Enzi hizo Ngangari vs Ngunguri.
Jino kwa Jino.
Ukiweka Ugoko naweka njumu.
Pembeni alikuwepo Mzee wa Nditta IGP MAHITA mzee wa FOUR FOUR TWO. ujambazi ukiwa kwenye Chati za juuu kabisa na Msemo MTAJI WA MASIKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE. Mtutu nje nje daaaah
Tumetoka mbali
Jino kwa Jino.
Ukiweka Ugoko naweka njumu.
Pembeni alikuwepo Mzee wa Nditta IGP MAHITA mzee wa FOUR FOUR TWO. ujambazi ukiwa kwenye Chati za juuu kabisa na Msemo MTAJI WA MASIKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE. Mtutu nje nje daaaah
Tumetoka mbali