mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mlilazimishwa kukopaBenki kuu wasiishie kuwafungia tu bali wawakamate na kuwapeleka mahakamani kwa kuhujumu uchumi na kutakatisha pesa
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlilazimishwa kukopaBenki kuu wasiishie kuwafungia tu bali wawakamate na kuwapeleka mahakamani kwa kuhujumu uchumi na kutakatisha pesa
Wakopaji wanalalamika kweliDuh waliokwisha kukopa faida kwao🤣
Branch wanangu sana mwaka wa 5 huuBranch watakuwa wapo vizuri sija waona kwenye list
Kuna jamaa yangu anadaiwa karibu milioni tatu. Alikopa jumla laki 4 kutoka app tofautiHizi kampuni zilikuwa zinanidai kama 700k
Asante BOT mbarikiwe
Imekula kwao sasaKuna jamaa yangu anadaiwa karibu milioni tatu. Alikopa jumla laki 4 kutoka app tofauti
Au kama hujakopa ufanye upesi kabla hawajishika.Kwahy kama ulikopa ndo itakuwa gia ya kutokulipa?
Bora mtuokoe na kausha damu,kwani vichaa wamekuwa wengi sababu kausha damuBenki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa taarifa ikielezea kwamba imebaini kuwepo kwa majukwaa na programu tumizi zinazojihusisha na utoaji wa mikopo kidijitali bila kuwa na leseni au idhini kutoka kwa Benki Kuu.
Hali hii inahatarisha usalama wa wateja na ustawi wa sekta ya kifedha, kwani majukwaa haya yanashindwa kutimiza matakwa ya Mwongozo wa Watoa Huduma Ndogo za Fedha wa Daraja la Pili kwa mwaka 2024.
Mwongozo huu, uliozinduliwa tarehe 27 Agosti 2024, unalenga kuimarisha usimamizi wa watoa huduma ndogo za fedha nchini na kuhakikisha watekelezaji wa kanuni zinazolinda wateja.
Hii inajumuisha uwazi katika utoaji wa huduma, uwekaji wa tozo na riba, njia za ukusanyaji wa madeni, na kulinda faragha ya taarifa binafsi za wateja.
Benki Kuu imefafanua kwamba majukwaa na programu tumizi zinazohusishwa na utoaji wa mikopo kidijitali ambazo hazijapata kibali kutoka kwa Benki Kuu haziruhusiwi kuendelea na shughuli hizo.
Hivyo, inatoa wito kwa umma na wadau wote kuzingatia sheria na taratibu zilizowekwa ili kulinda haki za wateja na kuhakikisha sekta ya fedha inafanya kazi kwa uwazi na kwa maslahi ya wote.
No 18 kwenye listVipi kuhusu Hakika Loan Jamani Someone aniambie
Dah Afadhali nimekwepa Hiyi 🤣🤣🤣No 18 kwenye list
HII NDIYO HASARA INAYO WEZA KUPATIKA POPOTE PALE AMBAPO SHERIA INAKIUKWA, UKIKIUKA SHERIA MOJA KWA MOJA UNAINGIA KWENYE KUKOSA UHALALI WA KUDAI CHOCHOTE KWA LOLOTE LINALOTOKEA, TUJIFUNZE KUFUATA TARATIBU HALALI TUACHE UBABAISHAJI HILI NI DARASA TOSHA KWA WABABAISHAJI, KIMSINGI KAMA HAUPO KIHALALI MAANA YAKE UNAIKOSESHA SEREKALI PASEE YAKE, INFACTS SIJUI KWANINI HAWACHUKULIWI HATUA?Imekula kwao sasa