tiper kisha yanatofautiana bei kutokana na umbali yanaposafirishwa ndani ya Tz.
Nenda kaoshe hiyo mbususu wewe mwajei, tuondolee ubaguzi hapa.Kwanza ningependa kuwakumbusha kama Zanzibar ni nchi ambayo ina raisi wake, ina Bandari yake na ina kila kkitu chake.
Nimekua sipati majibu kwa nini Watanzania bara walio wengi wao wekua na wivu na manung’uniko juu ya visiwa hivi vya Zanzibar mpaka kufikia kulalamika hadharani juu ya bei zetu kuwa chini.
Na pia utaona wanaanzisha thread katika majukwaa tofauti kuwadhihaki na kuwasimanga Wazanzibari mara utawaskia ooh Wanawake wa Zanzibar sijui hawana bikra sehem fulani, jitu linasema ivo ata halijawahi kumuona msichana wa kizanzibari, kwenye hili la mahusiano leo niwaweke wazi ni suala la aibu na fedheha sisi wasichana wa kizanzibari kuwa na mahusiano na wasiekua wazanzibari haswa Watanganyika, kwaio msijisumbue bure wakuu.
Na pia wengi wenu mnaomchukia Raisi aliepo sasa madarakani ni kwa Sababu ya Uzanzibari wake, amekua hana jema kwenu, maana itafika wakati mtu akinyimwa unyumba na mke wake atakuja majukwaaani kulalamika rais amesababisha hivo nawaomba ndugu zangu Watanganyika mpunguze makasiriko.
Mwisho kabisa ningewaomba watanzaania bara mupambane na hali zenu baadhi yenu chuki zenu zidi ya visiwa vya Zanzibar havitowasaidia kitu zaidi ya kuwaongezea maumivu ya moyo kwa sababu Wazanzibari tuna tamaduni zetu na silka zetu na tunajivunia Uzanzibari wetu
View attachment 2212197
Kulipa madeni ya taifa ni suala la muungano? Kama mapato yao hayahusiani na Jamhuri ya Muungano kwa nini kwenye mikopo wanayokopa nchi kama Tanzania wanapata mgao? Wanairejesha vipi ilihali kodi / mapato hatuingiliani?Tanzania inawahudumia nini?
Bajeti ya serikali ya mapinduzi ya Zanzibar haigharamiwi na TRA wao kama Zanzibar wa Mamlaka yao inayokusanya kodi Zanzibar na hiyo pesa ndio ndio inayotumiwa na SMZ/Zanzibar
Jeshi la wananchi JWTZ nje ya jeshi ni mtu mmoja tu anaetoa Amri nae ni rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania sasa ulitaka Jeshi la rais wa Jamhuri ya Tanzania ligharamiwe na serikali ya Mapinduzi Zanzibar? Hivyo hivyo kwa jeshi la
kaka mafuta yananunuliwa kwa bei moja kwenye source ya serikali/tiper kisha yanatofautiana bei kutokana na umbali yanaposafirishwa ndani ya Tz.
Mimi kwakweli nataka irudi bei ya zamani sh 700 per lita bwana Nguto.
Ha ha ha! Unaota ndoto za mchana mkuu!Mimi kwakweli nataka irudi bei ya zamani sh 700 per lita bwana Nguto.
Asante kwa taarifa, namatamani pia kujua source ya income ya Zanzibar kwa mwaka 2021/2022 inayowawezesha kuendeleza bei nafuu ya mafuta pamoja na hili pigo la Korona lililo adhiri chanzo chao kikuu cha mapato ambacho ni utaliiHio sio sababu sababu ni kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania iliyopewa mamlaka kikatiba kujiamulia na inajiendesha yenyewe mambo yasiyo ya muungano mfano Kodi na Mengineyo mengi usitegemee Zanzibar kufanana na bara sababu kuna mambo Rais wa Jamhuri ya muungano hana mamlaka nayo
Mfano JWTZ na Polisi wanatii amri ya Rais wa Jamhuri ya Tanzania sasa ulitegemea wao kodi zao kugharamia JWTZ na Police wetu?
Kuwalaumu Zanzibar wakati wao wanatumia kodi zao kuendesha serikali yao ni ujuha Zanzibar wana autonomy kitu ambacho Wa Tanzania wengi hawakijui sababu ya elimu ndogo
Magufuli aliwahi kuagiza umeme ukatwe Zanzibar yote kwa sababu ya madeni😆Sio mafuta tu, hata umeme tunawalipia sisi hao wala urojo
Ha ha ha! Unaota ndoto za mchana mkuu!
Ningekuona una Akili kama ungedai serikali ya Tanganyika. Viongozi bara kwan kuna nchi bara? Chochote cha Tanzania kinakuwa chetu sote, Serikali hamna, sasa mnaliaoia kitu gani?Kuna haja ya kuwa na sheria inayokataza wazanzibari kuwa viongozi huku bara.
Na ubabe wake wotE JPM, Shein akasema tutawasha vibatari, balahau alijua Magu hana uwezo huo, na deni halikulipwa as far as i can remember
Mnatoa bure ivyo vitu ata mseme mnatulisha? 😀 vitunguu maji dubai rahisi kuliko apo kwenu. Hebu fanyeni kuzuia bidhaa zenu muone kama tutakufa njaa. Sukari tunaitoa brazil ikifika hapa rahisi kuliko inayotoka mtibwa, saruji inatoka dubai ikifika hapa rahisi kuliko inayotoka hapo Tanga tu.Hizi kauli zilimgharimu yule mbunge wa Nkasi.
Kiukweli Tanganyika tunawalisha Zanzibar kama wake zetu, kila kitu, umeme, mafuta, chakula na kila kitu.
Huu muungano ni wa aina yake.
We umeona kuna serikali ya tanganyika?kwa mambo yasiyo ya muuangamo, kwa upande wa Tanganyika , inakuaje yanasimamiwa/kuongozwa na Raisi asiye mtanganyika? au Tanganyika sio nchi kamiri?