Benki yapiga mnada nyumba ya mwandishi wa habari wa Gazeti la RAIA MWEMA kisa deni la Tsh. Milioni 5.2

Benki yapiga mnada nyumba ya mwandishi wa habari wa Gazeti la RAIA MWEMA kisa deni la Tsh. Milioni 5.2

sukuma gang pamoja na kupigwa na kitu kizito na chenye ncha kali hapo 17/3/2021 lakini baado wana rusha mateke kwa hasira
mungu ndiyo keshaamua hivyo wakae kwa kutulizana
Kameze dawa zako
 
Mda mwingine watoto wanateseka kwa ujinga wa mama zao! Kuna wanawake wanakela mpaka thamani ya wanao unakuwa huioni!
 
Mbona umewaza Mimi kutangulia kufa?
Hujawaza ikitokea mke wangu kafa itakuaje?

Hebu acheni mambo ya kutuwazia mabaya bhana, kifo anapanga mola.

Hata wife anaweza kutangulia vile vile
Pond uko sahihi,nachukia watu wanaodhani mwanaume tu ndiye atakayetangulia kufa
 
Inapokuwa imepigwa mnada kwa milioni 30 ilhali deni ni milioni 5, za ziada zinakwenda wapi?
 
View attachment 2436797
Nyumba hii ambayo ni mali ya Mary Victor Mahundi, mwandishi wa habari wa Gazeti la Raia Mwema la Dar es Salaam imepigwa mnada kwa Tsh. Milioni 30 ili kufidia deni la benki la Tsh. Milioni 5.2 ambalo alikuwa akidaiwa mume wa mwanahabari huyo.

Inaelezwa kuwa nyumba hiyo iliyopo Tabata, Kata ya Kinyerezi, Mtaa wa Kichangani ilipigwa mnada siku chache zilizopita na tayari mwandishi huyo na familia yake wametakiwa kutoka ndani ya nyumba ndani ya siku 14, leo Desemba 5, 2022 ikiwa ni siku ya 9 kati ya siku alizopewa kuhama.

Mary amesema taarifa hiyo ni ya ukweli na kudai kuwa alikuwa akifahamu juu ya deni hilo la mumewe lakini hakuwa anajua kilichokuwa kikiendelea hadi kufikia hatua ya nyumba hiyo kupigwa mnada.

“Nilikuwa Dodoma katika shughuli zangu za uandishi wa habari, nikapokea simu kutoka Serikali ya Mtaa kunijulisha kuwa nyumba yangu inapigwa mnada.

“Niliporejea nikapata nakala ya barua ya taratibu za nyumba kupigwa mnada moja ikiwa imetumwa katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya na benki wamefuata taratibu nyingine zote inavyotakiwa, lakini hilo deni ni la mume wangu ambaye kwa sasa hatupo naye pamoja.

View attachment 2436799
“Nimewasiliana na Mkuu wa Wilaya kumueleza hali ninayopitia kwa kuwa hii nyumba si ya mume wangu peke yake ni mali ya familia, yeye (mume) kwa sasa hayupo nasi anaishi sehemu nyingine, inamaanisha kuwa tutatakiwa kuondoka ndani ya siku hizo 14, na kuwa watatuletea mabaunsa na kututoa kwa nguvu. Mkuu wa Wilaya ameniambia anashughulikia suala langu.

“Wakati huohuo, napambana kutafuta msaada wa kisheria ili kuweka zuio kabla ya hakimu na Majaji kwenda likizo ya kufunga mwaka, kwa kuwa sikushirikishwa katika huo mchakato wao wa mnada,” anasema Mary.

Nyaraka za benki zinaonesha kuwa deni lililosalia ni Tsh. 4,759,368 (Milioni 4.7), asilimia 10 ya deni ni Tsh. 475,936, hivyo jumla deni ni Tsh. 5,235,304.

Mary ameongeza kuwa: "Naomba kama kuna yeyote ambaye anaweza kunipa msaada wa kisheria anisaidie katika hilo kwa kuwa hapa nawazi nitaishi vipi na wanangu, kwanu hata huyo mume bado nina kesi naye kwa kuwa alibadili nyaraka na kuofanya nyumba ionekane ya kwake peke yake wakati hii nyumba ni ya familia, nina watoto, nitaenda wapi mimi na watoto wangu!
View attachment 2436800

View attachment 2436801
hee FINCA nayo ni benki?
 
View attachment 2436797
Nyumba hii ambayo ni mali ya Mary Victor Mahundi, mwandishi wa habari wa Gazeti la Raia Mwema la Dar es Salaam imepigwa mnada kwa Tsh. Milioni 30 ili kufidia deni la benki la Tsh. Milioni 5.2 ambalo alikuwa akidaiwa mume wa mwanahabari huyo.

Inaelezwa kuwa nyumba hiyo iliyopo Tabata, Kata ya Kinyerezi, Mtaa wa Kichangani ilipigwa mnada siku chache zilizopita na tayari mwandishi huyo na familia yake wametakiwa kutoka ndani ya nyumba ndani ya siku 14, leo Desemba 5, 2022 ikiwa ni siku ya 9 kati ya siku alizopewa kuhama.

Mary amesema taarifa hiyo ni ya ukweli na kudai kuwa alikuwa akifahamu juu ya deni hilo la mumewe lakini hakuwa anajua kilichokuwa kikiendelea hadi kufikia hatua ya nyumba hiyo kupigwa mnada.

“Nilikuwa Dodoma katika shughuli zangu za uandishi wa habari, nikapokea simu kutoka Serikali ya Mtaa kunijulisha kuwa nyumba yangu inapigwa mnada.

“Niliporejea nikapata nakala ya barua ya taratibu za nyumba kupigwa mnada moja ikiwa imetumwa katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya na benki wamefuata taratibu nyingine zote inavyotakiwa, lakini hilo deni ni la mume wangu ambaye kwa sasa hatupo naye pamoja.

View attachment 2436799
“Nimewasiliana na Mkuu wa Wilaya kumueleza hali ninayopitia kwa kuwa hii nyumba si ya mume wangu peke yake ni mali ya familia, yeye (mume) kwa sasa hayupo nasi anaishi sehemu nyingine, inamaanisha kuwa tutatakiwa kuondoka ndani ya siku hizo 14, na kuwa watatuletea mabaunsa na kututoa kwa nguvu. Mkuu wa Wilaya ameniambia anashughulikia suala langu.

“Wakati huohuo, napambana kutafuta msaada wa kisheria ili kuweka zuio kabla ya hakimu na Majaji kwenda likizo ya kufunga mwaka, kwa kuwa sikushirikishwa katika huo mchakato wao wa mnada,” anasema Mary.

Nyaraka za benki zinaonesha kuwa deni lililosalia ni Tsh. 4,759,368 (Milioni 4.7), asilimia 10 ya deni ni Tsh. 475,936, hivyo jumla deni ni Tsh. 5,235,304.

Mary ameongeza kuwa: "Naomba kama kuna yeyote ambaye anaweza kunipa msaada wa kisheria anisaidie katika hilo kwa kuwa hapa nawazi nitaishi vipi na wanangu, kwanu hata huyo mume bado nina kesi naye kwa kuwa alibadili nyaraka na kuofanya nyumba ionekane ya kwake peke yake wakati hii nyumba ni ya familia, nina watoto, nitaenda wapi mimi na watoto wangu!
View attachment 2436800

View attachment 2436801
kwani kama wameuza bei juu ile inayozidi si atapewa?
 
Kwani watu wanapitia maisha gani mpka wanakopa mbona mpka leo sijawahi kopa ili nifanye jambo bora nijichange na kubana matumizi nikiwekeza kwa jambo langu lijalo.

Sasa hapo watakaoteseka ni watoto mke anaweza akapata jibwana likamtuliza
Mshukuru mungu mzee usijione mjanja ulimi utakuoonze mzee
 
Deni milioni 5 nyumba imeuzwa zaidi ya hiyo pesa je iliyobaki baada ya kukata deni anapewa mhusika ama. Kitengo cha loan katika mabenki yetu ni wezi sana. Kuna muda fulani walitaka kumdhulum mzee mmoja nyumba akatia biti kali afisa mikopo akarudi nyuma.
 
Naona watu mnaanza kumlaumu mwanaume, ila kwa mtiririko huu wa story huyo mama alijua kila kitu na yeye ndo anataka kufanya utapeli.

Hakuna bank inayokopesha bila consent ya mke au mume wa mkopaji.

Na mtu unavyokopa ukaweka rehani nyumba hivi unakuwa unategemea usipolipa nini kitokee?
Halafu huyu
Wabongo mnapenda sana kupepeta midomo kuliko kusoma taarifa kamili.

Hiyo taarifa inaonesha huwa jamaa yake kawafanyia makusudi.
Nadhani kulikuwa na mgogoro wa umiliki wa nyumba kati ya mume na mke, mume kabadilisha jina la umiliki ikaonyesha ni ya kwake. Hapo mtihani. Naona mume kamwaga mboga na ugali
 
Insurance haikulipii mkopo kwa sababu za hasara zako za kibiashara.

Insurance inakusaidia kukulipia pale ukifariki ama ukipata ulemavu wa kudumu tu
Hapo juu kadai bank imeuza nyumba ya marehem mme wake ambaye ndo alikopa
 
Nyumba ya thamanii ya zaidi milioni 50, inauzwa 30.

Hainiingii akilini mwamba akubali loss ya almost mil 20+ ya thamani ya nyumba Kwa ajili ya deni la milioni 4.7 ..........tena na mtu alietengana nae .......

Huyo mwamba akili nyingi imetumika hapo.
 
Mwanaume kakopa ki Siri Siri bila mke kuhusika katika Documents hizo na kisheria dada wa watu anayo haki nyumba ni Yao sio ya mme tu
Mwanaume kabadili umiliki wa nyumba
Mwanaume kakopa ki Siri Siri bila mke kuhusika katika Documents hizo na kisheria dada wa watu anayo haki nyumba ni Yao sio ya mme tu
Kuna kitu hakiko sawa. Kwa maelezo ya mke, mume kabadilisha umiliki nakufanya nyumba iwe yake peke yake. Na kuna kesi nyingine mahakamani. Isije ikawa mume kafanya makusudi kukomoa
 
View attachment 2436797
Nyumba hii ambayo ni mali ya Mary Victor Mahundi, mwandishi wa habari wa Gazeti la Raia Mwema la Dar es Salaam imepigwa mnada kwa Tsh. Milioni 30 ili kufidia deni la benki la Tsh. Milioni 5.2 ambalo alikuwa akidaiwa mume wa mwanahabari huyo.

Inaelezwa kuwa nyumba hiyo iliyopo Tabata, Kata ya Kinyerezi, Mtaa wa Kichangani ilipigwa mnada siku chache zilizopita na tayari mwandishi huyo na familia yake wametakiwa kutoka ndani ya nyumba ndani ya siku 14, leo Desemba 5, 2022 ikiwa ni siku ya 9 kati ya siku alizopewa kuhama.

Mary amesema taarifa hiyo ni ya ukweli na kudai kuwa alikuwa akifahamu juu ya deni hilo la mumewe lakini hakuwa anajua kilichokuwa kikiendelea hadi kufikia hatua ya nyumba hiyo kupigwa mnada.

“Nilikuwa Dodoma katika shughuli zangu za uandishi wa habari, nikapokea simu kutoka Serikali ya Mtaa kunijulisha kuwa nyumba yangu inapigwa mnada.

“Niliporejea nikapata nakala ya barua ya taratibu za nyumba kupigwa mnada moja ikiwa imetumwa katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya na benki wamefuata taratibu nyingine zote inavyotakiwa, lakini hilo deni ni la mume wangu ambaye kwa sasa hatupo naye pamoja.

View attachment 2436799
“Nimewasiliana na Mkuu wa Wilaya kumueleza hali ninayopitia kwa kuwa hii nyumba si ya mume wangu peke yake ni mali ya familia, yeye (mume) kwa sasa hayupo nasi anaishi sehemu nyingine, inamaanisha kuwa tutatakiwa kuondoka ndani ya siku hizo 14, na kuwa watatuletea mabaunsa na kututoa kwa nguvu. Mkuu wa Wilaya ameniambia anashughulikia suala langu.

“Wakati huohuo, napambana kutafuta msaada wa kisheria ili kuweka zuio kabla ya hakimu na Majaji kwenda likizo ya kufunga mwaka, kwa kuwa sikushirikishwa katika huo mchakato wao wa mnada,” anasema Mary.

Nyaraka za benki zinaonesha kuwa deni lililosalia ni Tsh. 4,759,368 (Milioni 4.7), asilimia 10 ya deni ni Tsh. 475,936, hivyo jumla deni ni Tsh. 5,235,304.

Mary ameongeza kuwa: "Naomba kama kuna yeyote ambaye anaweza kunipa msaada wa kisheria anisaidie katika hilo kwa kuwa hapa nawazi nitaishi vipi na wanangu, kwanu hata huyo mume bado nina kesi naye kwa kuwa alibadili nyaraka na kuofanya nyumba ionekane ya kwake peke yake wakati hii nyumba ni ya familia, nina watoto, nitaenda wapi mimi na watoto wangu!
View attachment 2436800

View attachment 2436801
🥺🥺🥺🥺 kiufup mtihani mkuu
 
Kwa sisi wakopaji
Sikuhizi mambo yamerahisishwa Sana

Unaweza ukakopea nyumba ya familia bila hata mkeo kujua.(mi mwnyw mmoja wapo)

Cha muhimu unakwenda mahakamani unakula kiapo Cha sijaoa, KAZI imeisha

Mwanamke akikuzingua anakuta kila kitu kina mikopo tayari
Kuna kaka kamfanyia mkewe huu umafia. Deni ni milioni 70 sasa. Nyumba itauzwa soon. Mwanamke hana jinsi kajenga chumba kimoja sehemu anasubiria mnada akaanze maisha upya
 
Hainiingii akilini mwamba akubali loss ya almost mil 20+ ya thamani ya nyumba Kwa ajili ya deni la milioni 4.7 ..........tena na mtu alietengana nae .......

Huyo mwamba akili nyingi imetumika hapo.
Itakuwa bibie kamwaga mboga, bwana mkubwa kaondoka na ugali wenyewe kabisa
 
Naomba nisema pole sana kwa wana familia nzima, nasema ukweli kutengana Baba na Mama wanao umia ni watoto, nimeyapitia hayo maisha nayajua vyema sana, niwaombe wanaume wenzangu tujaribu sana kutuliza akili zetu hasa kipindi itokeapo migogoro na mke wako maana majanga tunayo waachia watoto wetu ni makubwa kuliko maamuzi tuanyoyachukuwa kwaajili ya kujipooza na magomvi yetu wazazi.
Kwa uono wangu hapo Baba kafanya kumkomoa huyo Mama lakini watakao teseka ni hao watoto, Mungu atuhurumie wazazi tuweze kuyaweka sawa maswala ya kifamilia.
 
Back
Top Bottom