Biashara ya Kamari: Mbadala wa Dawa za Kulevya?

Biashara ya Kamari: Mbadala wa Dawa za Kulevya?

 
 
Kwa wale ambao mmeshawahi kusikia namna 'punda' wa 'sembe ya mwakyembe' wanavyo 'packiwa' mizigo ya kusafirisha mtakubaliana na mimi kwamba biashara hii 'takatifu' ina faida kubwa iliyotukuka. Ni ukweli unaosikitisha kwamba 'pipi' za 'sembe' hushindiliwa kupitia njia ya nyuma mpaka tumbo lijae kisawa sawa, udhalilishaji!

Sasa turudi kwenye mada, habari za uhakika kutoka kwa mmoja wa wazungu wanaomiliki makampuni ya kamari hapa nchini, zimevujisha kwamba, Kamari ya mpira ni 'addiction' mpya ambayo imekuwa purposely introduced globally ku-replace madawa ya kulevya, biashara hii ya kamari ina faida mara tatu kuliko madawa ya kulevya, na gharama za uendeshaji pia ni robo tu ya gharama ya kusafirisha na kuuza madawa. (And its just as addictive as madawa, ukianza huachi mpaka kufa!)

Mtandao huo wa 'kingpins' ulifanya uchunguzi hivi karibuni na kugundua kwamba, addiction kupitia madawa japo inawatajirisha madhara yake kwa dunia ni kubwa mno kiujumla!, nguvu kazi inapotea kiasi kwamba hizo fedha nyingi huishia kutibu madhara yaliyosababishwa na madawa (Mfano ukikabwa na teja akakutoa utumbo kwa sababu ya Iphone,ili yeye akapate dawa), hivyo biashara hii imepoteza viability. Amevujisha kwamba ma 'king pin' wa biashara hii wameamua ku-eradicate 'addiction' ya madawa hapa duniana na ku-'re enslave' the masses kwa kutumia addiction mpya iliyoboreshwa ya mpira na michezo kiujumla. (its better in every perspective).
(Kama hujaanza mshukuru Mungu na akulinde usiingie huko, ukiingia huko utajuta, kwani huwezi kuacha!), YOU WILL BE ENSLAVED!

Baada ya miaka mitano,65% ya vijana watakuwa wakijishughulisha na 'kusuka mikeka' badala ya kufanya shughuli za uzalishaji bidhaa na huduma. Consequently uchumi wa mataifa (hasa vichwa vya panzi kama 'wadanganyika', stupid kabisa!) utayumba kutokana na watu kutofanya kazi, lakini uchumi wa mataifa yanayomiliki hizi betting systems (hasa wazungu) utapaa kama mbayuwayu.

YOU'VE BEEN WARNED!

DON FRANCIS
==================================
18/05/2018
Update: News Alert: - Wazee Arosto la kubeti halina tofauti na kuvuta unga (cocaine)


=======================================
04/06/2018
UPDATE: Bunge laongea, hatimaye yanatimia


dawa za kulevya hazina mbadala,madili haramu mengine yatakuja na kupita ila mihadarati itabaki kuwa haina mdala,kuna nchi zimefanikiwa kupiga marufuku kamari,lakin wameshindwa kufaulu kwny mihadarati,mihadarati ukiizuia ndo umeipigia promo na kuipandisha bei kwny nchi yako,mfano gramu ya cocaine ufilipino na China ni bei ghali kuliko Mexico na Colombia,niiwahi kuwa Cuba by 2009/10,hii ni nchi ambayo inasheria kali sana kwny ishu ya mihadarati lakin madon wanaimport na wanatamba kinoma,tena kile kipenisula kinachokaribiana na Florida USA ndo lilikuwa lango la magendo na uingizwaji wa mihadarati, mambo ni mengi aisee ila kamali ni biashara nyepesi huwezi sema et kamali ni mbadala wa unga,hata ugaidi ni uhalifu ambao haufikii wa mihadarati
 
Ninabet, ninafanya kazi na sioni kama kuna addiction yoyote hapo. Kwa mfano, teja hawezi maliza siku bila kubwia unga, ila mimi naweza nikakaa hata wiki sijabet na sioni athari zozote zile..

Ukila unga unakuwa affected healthily and psychologically lakini kubet sioni kama ina athiri chochote unless ufanye kubet kama ni kazi yako ya msingi na si mchezo kama michezo mingine.. Anyway katika kubet pesa niliyopata ninakaribia kununua kavits sasahivi. Kubet kunanisaidia sana kiafya na kiuchumi, sababu nime divert yale matumizi ya weekend ya bia na nyama na kuhonga wahudumu na marafiki kule bar nimeamishia hilo fungu kwenye betting na huwa linanipa faida. Mwanzoni weekend ilikua inanimalizia hadi laki kwa kima cha chini lakini sasa napata zaidi ya laki kama faida kila weekend.

All in All kubet sio mashindano wala full time job, ukiendekeza unafilisika na utaishia kubwia unga
Unajua maana, aina na makundi ya addictions
 
Hatari
 
 
Miyeyusho mingine bwana,mtu anatunga stori,anaitupia huku ila kutaka attention zetu
Ndugu usiombe. Haya ya kubeti na kamari ndo mabaya zaidi sababu yameingia Mpaka ndani kabisa vijijini. Madhara Yake usiombe sababu yamefilisi wengi. Pia waathirika wanageuka wezi pale wanapokosa hela. Wengine wameishia kujiua. Mungu aepushe mbali.
 
Ninabet, ninafanya kazi na sioni kama kuna addiction yoyote hapo. Kwa mfano, teja hawezi maliza siku bila kubwia unga, ila mimi naweza nikakaa hata wiki sijabet na sioni athari zozote zile..

Ukila unga unakuwa affected healthily and psychologically lakini kubet sioni kama ina athiri chochote unless ufanye kubet kama ni kazi yako ya msingi na si mchezo kama michezo mingine.. Anyway katika kubet pesa niliyopata ninakaribia kununua kavits sasahivi. Kubet kunanisaidia sana kiafya na kiuchumi, sababu nime divert yale matumizi ya weekend ya bia na nyama na kuhonga wahudumu na marafiki kule bar nimeamishia hilo fungu kwenye betting na huwa linanipa faida. Mwanzoni weekend ilikua inanimalizia hadi laki kwa kima cha chini lakini sasa napata zaidi ya laki kama faida kila weekend.

All in All kubet sio mashindano wala full time job, ukiendekeza unafilisika na utaishia kubwia unga
Mtu wa Mfano lazima uwepo ili kuwashawishi wengine. Hapa mwishoni umesisitiza siyo kitu kizuri.
 
Mrangi
Maisha waliyoyachagua? Sidhani. Wengi waliingia kwa bahati mbaya tu. Wakajikuta wanashindwa kutoka.

Nenda pale las vegas, legrande, new africa, princess, sea cliff, etc, uone watu walivyoathirika na compulsive gambling. Kamari ni janga. Hizo betting za mpira hela yake ni ndogo. Kwenye makasino ni habari nyingine.
Mkuu umeongea Kiuhalisia Kabisa. Mtu anayetetea haya Makitu ni hatari sana na Anatumika bila kujijua. Siku yskimfika hataamini.
 
Bado Hali inazidi kuwa mbaya Mtaani... Bora Hata Hizi za mitandaoni... Kuna Hizi mashine za wachina maarufu Kama Bonanza zimewekwa mpaka huko ndani vijijini zinazidi kujaribu watoto na Uchumi wa Nchi kwa Kasi Sana. Maana Mchina anatega anakuja kuchukua hela anaondoka.. Ukihoji unaambiwa analipa Kodi.!!!
 
Bado Hali inazidi kuwa mbaya Mtaani... Bora Hata Hizi za mitandaoni... Kuna Hizi mashine za wachina maarufu Kama Bonanza zimewekwa mpaka huko ndani vijijini zinazidi kujaribu watoto na Uchumi wa Nchi kwa Kasi Sana. Maana Mchina anatega anakuja kuchukua hela anaondoka.. Ukihoji unaambiwa analipa Kodi.!!!
Watu wanadharau vile vichenji chenji vidogo, lakini nimewahi kushuhudia pale Sinza jamaa kachenji laki nzima nankaitumbukiza ikaliwa yote
 
Watu wanadharau vile vichenji chenji vidogo, lakini nimewahi kushuhudia pale Sinza jamaa kachenji laki nzima nankaitumbukiza ikaliwa yote
Mkuu Acha tuu .. Ni Majanga na Serikali imekaa kimya... Siku moja nilikuwa Kasulu kigoma nilishuhudia Mpaka Diwani anacheza hayo madude...
 
Mkuu Acha tuu .. Ni Majanga na Serikali imekaa kimya... Siku moja nilikuwa Kasulu kigoma nilishuhudia Mpaka Diwani anacheza hayo madude...
 
 
 
Back
Top Bottom