Bernard Membe kumbuka wakati hizo maiti unazodai kuokotwa kwenye viroba Rais Samia alikuwa Makamu wa Rais. Na hii bado ni Serikali ya awamu ya tano

Mambo mengi yamebadilika. Hakuna kutekwa na kupigwa risasi hadharani. Watu wanafurahia nchi yao.
Risasi hadharani mbona zinapigwa hadi kwa wanandoa siku hizi. πŸ˜‚πŸ˜‚ pumbavuni sana, sa hivi watu wanajichukulia sheria mikononi tu. Unaweza kuzinguana na kimada akakushuti tu.
 
JWTz na TISS, command inatoka Kwa rais TU.

Hao polisi au uhamiaji na magereza command inatoka hata Kwa mwenyekiti wa kijiji.

Soma taratibu za kiutendaji wa vyombo mbalimbali utaelewa.
 
Kwa hiyo askari walikuwa karbu sana na magu kuliko mama mwenyewe? Atuambie km hakuwa na sauti alipata wapi nguvu za kusema alompiga risasi lissu hakuwa polisi wao maana hawez kumkosa mtu kwa risas nyingi vile.
 
Kama ulihusika Msako wa mtu na mtu upo NJIANI...Dunia lazima ujuwe HILI ..Ben ni Azory wapo WAPI
Hao ndo watu? Akipotea mwanangu basi haina maana πŸ˜‚πŸ˜‚ mbona juzi tu mtu alikutwa kauliwa huko mwanza. Wauaji aliwatuma rais?
 
Rais samia alikua hana kauli wakati akiwa vice president nchi ilikua inaendeshwa na dikteta jiwe.
Sa hivi pia hana kauli, inaendeshwa na msoga tu ndo maaana walamba asali wanakamua na kusifu.
 
Pumbafu
 
Mama alihusika kutoa maagizo ya kupiga risasi ndo maana akasema mwenyewe, alompiga risasi lisu hakuwa askari wao maana askari wao ana shabaha sana. Akamtia gaidi ndani miez 8
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…