Exorcist
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 1,235
- 1,268
Tunaiomba Serikali ipige marufuku michezo ya kubashiri nchini
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania upo kwenye majadiliano ya bajeti ya 2019/20 na bado Mhe. Waziri wa Fedha na Mipango hajawasilisha bajeti ya Serikali kwa mwaka 2019/20 mbele ya Waheshimiwa wabunge. Mtakumbuka Viongozi wa dini pia walimwomba Mhe. Rais kupiga marufuku mchezo huu kwa...