Benjamin Mkapa: Natamani kuwe na Tume Huru ya Uchaguzi, Wapinzani wahusishwe kwenye kupiga na kuhesabu kura na kutangazwa mshindi


Lakini yy kutokana na kitabu chake anajutia aliyoyafanya hajakataa kuwa hakukuwa na mabaya kwenye kipindi chake maana ya kitabu chaje ni kujutia
 
Brother p ujuwe huwaga sikuelewi kabisa IPO kama kinyonga au bendera fuata upepo
Mkuu Hito, pole!. Kwenye hoja hii, mimi nimeunga mkono hoja, unasema hunielewi, sasa hapa hunielewi nini?.
P
 
Hata kama ilikuwa hivyo, Wazungu kusema better late than never. Tungemlaumu sana mathalani katika uhai wake asikiri kuwa kuna upungufu kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hususan kwenye Ibara inayohusu muundo wa Tume ya Uchaguzi.

Kufanya kosa ni kitu kimoja ila kukiri kosa ni kitu kingine. Tuanzie hapo alipoishia BWM
 
Ku maintain status kwa sasa hivi ni shida ni vyema viongozi wetu wakubaliane na wananchi walio wengi kubadili katiba ambayo italeta uwazi na usawa katika chaguzi zetu.
 
Kawaida pesa na madaraka ukiwa huna unawaza mema ila ukipata unatenda tofauti. Ukikosa pesa utaomba uzipate uitunze familia vyema lkn ukizipata unawatuza mabarmaids nakuhonga wanawake familia utaikumbuka vikiisha
 
Umeongea kama yule Philosopher Paschal alivyowashauri wale Atheists wa Uingereza karne kadhaa nyuma.

Ila, in the moment of truth, ktk free and fair elections, hii ccm tunayoiona hii, haiwezi kushinda hata wakiachwa na Hashim Rungwe peke yake.

Sure I tell you. Na hizi figisu figisu anazofanya Magufuli usifikiri ni mjinga, tayari ramli wameshapigiwa kuwa his party has outlived its popularity na sasa kinaishi kwa nguvu za dola tu hali ambayo hawawezi kudumu nayo kwa muda mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…