StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Ni majuto na kujikosha tu, lakini unabaki kuwa ukweli kwamba tume huru inahitajika sasa na imechelewa sana, na hata kipindi cha uongozi wake ilihitajika pia.
Brother p ujuwe huwaga sikuelewi kabisa IPO kama kinyonga au bendera fuata upepoNaunga mkono hoja. Now Mkapa the wise one.
P
Mwl Nyerere ambae ni mwl wa Mkapa alishawishi Tanzania iingie katika mfumo wa vyama vingi, ni zamu ya mwanafunzi sasa kulivalia njuga hili hadi tume huru ya uchaguzi ipatikane!
Asiogope kunangwa, mara ooh mbona wewe ulikuwa hivi na vle...!
Hapo tutamuelewa, la sivyo tutajua anajikosha tu!...
Sasa hivi hana cha kutenda zaidi ya kusema. Kwake ni maneno tu.Sidhani kama anajuta.Wengine huwa hatuamini maneno matupu
Mkuu Hito, pole!. Kwenye hoja hii, mimi nimeunga mkono hoja, unasema hunielewi, sasa hapa hunielewi nini?.Brother p ujuwe huwaga sikuelewi kabisa IPO kama kinyonga au bendera fuata upepo
Hata kama ilikuwa hivyo, Wazungu kusema better late than never. Tungemlaumu sana mathalani katika uhai wake asikiri kuwa kuna upungufu kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hususan kwenye Ibara inayohusu muundo wa Tume ya Uchaguzi.Kama nakosea Mungu anisamehe. Nachoamini huyu Mkapa ndio alimpora Maalim Seif urais wa Zanzibar.
Pili huyu ndio mwasisi wa ubavu ubavu na ubabe inakuwaje leo katoka madarakani na anaonekana kachoka ndio anatubu.
Kwanini asiwambie aliowaweka madarakani watende haki? Kwanini alazimishe kupendwa?
No serious!sweettablet,
Sarcasm!?
Waigomee hiyo Time Huru! Tena wawaambie wanachama na wafuasi wao kuwa hiyo ni janja ya CCM ya kuviua vyama vyao!sweettablet,
Kwahiyo wafanyeje ?
Umenikumbusha wapemba waliokuwa wanakimbilia sokoni-Mombasa.Zile damu za Wapemba zinaanza kumlilia
Usingizi hauji mapichapicha usiku kuchaSasa hivi ndio anaona judgement day iko karibu kuliko kitu kingine chochote cha yale maovu aliyoyafanya.
Uko njema kweli!!Waigomee hiyo Time Huru! Tena wawaambie wanachama na wafuasi wao kuwa hiyo ni janja ya CCM ya kuviua vyama vyao!
Umeongea kama yule Philosopher Paschal alivyowashauri wale Atheists wa Uingereza karne kadhaa nyuma.Vyama vya upinzani wala wasilikubali kuwe na Tume Huru wala kuhusishwa kwenye hiyo tume. Mkikubali tu, huo ndio utakuwa mwisho wenu wa kufanya siasa Tanzania.
Siku zote mmekuwa mkiwaaminisha wanachama na wafuasi wenu kuwa mnaibiwa kura. Na hicho ndicho kinawafanya waendelee kuwaamini. Sasa siku ikianzishwa hiyo tume na mkashirikishwa halafu mkashindwa. Mtawaeleza nini?