Unavyongea/andika kwa kujiamini.Nakuhakikishia kwamba kuna baadhi ya wajumbe wa hicho kikao ambao wametumwa kumhoji Membe hawajui na wala hawakujua 80% ya atakayoongea na watapigwa na butwaa , unyama unaotendwa ndani ya ccm wanaoufahamu ni watu 50 tu , Membe ni mmojawapo
Sio ccm hii mpya mali binafsi saccoss ya familiaCCM haina kambale kama CHADEMA!
Huna haja ya kuusoma@Influenza,
barua kaandikiwa yeye, alafu yeye aanze kutangaza kwa umma kwani anaogopa nini kama anajiamini, mambo yake nayo yametuchosha, amalizane nao kisha kama anona kuna musada anataka kwa jamii ndo aandike, mbona anapotaka kufanya mambo yake ya kila siku haweki mtandaoni?
CCM aliingia mwenyewe na kuicha au kuivulimia ni wazo lake mwenyewe. Angetaka tujue angesema nimeitwa lakini sitaenda wachukue uamuzi wowote, ingekuwa na maana, atuache tupumue, bado tuna misiba mingi Arusha na JKT, tuna mawazo ya wapendwa wetu.
Wale wauaji waliojinadi watamuua zito tena mjengoni na mwingine huko Iringa. Hawahitaji kuitwa Ndugu Bashiru. I assure you bro your place is prepared it is room 001HG the hague till further notice
Mbwa ukimjua jina hakung'atiUnavyongea/andika kwa kujiamini.
No commentHuyu tunampalua mapema kabisa, ni kirusi kuwepo ndani ya ccm kwa sasa aungane na wakora wenzake.
Hajaridhika kuukosa upresidaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikao hiki kitawapa hoja mpya Chadema na kuwasahaulisha yote yaliyopita ikiwemo barua ya Mbowe kwa mwenyekiti wa CCM!
Si mlisema hawana ubavu wa kumuita Membe?
Ccm si kama chadema kwamba kila mtu ni kambare
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni lazima ajishikize na CCM maisha yake yote?
Kwanini asiachane na siasa tu kuliko kung'ang'ana na hilo lichama la majizi?
Au bado ana mgao huko?
Sent using Jamii Forums mobile app
Makonda?CCM haina kambale kama CHADEMA!
πππ"CCM kumejaa majizi na mafisadi ila kila nikitaka kuyataja wakubwa wananikataza" By Katibu Mwenezi Humphrey Polepole
Nani anajua!!Hawa wezi kumkolimba?
Hakika nimeamini w/me wa Kusini ni watu wa kujiamini sana, angalia jamaa alivyoandika.
Ccm kwa kuhamisha magoli ni mafundi sana! Yaani mmeamua kuwaita kipindi hiki tuache kujadili ya Pompeo na marufuku ya Tramp eti tujadili kuitana kwenu kunywa mvinyo dodoma!Si mlisema hawana ubavu wa kumuita Membe?
Ccm si kama chadema kwamba kila mtu ni kambare
Sent using Jamii Forums mobile app