The genuius
Member
- Dec 14, 2019
- 69
- 42
Jamaa anajiamini kweli!
Sina shaka, HOJA ZITAJIBIWA KWA HOJA! All the BEST Shushushu M'bobez
CCM wanaakili nyingi apo nikumtema alafu topic iweee ni membeee sasa alafu bashite muwaji tuizime daaaaa izi si asaaa kweliiHuu ni ugomvi wa kugombania urais. Kila rais anadai kazi ya urais ni ngumu na ina lawama lakini hakuna anayetamani kuiacha hebu fikiria Trump anavyopambana na mwenzake huyu wa kwetu hawataki wataniwe kabisa kwenye urais
Kwanini Makonda yuko Dodoma wakati si mbunge wala si mjumbe wa hiyo kamati ndogo ? Membe si mtu wa mchezo kama mnavyodhani
Kama Kuna plot ya kumdhuru membe makonda hawezi kutumika kwenye mission squad wataalam wa HUMINT WanaelewaKama makonda yupo dom siku mbili kabla ya mahojiano ya membe!mjue kuna kitu kina pikwa kama kile cha Lisu!!!mtaniambia muda ukifika!!!
Huyu ananyemelewa na CHADEMA - Akitemwa tu CHADEMA watamchukua haraka kama chungu ashambuliapo ganda la muua la jana.Wafanye fasta ili tugawe kura mapema barahuku hakuna mgombea ACT au utaunga mkono lisu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapuku
Kwa jinsi unavyojiamini,ni wazi una hoja nzito za kujitetea, sema tu hawatasikiliza wala kuzingatia hoja zako bali wataingia kwenye kikao wakiwa tayari na maamuzi yao mifukoni.
Kwa mtazamo wangu,kikao hiki ni cha ushahidi tu ili ionekane umepewa haki ya kusikilizwa.
Jamaa anajiamini kweli!
Sina shaka, HOJA ZITAJIBIWA KWA HOJA! All the BEST Shushushu M'bobezi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Anamzidi Kangi Lugola?!
sure mkuuMembe mkajiangalie baada ya kumuhoji yeye ndie ataanza kuwahoji mana kamati nzima hakuna wa kumzidi akili mule
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unadhani mzee Membe atafua dafu mbele ya mjumbe wa Tume ya Katiba mpya komredi Polepole?!
Namkumbuka Horace Kolimba.Kamati ndogo ya nidhamu ya CCM inayoongozwa na mzee Mangulla kesho tarehe 06/03/2020 itawahoji viongozi wastaafu mzee Kinana, mzee Makamba na mzee Membe juu ya tuhuma za utovu wa nidhamu zinazowakabili.
Source: Mtanzania