Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna slip of a tongue na miscommunication between brain and fingers... Hatari sanaLahaula..eeeeh Mola weee.
Machoki = machozi
Snapers/snaper = Sniper
Nilipoyaona hayo niliishiwa nguvu hata kuendelea kusoma na kudadavua hayo mengine mkuu.Halafu umempendelea maana umeacha makosa mengi bado ndani ya comment yake..
Snipers kwa majengo gani ya kibank? Sniper atakaa wapi?ikitokea hali ya namha hiyo kitu ambacho huwa kinafanywa ni kupiga bomu la machoki ndani au bomu lenye kuchosha wote waliomu kwa muda na hapo askari hutumia nafas hiyo kuokoa au kuna watu wa CRT wanaweza wakaingia au kumua jambazi bila yeye kujua..snapers ndo kazi yao hapo sasa..jambazi anackncetrate kuangalia askari huku snaper akiwa anamtafutia target na huwa hakosi
Simple method but very effective wa inject kaput doze ya ya kutosha kisha wawanyake kama wanaokota kumbikumbiBenki ya CRDB tawi la Mbagala imevamiwa na majambazi,Mbagala hakuendeki mpaka muda huu polisi imeizingira benki majambazi yapo ndani ya benki, kujisalimisha hayataki.
Mkuu hii habari. Ni Kweli, nimetoka kusikiliza sasa hivi EFMTaarifa kama hizi zisizo na uhakika zinashusha credibility ya hii forum
.. Nimekuta hiyo habar kwa group ya WhatsApp na watu wakaanza kuijadili Jamii Forums kwamba ni wazushi wa kutupwa ... Hakuna hata aliyeuliza km kuna hata waliouwawa
duuh kweli kazi tunayo sasa kama mabenki kila siku yanavamiwaBenki ya CRDB tawi la Mbagala imevamiwa na majambazi,Mbagala hakuendeki mpaka muda huu polisi imeizingira benki majambazi yapo ndani ya benki, kujisalimisha hayataki.
Taarifa kama hizi zisizo na uhakika zinashusha credibility ya hii forum
.. Nimekuta hiyo habar kwa group ya WhatsApp na watu wakaanza kuijadili Jamii Forums kwamba ni wazushi wa kutupwa ... Hakuna hata aliyeuliza km kuna hata waliouwawa
I hope EFM hawajaitoa huku kwetu...Mk
Mkuu hii habari. Ni Kweli, nimetoka kusikiliza sasa hivi EFM
Hapana, Kuna mtu alikua eneo la tukio.I hope EFM hawajaitoa huku kwetu...
Asitoke mtu hapoThe latest???? Mbagala imekuwa Syria we baba we!!!!
wee qengeh unamlilia nani humuBabaeee, hizo hela wanapelekaga wap jamani? Uwiiiii, yeuwuiiii, kelewiiiiiieee
Juu ya bati[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Snipers kwa majengo gani ya kibank? Sniper atakaa wapi?
Aisee umenikumbusha mbali sana.The Olympus has Fallen,
Magaid walitoroka kijanja toka white house